UDSM Programming - Hawajui kwenda na wakati

UDSM Programming - Hawajui kwenda na wakati

Natamani sana kujifunza IT hasa programming ingawa sina basic yoyote. Wapi naweza kupata hyo elimu kwa muda nje ya muda wa kazi??

website www.coursera.com wanatoa free programming.
 
Nimekujibu vizuri tu naona umeshindwa kuja na argument, umebaki kuconcentrate kutoa statements zisizo na msingi...
Ungekuja na ku-argue wapi unahisi hapato-function kama nilivyosema ili ni-prove to you kua It can be done just as easily. Infact wapo watu wanatumia the same method kama nilivyosema hapo juu and it works quite well.

I'm pretty sure umeshindwa ku-argue simply because huna ujuzi na ulichokua unabisha, kama kitu hukijui utahisi ni kigumu siku zote, break that barrier and learn it utakuja ku-delete replies zako zote.

Ohh yah! I almost forgot, actually abstract thinking is a good thing in programming, we always deal with abstractions in CS anyway.

Thats why I said you are an abstract thinker , Abstraction isnt programming but demostrating your abstract concepts is the real art of solving a problem , huwezi kutatua tatizo by constructing a solution and fold it inside your head alafu ukaja apa kusema nlishapata solution wakakataa .

Ndo maana sija argue , ungekuja ukasema nlishawatengezea yote au mpaka stage flan, na ukatuonyesha mfano , ndipo ninge argue au kukubaliana na wewe . na wala sipo hapa kubishana.

Kwanza kabisa sijamdharau programmer yoyote yule, am simply stating facts coz nataka kuona programmers wengi na wazuri zaidi bongo.

Hehehe mkuu labda Raspberry Pi imekutisha sana ukadhani it won't be secured ati kisa ni machine unaweza nunua kwa $50.Alafu cha kusitikitisha ni kua hujui unachokibishia.

Na kujibu swali lako, ndio hiyo application ni kitu ambacho nilitengeneza kwa SIKU MOJA narudia tena SIKU MOJA.
Na hata nikisema narudia from scratch naweza anza usiku huu nikakukabidhi kesho asubuhi a fully functional app, its that simple
. Wewe una kazi gani ngumu wakati Vodacom washafanya kila kitu wanakuforwadia messages tu? Yaani kuparse message na kuiforward kwenye kwenye server nacho ni kitu cha kusema kikuchukua siku mbili kutengeneza? Hehehehe You gotta be joking.

Sasa nambie kuna security threat gani ku-receive data from only one location? Unadhani ukilock server inayopokea hizo request kureceive data from one single IP Address ambayo inapokea na ku-parse hizo messages kuna mtu ataingia kirahisi?

Alafu unakaa unadhani kufanya authentication kwa kutumia TOKEN as if ni rocket science, heheh mkuu kuna modules nyingi tu za kugenerate na kufanya token authentication ni simply import and use within 5 minutes and they work really well..

Wewe mtu ku-parse messages tuseme 100 kwa siku unadhani utahitaji uweke machine kubwa kiasi gani? A raspberry pi does that very very well. Na kama umesoma vizuri pale juu nimesema watu wenye transactions mfano million per day itabidi wapate access moja kwa moja from vodacom sababu they simply wont be able to receive that many messages per day.

Kama unahisi kuparse messages na kuauthenticate ni kitu huwezi kufanya ndani ya siku moja kwa kutumia RASPBERRY PI, ntakushauri urudi darasani ukasome.

Siwezi kubishana na mtu anayejinadi anaweza kutengeza an app that does money transcations in a single night au mtu anayefikira application security threat only comes from a person ( ni sawa na kusema stealing money is the only kind of theft ).
 
THIS IS ONE OF THE BIGGEST MIS CONCEPTIONAL ABOUT BEING A PROGRAMMER

Hili ndio tatizo letu watanzania , Bongo programmers are materialistic nerds , tunapenda sana kujisifia na kudharau wabongo wengine ndan ya hii field , just because it is easy for you to think about your idea that doesn't mean you can do it in a blink of an eye or as in pushing a button and BOOM its done .

