Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Nimemwelekeza nilipokaa, sijui kama ataweza kuingia, kumbe ni MEMKWA eeh na yeye anasubiri ya heshima!!!!
we si umeona ulipomwambia mahali ulipo na ulivyovaa umeona alivyonywea kakosa pozi kabisa...hahhhahaha....na hapo alipo hunda hajawahi faka hata mlimani city wala kuingia game