UDSM Programming - Hawajui kwenda na wakati

UDSM Programming - Hawajui kwenda na wakati

Asante sana mkuu! Vipi hiyo inatufaa kwa sisi tunaoanza kujifunza HTML na CSS?

Yeah, python is one of the simplest programming language, HTML hata haiitaji mwal kukufundisha it's very easy too.
 
Go East go West 7/10 best programmers are products of Informatics Salamu kwa Mohammed Dewa, mrutu, msele, masoud.....
 
Ukitaka programming nenda udom.. ndo nimesomea ila muda huu napata deal hata za europe kwenda kucode tu..
 
Hehehe! you are so out of point, hivi unajua tunaongelea nini?

Nani kasema anatengeneza app ya kufanya money transaction?? Au ngeli inakupiga chenga? Sitengenezi paypal mimi.
Nimeongelea app ya kuchukua messages za MPESA kuparse information unayotaka na kuzistore kwenye database ya computer, hivi kigumu hapo kuelewa ni kipi??? Dude unajifanya kua DUMB au are you that dumb?.
Kama umeshindwa kuelewa something so simple unanipotezea muda.

Afu statement yako hapo juu, its plain stupid, ati abstraction isnt programming but demonstrating your abstract concepts.. Duh, hehehe! watumia ngeli kuonekana wataalamu kumbe unachoongea ni plain stupid, em edit ufute hiyo statement, it doesn't do you any good.

Kweli kubishana na watanzania kama wewe kazi sana coz hamjui hata mnachoongea, hujui unachoongea and yet unakua mbishi. If you can't do something doesn't mean hakuna any one who can do it. Unadharau sana au kwa kua naongea kiswahili, ningekua napiga ngeli plain kwenye site kama stackoverflow ungetoa heshima, usikae ukadharau watanzania ukadhani we can't make anything simply because you can't.

Kuna mtu kakwambia unatengeneza PayPal .? wewe ndo naona unakimbia topic , MPESA API kwa iyo kwako ni app ya kuparse message za mpesa ? yes Im dumb and I know I'm dumb , atleast Im smart sabab I know that Im dump , but if you are dump and you dont know ,then my friend you are the dumpest person in the world .

Kama hukuelewa bora uulize , sio unacheka cheka tu. naweza nikawa sijui , lakin pamoja na elim yangu ndogo siwezi kuona unapotosha umma nikae kimya .

Dah ..! kwa iyo SO ndo imekua uwanja wa kujidai sasa hivi , aya na wewe tuletee profiles zako za Stackoverflow uzionyeshe , maana naona izo reputation mnazopata uko zinawapa vichwa sana .
 
kwa iyo SO ndo imekua uwanja wa kujidai sasa hivi , aya na wewe tuletee profiles zako za Stackoverflow uzionyeshe , maana naona izo reputation mnazopata uko zinawapa vichwa sana .
Watanzania tuna matatizo kweli kweli.
 
mwingine hajadili hoja ye kazi kuipigia promo informatics.
mwingine ye ni kubisha tu...yan PASCAL kwel iwe ya dunia ya leo ? duh aya tuendelee
 
Watanzania tuna matatizo kweli kweli.

Mkuu nimeona hiyo statement ya jamaa nimegive up na wabongo aisee. Kama ulivosema kua tatizo la kwanza ni wanafunzi wenyewe sasa nimeamini. Yaani kua na github account na reputation stackoverflow mtanzania anaona ni ujinga.
 
Kama hukuelewa bora uulize , sio unacheka cheka tu. naweza nikawa sijui , lakin pamoja na elim yangu ndogo siwezi kuona unapotosha umma nikae kimya

Njia ya kumshika mjinga hua ni fupi tu. Lazima kuna sehemu hua mnaenda chaka, Kumbe unajijua kabisa una elimu ndogo, Basi tusipotezeane muda kujibishana kitu ambacho hukijui.
Hii ndio reply yangu ya mwisho kwako, i dont have time to fix your stupidity kama u cant even get rid of your pride and learn something for once.
 
Mkuu nimeona ume-concentrate sana na MPESA API, I don't see the big deal here, I mean MPESA API mbona kazi ndogo, na am sure wapo wabongo wengi ambao washawahi ku-experiment with it.

Mimi mwenyewe nshawahi tafuta solution coz nilitaka kuintergrate my app to MPESA, Vodacom wanazingua, wanatoa majibu ya juu juu tu as if they don't care, na most of the times wanataka pesa. Ofcoz hata wakitaka niwatengenezee ni kitu simple tu coz tayari they have a database yenye all the transaction details.

Solution nzuri tu ya pembeni na nyepesi sana kuimplement, raspberry pi iliyo connected kwenye internet 24/7, weka modem na line iliyo-connected na MPESA account yako. Mtu akilipa message inaingia kwenye raspberry pi, unaandika script nyepesi ya kuhakikisha kua message imetoka Vodacom na sio kwingineko, una-parse all the required information namba ya simu ya aliyelipa, kumbukumbu namba, amount, tarehe, unatuma hiyo information kwa POST request kwenda kwenye the main server ambayo ina-authenticate kwa TOKEN kua ni kweli message imetoka kwenye raspberry pi yako na sio kwingine, then una-save that information kwenda kwenye database.