Unaongelea kuhusu simplicity ya kutengeneza MPESA API kama vile ni assignment unayoweza kuifanya overnight kesho ukaisubmit , watu kama nyie nawaaita "Peoples with Abstract Programming Thoughts" . I won't go into details kuhusu ulivyoviongelea hapo juu , talking all about respberry pi , database , autheticating na other bunch of stuffs ambazo umeziacha and yet you still underestimate the complexity of doing all that stunts with what's in your mind. Unasema we mwenyewe ulitaka kuintagrate app yako na MPESA API , then vodacom wakazingua . alafu baada ya hapo ikawaje . ? uka give up ..? , ndio ni kweli kuwa voda wanazingua lakini what efforts have you done so far kuwaconvie kuwa idea yako kweli unaamin itafanya kazi , ushawahi kuwafuata na demo or a blue print of how your system works na wakafukuza .? kama ushawahi , je walikuambia hawaitaki au ushauri waliokupa uliufanyia kazi ukawarudishia feedback .?

Seriously with no security threat .? building an API that does money transcations with a kid computer ( raspberry pi ) , alafu unathubutu kusema itakua simple na haina security threat ? kuna kitu unakisahahu hapa , there's no standard for secure coding anywhere at any level. Unatengeneza software that relies on other softwares and is built with so many open libraries alafu unasema haitakuwa na security threat ? you must be a jumbo programmer na kama utaendelea kujiita programmer then someone is on his way to get you fired.

Pokea like mkuu hapa naona kuna waandika code na sio maprogrammer
 
Let me declare my interest in Pascal. Mim ni mwalim, nimekuwa nikiwafundsha wanafunz Pascal Language kwa miaka 3 sasa.

Why Pascal?
1. Pascal ndo language pekee iliyobuniwa kwa ajili ya KUFUNDISHIA.
2. Pascal is easy to learn. Sababu kubwa ni kwamba inatumia maneno ya kawaida ya kiingereza, mfano BEGIN, END , badala ya {,}. C, C+, C++, Java and the like are too symbolic to be understood by novices. Mfano, ipi rahic kueleweka kat ya BEGIN na { ?

3. Pascal is case-insensitive. Ni ngumu sana kumwelewesha novice kwamba variable "number" na "Number" na "NAMBA" zinarefer value tofauti kama ilivyo ktk C, Java na language nying.
4. Originally Pascal was structured(now there is object pascal). Structured programming ni rahic kujifunza kuliko object-oriented. I can bet 90% ya successful programmers wetu bongo wanafanya structured prog kwa kutumia OO prog language kama Java. This defeats the purpose of OO languages.

5. If u can program in Pascal then u can program in ANY LANGUAGE.

thanks kwa kumuelewesha
pokea like mkuu maana kizazi cha whatsup ngumu kuelewa kuwa unachofundishwa ni missingi ya programming ili iwe rahisi kujifunza lugha yeyote ile na pascal is the best kwa wanaoanza programming
 
Mim niliwahi kuwa developer, nikaacha baada ya kuona siwezi kufanikiwa kwa kuwa developer tu, hasa hapa nchini mwetu. To be successful as a developer you need business acumem. Baada ya kuona proposal zangu zinaishia kapuni au napata dili halafu nakosa ujanja wa ten percent nikaiweka career hiyo pending. By the way, kama unataka mwandishi mzuri wa proposal, nitafute. Also, worked very briefly (as briefly as lightining) with Vesl technologies.

