NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
- Thread starter
- #141
sipingani na wewe lakini lazima watu waonyeshwe dunia ya computer science ilipo tokatusi criticize kila kitu mimi najua paschal ina msingi mzuri kwa wanaojifunza programming na lazima tuwe na watu wabunifu pia,ubunifu huanzia pale mwenzio alipoishia...mimi nilifundishwa dos mara ya kwanza kabisa naanza kuingia kwenye computer industry haikuwa na manufaa zaidi ya kuonyeshwa dunia ilipotoka lakini ilinisaidia sana katika kazi zangu sana hasa katika hard disk vimeo kipindi hicho..
Ni tanzania tu au africa tunapo icomplicate hii industry ya computer technology ila wenzetu wanapiga hatu kwa watu kuwa na open source kibao hasa zilizo applicable kwenye institution kibao
Kama unalijua hilo, kwa nini tusiwaige wanachofanya tunabaki kustick na mambo yasiyo na msingi?
Kusoma mambo yalipotoka si mbaya, ipo C, inaonyesha vizuri mambo yalipotoka, ina very close access to the metal, you could even write assembly ontop of it and it will run na bado inatumika kwenye industry hadi leo. Hiyo introduction kama vipi wangeifupisha, mwaka mzima is a lot kwa something useless kwa nini wasingeenda na kitu ambacho hawatokaa waanze tena upya kumfundisha mwanafunzi syntax bali kuendelea na more advanced concepts. Uanze na Pascal, upoteze mwaka, alafu ukiingia language nyingine, uanze upya syntax, uanze kurudia for/while loops, classes, what a waste of time. Huo muda wangepoteza kujifunza angalau datastructures na algorithms.