Simple na haina risk ya security threats.. The only problem utakayoface ni kama machine yako inayo-listen for incoming messages itaenda offline. Na sio lazima raspberry pi, hata ukiweka line kwenye simu na kutengeneza a simple android/iOS app inayolisten for the messages still inapiga mzigo vizuri tu.
This works quite well kwa almost any application bongo since hata kama ni watu wanalipia hawatokua in millions at the same time kwa hiyo it can handle the load. For very big application itakulazimu tu ucheze na backend Vodacom moja kwa moja coz they can't send you a million messages in a single day. Ila na yenyewe it shouldn't be something very hard to implement, am sure Vodacom wana server kubwa tu, wakimpa programmer yoyote aliye serious access kwenye system anaweza tengeneza, so yah! many Tanzanians can make it.

Lets look at some potential issues in this implementation that need to be handled and adressed.


1. Faked transaction information either at the SMS level au at the main application server level.

2. Unavailability of service due to a DoS attack, network issues, power failure

3. The former issue has the potential of causing incomplete transaction. Yaani the SMS parser receives the SMS, fires the request but the main server doesn't receive the data. Au the SMS parser fails to fire the request.

4. Sniffing and man in the middle attacks.

5. Cancelled or revoked or mistaken payments. What happens when the transaction is cancelled by MPesa

Kwa the first case, we should make sure that we establish authenticity of the payment. At the SMS level, we should make sure that the sender is actually MPesa and not a spoofed sender name coming from an SMS gateway. Pia we should keep track of the balance of the account. If the balance reported by the SMS after the transaction doesn't tally with what should be the balance, flag it.

At the main server level, token authentication and locking requests from a specific IP should be implemented.

Pia tunaweza kuimplement idea ya SYN ACK kati ya server na SMS parser. This would mean that the parser would have a database of some kind which will hold a transaction information until the server proves to it (preferably through a different way than the response of the HTTP request concerned) that the server has received the transaction. The two way synchronizing should be periodic and this ensures that transactions which didn't reach the main server for any reason get there.

Additionally, use HTTPS.

To be continued...
 
Lets look at some potential issues in this implementation that need to be handled and
Kwa the first case, we should make sure that we establish authenticity of the payment. At the SMS level, we should make sure that the sender is actually MPesa and not a spoofed sender name coming from an SMS gateway. Pia we should keep track of the balance of the account. If the balance reported by the SMS after the transaction doesn't tally with what should be the balance, flag it.

At the main server level, token authentication and locking requests from a specific IP should be implemented.

Pia tunaweza kuimplement idea ya SYN ACK kati ya server na SMS parser. This would mean that the parser would have a database of some kind which will hold a transaction information until the server proves to it (preferably through a different way than the response of the HTTP request concerned) that the server has received the transaction. The two way synchronizing should be periodic and this ensures that transactions which didn't reach the main server for any reason get there.

Additionally, use HTTPS.

To be continued...

Naona umejibu exact same thing kama nlichokua namjibu specie moja mbishi hapo juu, Hakutokua na tatizo la DDoS coz Server iko locked kwa IP Address moja tu, any other incoming requests from other IP addresses zitakua rejected. Alafu its not that easy kwa mtu kujua IP Address yako unayotumia kwenye server that easily kama hana access sababu sio link unaiweka public kama ilivo sites nyingine.

Na kuparse data kutoka kwenye namba moja peke yake its very easy, i think unajua thats just one line of code, nilitoa outline ya juu juu, ila its very possible kuifanya hii njia iwe reliable. Any text message inaweza tunzwa kwenye local database kabla haijawa sent, just in case imetokea failure kuconnect you could always fix the error then retrieve all the data kutoka kwenye local database to the main server. Main server ikisharead na kusave kwenye database yake unarudisha tu response unaupdate local database kua transactions flani zimekua read ili usisumbuke kuziupload tena.

Hayo mengine yote uliyosema ni vitu vinakua implemented kirahisi tu.. Sijui jamaa pale juu alichokua anabisha hasa ni nini, coz hizi ni simple CRUD operations anyone can implement.
 
Mimi hua ni mfuatiliaji sana wa mambo hasa ya technology. UDSM kama chuo kinachoongoza Tanzania nilikua nategemea watakua mstari wa mbele kuendana na mabadiliko kwenye technology.

Nimepitia Syllabus yao ya hawa wanaoenda kusoma Computer Science/Engineering, yaani first year semester zote mbili Introduction to programming in Pascal.

Hivi nani dunia hii bado anatumia Pascal? Why learn a language ambayo hutokuja kuitumia mbeleni hata siku moja, hakuna industry inatumia Pascal siku hizi, na hakuna anayetafuta kujiajiri au kuajiri mtu mwenye experience na Pascal.