Hata wewe unaedhani ni successful developer. Mbona kuna opportunity ya ku-integrate mobile financial services (m-pesa,tigo-pesa airtel money) na web hujaichangamkia? Au wewe ni developer wa kutumwa na bosi? Au mnasubiri wakenya wawaletee kama walivyowaletea m-pesa? Tuwe wakweli industry ya software development nchini mwetu ni magumashi. Unaweza ukawa na idea nzuri, lakini usisikilizwe na wadau. Mfano, nenda Vodacom waambie unataka kutengeneza API itakayowezesha wanamziki kuuza nyimbo zao mtandaoni na watu wakanunua kupitia akaunti zao za M-Pesa. Jibu tuletee hapa. Watakupa access ya server zao kwa ajili ya testing? Plus, software development sio programming tu. Actually programming is the easiest part, kama stages za awali zimefanyika vizuri. How can you be so proud with a job that keeps you awake all night long? Aren't you married?

Kuhusu kuwarekebisha waalimu wako ubaoni. Inaonyesha wewe unaijua syntax ya language. Programming ni zaidi ya hapo. Ni algorithms. So no big deal for me. Mfano mim najua language 6 kwa ufasaha, naweza kuchanganya syntax wakati nafundisha. Hiyo haina maana mwanafunzi wangu ni bora kuliko mimi.

Ni kweli kabisa kuna tofauti kati ya Programmer na Software developer
 
Python, PhP, ASP ni Scripting Languages. You might as well suggest we teach them using HTML!
Can you kindly tell me the difference between for example Python and C++ and why you object Python to replace Pascal? Do you know that HTML is markup language and not even programming language?

Are you objecting that Python PHP and ASP aren't programming languages but scripting languages?
... And you boast yourself to be a teacher?
 
Wanafunzi walewale wanaosoma Pascal mwaka wa kwanza, mwaka wa pili wanafundishwa OO Java. Hakuna sababu ya msingi ya kumfundisha lugha tofauti na Pascal kama hataelewa.

Nimefundisha wanafunzi kadhaa wa UDSM language nyingine nyingi na wameelewa na baada ya kuelewa wakalaumu chuo chao kwa kuwapotezea muda na useless language. By the way unataka kusema lugha zingine hazieleweki mpaka usome Pascal?

DIT & Open University (both of which am proud Alumni) have no Pascal and have a lot of good students in Programming than many of UD who learn Pascal. Your theory fails here. Pascal was necessary then but not now.

Kama kuna chuo chenye Syllabus bora kabisa ya IT Tanzania ni Open University. Prof. Mbwete na team yake wamefanya kazi nzuri sana. Wale waalimu waliokwenda kusoma wakirudi, kitakuwa moja ya vyuo tishio Afrika.
Mark my words!
 
Hiyo criteria ni kwa ajil ya professional development. Kwa kufundishia novice, wing wa libraries ni distraction kubwa sana.
Nilidhani chuo kinatengeneza future professionals. Inawezekana tunaongea lugha tofauti au?
 
Wewe mleta mada tatizo lako hauwezi kujiongeza mimi sioni tatizo lolote lile kufundisha kitu cha zamani wewe unaesoma kitu ndo unajukumu la kujiendeleza mpaka ujue vitu latest, maana uneshasema hakuna source nzuri ya kujufunza programming zaidi ya internet, sasa wewe unalalama ujifunze kitu kipya wakati vitu vyenyewe vinabadilika badilka tatizo wanafunzi wa siku hizi wanapenda kublame oooh topics mbovu za kizamani wewe mwenyewe soma hizo mpya na ufanye mabadiliko mbona tuliosoma sheria tulisoma sheria za 1920,1875 wakati zipo mpya za mwaka 2015? baada ya kumaliza hizo mpya tumekutana nazo kitaaa....louzy Tanzanian student...
Lyamber

Programming ni tofauti sana na sheria. Enzi zile tulikuwa tunatumia Turbo C ya borland. Leo Borland haipo na Turbo C inatumika bado vyuoni. kama vyuo vingekuwa na wataalam au hata wangetuomba tuwasaidie kuandika mitaala yao BURE tungefanya hivyo kwa maslahi ya taifa letu.

Leo hii kuna free Professional tools kama CL, C::B na GCC/MinGW bado unatumia turbo c. Why not even VS Express?

