Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 210
PhD za kupewa hazina faida yoyote, zimekufa
zipo tu haziwezi kutumika zaidi ya kumpa mtu sifa
zinaweza pia kutumika na wanaozitoa kama njia ya kupata maslahi yao
ndio maana hata rais anayeruhusu wageni waje wachukue madini ambayo yangeweza kulisha vitoto kijijiji naye anapewa pia.
zipo tu haziwezi kutumika zaidi ya kumpa mtu sifa
zinaweza pia kutumika na wanaozitoa kama njia ya kupata maslahi yao
ndio maana hata rais anayeruhusu wageni waje wachukue madini ambayo yangeweza kulisha vitoto kijijiji naye anapewa pia.