Miaka yote naona course outline haibadiliki, hawapangi kitu kipya, everything is old. Kuna languages nyingine nyingi nzuri zinazofaa kumpa mtu introduction into Programming, Python being one of them au angalau C japo watu wanalia "pointers, dynamic memory allocation" ila ni vitu vikielezwa vinazoeleka vizuri tu. No wonder serikali inalalamika daily kua watu vijana wanaomaliza Tanzania hasa engineering courses hawana uwezo wa kujiajiri.

Ni vizuri kuwapeleka speed wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza sio wanagusa vitu boring wanapoteza interest.

Mkuu,
Mimi nipo Computer science kwenye huo mwaka wa kwanza unaouongelea, na ningependa tu kistaarabu kusema kuwa, hujafatilia vizur. Wanaochukua Telecommunications Engineering ndo wanafundishwa pascal. Wale wa Computer science tunafundishwa Java na C++ kwa Mwaka huu, Ila Java inatumika kufundishia Skills za programming na sio Language yote. And The same idea applies to wale wanaosoma Telecomm ambao wao ndo wanafundishwa Pascal. Wakat mdogo mtu unajifunza kuendesha baiskeli kwenye zile ndogo, japo now na ukubwa wako hauzitumii, lakini still bado unajua kuendesha baiskel, hope you get the analogy,

Hapo kwenye Red, fanya mabadiliko
 
Unataka kusema Mwaka mzima wanasoma Pascal tu bila kusomaLanguage nyingine?

Si mtaalamu wa Programming ila Usidharau kitu chochote I have plenty of Good softwares written in Pascal usije hapa kuwaaminisha watu ati Pascal haina maana ulimwengu wa leo.

And Mind You Chuo kama UDSM sidhani kama wao ni ndezi kiasi hicho nachojua Vyuo vya Tanzania wanafundisha Wataalamu wa Kimataifa

Nimesoma Chuo ila kuna vitu tumejjifunza sio Common nchini kwetu ila nchi za jirani vipo,siwezi kusimama kasema chuo changu wali Bugi kunifundisha kitu ambacho hakipo kwetu.

who knows my future? si ajabu kaenda kufundisha au kufanya kazi ambako hicho kitu ambacho nakidharau kipo au kinatumika

Example of app written in Pascal

cLvXar.png


kwa walotumia hizi apps watakwambia mambo yake na nawashauri wanafunzi wote wa UDSM wa hiyo course mtakaosoma thread hii hapa msipuuze mnachofundishwa na Walimu wenu au ma prof wenu kwa kusikiliza eti who Learns Pascal this world,so long as in Programming language jifunzeni tu mnafundishwa muwe watalaamu wa Ulimwengu mzima na hauwezi kuwa mtalaam kwa ku Ignore vitu ambavyo haujui labda ungekua wewe ndo expert kuzidi vile mleta mada anavyotaka walimu wenu wawafundishe
..ujumbe wako nimeuelewa na kuuukubali kinyamaaaaa
 
Mkuu,
Mimi nipo Computer science kwenye huo mwaka wa kwanza unaouongelea, na ningependa tu kistaarabu kusema kuwa, hujafatilia vizur. Wanaochukua Telecommunications Engineering ndo wanafundishwa pascal. Wale wa Computer science tunafundishwa Java na C++ kwa Mwaka huu, Ila Java inatumika kufundishia Skills za programming na sio Language yote. And The same idea applies to wale wanaosoma Telecomm ambao wao ndo wanafundishwa Pascal. Wakat mdogo mtu unajifunza kuendesha baiskeli kwenye zile ndogo, japo now na ukubwa wako hauzitumii, lakini still bado unajua kuendesha baiskel, hope you get the analogy,

Hapo kwenye Red, fanya mabadiliko


God forbid! Why Pascal in this age? This is very cruel to these young and gifted folks. Telecommunication engineers should use at least C++ or Assembly. Something is wrong somewhere.
 

Attachments

  • delete.png
    delete.png
    12.3 KB · Views: 437
sipingani na wewe lakini lazima watu waonyeshwe dunia ya computer science ilipo tokatusi criticize kila kitu mimi najua paschal ina msingi mzuri kwa wanaojifunza programming na lazima tuwe na watu wabunifu pia,ubunifu huanzia pale mwenzio alipoishia...mimi nilifundishwa dos mara ya kwanza kabisa naanza kuingia kwenye computer industry haikuwa na manufaa zaidi ya kuonyeshwa dunia ilipotoka lakini ilinisaidia sana katika kazi zangu sana hasa katika hard disk vimeo kipindi hicho..

Ni tanzania tu au africa tunapo icomplicate hii industry ya computer technology ila wenzetu wanapiga hatu kwa watu kuwa na open source kibao hasa zilizo applicable kwenye institution kibao
 
Back
Top Bottom