Kuna tatizo katika institute zetu la kutowatumia wataalam wa nje. Lakini Tatizo la kwanza ni wanafunzi wenyewe. Hili ni kubwa zaidi. Nikipata nafasi nitalijadili!
 
Last edited by a moderator:
Nasisitiza kama mtu huna product, service au patent, then acha boasting.
Mwalimu tuwekee CV yako ikiwa na products zako.

Mi nitaweka hapa chache ili kuweka record sawa na sio ku boast. Sizani kama tuko hapa ku boast bali kujengana!

User Stefano Mtangoo - Stack Overflow
Badges - Ask Ubuntu
https://www.daniweb.com/members/174511/stefano-mtangoo

Na kama uko LinkedIn unaweza pitia profile yangu
https://www.linkedin.com/profile/vi...RDkvqjOUtX3U3MCFY3JBPzAg&trk=hp-identity-name

Kama Hauko LinkedIn pitia Github na uone projects zangu opensource
https://github.com/mtangoo/

Sijaweka Projects za watu kwa sababu zingine zina NDA!


Sasa kwa challenge yako mwenyewe, basi weka Kazi zako tuzione tuzipime kama opinion zako ziko practical vinginevyo kama ulivyosema uache ku boast!
 
thanks kwa kumuelewesha
pokea like mkuu maana kizazi cha whatsup ngumu kuelewa kuwa unachofundishwa ni missingi ya programming ili iwe rahisi kujifunza lugha yeyote ile na pascal is the best kwa wanaoanza programming
Mimi kizazi cha WhatsApp? Umetumia Windows 95 wewe? Umetumia Pre Pentium processors wewe?
By the way kudharau watu ni argument ya kijinga kabisa!
 
Can you kindly tell me the difference between for example Python and C++ and why you object Python to replace Pascal? Do you know that HTML is markup language and
Read the lines, between the lines and beyond the lines. There is a sattire somewhere.
 
Nimefundisha wanafunzi kadhaa wa UDSM language nyingine nyingi na wameelewa na baada ya kuelewa wakalaumu chuo chao kwa kuwapotezea muda na useless language. By the way unataka kusema lugha zingine hazieleweki mpaka usome Pascal?

DIT & Open University (both of which am proud Alumni) have no Pascal and have a lot of good students in Programming than many of UD who learn Pascal. Your theory fails here.

Uliowafundisha wamejifunza Pascal kabla na wakafanya vizur ktk language nyngne. Moja ya malengo ya Pascal ni kwamba uweze kujifunza lugha nyngne kwa urahis. So sishangai kama wamefanya vzur kwenye language zngne.
 
Mimi sijasoma programming, lakini ninachojua ni kwamba lecturer hata kama anajua kitu hawezi kukufundisha kama hakipo kwenye Mtaala. Mtaala ndio unaomuelekeza mwalimu afundishe kipi aache kipi. Kuwalaumu lecturers sio sawa sana, wakulaumiwa kwa kiasi ni soko la ajira. Soko la ajira (waajiri) wanajukumu pia la kupeleka feedback vyuoni ili kila inapofanyika curriculum review (hii review haifanyiki mara kwa mara) reviewers waweze kuweka hayo mahitaji kwenye Mtaala.
 
Thats why I said you are an abstract thinker , Abstraction isnt programming but demostrating your abstract concepts is the real art of solving a problem , huwezi kutatua tatizo by constructing a solution and fold it inside your head alafu ukaja apa kusema nlishapata solution wakakataa .

Ndo maana sija argue , ungekuja ukasema nlishawatengezea yote au mpaka stage flan, na ukatuonyesha mfano , ndipo ninge argue au kukubaliana na wewe . na wala sipo hapa kubishana.

Siwezi kubishana na mtu anayejinadi anaweza kutengeza an app that does money transcations in a single night au mtu anayefikira application security threat only comes from a person ( ni sawa na kusema stealing money is the only kind of theft ).

Hehehe! you are so out of point, hivi unajua tunaongelea nini?

