Ni aibu mtu katoka kuzomewa kwa kushindwa kuendesha nchi halafu mna mpa PhD ya misifa nyingine tena
Kwa mbele pale yupo Utoh na Luhanjo, wamekataza kabisa watu wasiingie na camera, kuna ulinzi mkali usio wa lazima!
Nitaendelea kuwajuza muda utakapofika lakini mpaka sasa hatujaanza bado wako kwenye seherehe za miaka hamsini huko Nkrumah Hall pale Campus!
Hongera sana mh Jakaya.
Unastahili kabisa kutokana na kazi yako nzuri unayoifanya
Asante mjukuu...naipenda JF!Babu ushakuwa premium member?....duh hongera kwa hilo
Nakutafuta ulipo..kama upo ndani hapa lazima nikubebe. Huwezi kuwa unatoa habari za kipuuzi kama hizi hapa JFREJAO naona umeingia shift ya mchana leo! Wenzio wanaingia shift ya saa ngapi leo?
Hongera sana mh Jakaya.
Unastahili kabisa kutokana na kazi yako nzuri unayoifanya