Nani kasema anatengeneza app ya kufanya money transaction?? Au ngeli inakupiga chenga? Sitengenezi paypal mimi.
Nimeongelea app ya kuchukua messages za MPESA kuparse information unayotaka na kuzistore kwenye database ya computer, hivi kigumu hapo kuelewa ni kipi??? Dude unajifanya kua DUMB au are you that dumb?.
Kama umeshindwa kuelewa something so simple unanipotezea muda.

Afu statement yako hapo juu, its plain stupid, ati abstraction isnt programming but demonstrating your abstract concepts.. Duh, hehehe! watumia ngeli kuonekana wataalamu kumbe unachoongea ni plain stupid, em edit ufute hiyo statement, it doesn't do you any good.

Kweli kubishana na watanzania kama wewe kazi sana coz hamjui hata mnachoongea, hujui unachoongea and yet unakua mbishi. If you can't do something doesn't mean hakuna any one who can do it. Unadharau sana au kwa kua naongea kiswahili, ningekua napiga ngeli plain kwenye site kama stackoverflow ungetoa heshima, usikae ukadharau watanzania ukadhani we can't make anything simply because you can't.
 
Sina uhakika kama Pascal inafundishwa tena UDSM kwa sasa hv kama mtoa mada alivyosema. Ni kweli kwa miaka ya nyuma (2004 nilikuwa first year - bsc in computer science) tulianza na Pascal, followed by C, Java and PHP kwa miaka yote mitatu. Tulikuwa tunasoma hizo kozi nne hadi tulipomaliza. Kwa sasa hivi Pascal si ishu kwa kweli. Niungane na wengine kwamba C is the best programming language for beginners ( I haven't code in Python [ ila nikitaka haichukui zaidi ya siku mbili] labda inaweza kuwa nzuri pia). The next best is C++ kwa sababu haina tofauti kubwa sana na C yenyewe, isipokuwa C++ is hybrid ( both procedural and object-oriented) wakati C is procedural. Kwa ujumla, ukifahamu programming language moja vizuri, ni rahisi sana kufahamu zingine! Quote me.
 
Uzuri wa baadhi ya sisi watz tunapenda sana kubishina na kupenda kuonekana tunajua kila kitu. Kama Udsm zamani walikuwa wanafundisha programming language using Pascal siyo mbaya lakini kutokana na ukuwaji wa sayansi technologia kwa dunia ya leo mwanafunzi kuendelea kujifunza programming language using pascal ni upuuzi na ujinga, kwa sababu hata ukijifunza hii language huwezi kuitumia sehemu yoyote zaidi ya kusema umejifunza. Inawezekana Udsm kuajiri walimu wapya wa programming wanaona ni shida basi haina maana ya mwanafunzi kwenda kusoma udsm wakati akijua kbs baada ya kuhitimu chuo hawezi kuitumia anywhere in job market. Watz wengi wanalalamika kwamba wahindi na wakenya wanachukua ajira zao wakat gradutes wa tz wa computer science hawajui hata ku create web page wala kuandika simple program ya pay check. Jamaa ametoa maoni kwamba Udsm wanapaswa kwenda na wakati na ukuaji wa technolojia wengine wanampinga na kutoa maelezo yasiyo ya maana. Napenda kuwashauri wanafunzi wa computer science na wale wa I.T kujikita na programming language kama C++, C#, and Python. Ni aibu sna kwa graduate kumaliza chuo kikuu hata hajui ku program simple programs. Pitia links zifuatazo u download na kujifunza programming language and web page design.
(https://www.python.org/downloads/
XAMPP Apache + MySQL + PHP + Perl:
https://www.apachefriends.org/index.html
Running Python Scripts on Windows with Apache and Xampp: Xampp and Python
Visual Studio (Download Community 2015): https://www.visualstudio.com/
Python CGI Programming
HTML Tutorial
Kama mtu anahitaji msaada wa anything related to Information systems and cyber security please don't hesitate to contact me via(nec0007@uah.edu)
 
Back
Top Bottom