Mwipulika!!!!!
Nimekutana na huu wimbo umenikumbusha mbali sana, wote wenye mapenzi na mama zao sikilizeni huu wimbo. sauti nzuri za Kyanga Songa na Kasaloo Kyanga wa Tancut Almasi wimbo Mama, pata burudani.....kwa hisani ya wanamuziki wa Tanzania, hongera Mzee Kitine.
<img style="visibility:hidden;width:0px;height:0px;" border=0 width=0 height=0 src="http://c.gigcount.com/wildfire/IMP/...YzU4NTQ2NGJiZWZj/NzMzZDY3MDAxMGVmJm9mPTA=.gif" />
<embed type="application/x-shockwave-flash" src="http://cache.reverbnation.com/widgets/swf/40/pro_widget.swf" height="300" width="280" align="top" bgcolor="#ffffff" loop="false" wmode="opaque" quality="best" allowScriptAccess="always" allowNetworking="all" allowFullScreen="true" seamlesstabbing="false" flashvars="id=artist_1015151&posted_by=artist_1015151&skin_id=PWAS1003&background_color=EEEEEE&border_color=000000&gig_lt=1291733945391&gig_pt=1291733955057&gig_g=2" /><br />
<img style="visibility:hidden;width:0px;height:0px;" border=0 width=0 height=0 src="http://www.reverbnation.com/widgets/trk/40/artist_1015151/artist_1015151/t.gif" />
Heshima kwako kakuruvi,
Mkuu umenikumbusha mbali sana hawa jamaa walikuwa juu sana enzi hizo kuna nyimbo yao moja naitafuta sana sijui kama unaweza kuiweka hapa tuifaidi vizuri.
Uzuri wangu ni wakuzaliwa nao
Pesa ya kutumia ninayooooo
Gari nzuri ya kumbea ninayooo
Nyumba nzuri ya kulala ninayooo
.. Utawaona kweli mtu na mke wake wakitembea kama baba na mwana. baadhi ya maneno kwenye wimbo wao mmoja hivi wakiponda ma sugar D
mkuu nakupa 5!!
Tancut almas, inanikumbusha mwaka 1990 wakati ule ndo namaliza six pale tosa, basi tulialikwa na iringa girls kwenda kwenye muziki wa tancut almas waliokuwa wakipiga pale iringa girls nasi ilikuwa kali ya mwaka tuliserebuka ile mbaya.
Nakumbuka walikuwa wana raise funds kwaajili ya kujenga madarasa ya five na six pale shuleni kwao. Basi ilikuwa ni balaa kwani kasaloo kianga na nduguye kianga songa walikuwa ni kivutio bab-kubwa.
Kwakweli umenikumbusha mbaalii kweli kweli (iringa girl's vs tosa).
Heshima kwako kakuruvi,
Mkuu umenikumbusha mbali sana hawa jamaa walikuwa juu sana enzi hizo kuna nyimbo yao moja naitafuta sana sijui kama unaweza kuiweka hapa tuifaidi vizuri.
Uzuri wangu ni wakuzaliwa nao
Pesa ya kutumia ninayooooo
Gari nzuri ya kumbea ninayooo
Nyumba nzuri ya kulala ninayooo
Nyimbo nilizonazo sasa za tancut ni ''samahani ya uongo'', ''mama'', ''ndoa si utumwa'' na ''almasi''
-Ndalla Kashebha.hivi mzee mwenzangu kuna verse moja inasema 'naona bora niende zambia nikamtafute monica, nimleta dsm apambane na kesi yake' ulipigwa na nani? Nakumbuka enzi hizo mtaa mzima kulikuwa na redio moja kwa mzee mmoja ambaye mtoto wake alikuwa anafanya kazi dar. So saa 1.30 tulikusanyika kwa mzee huyo ili kusikiliza michezo na taarifa ya habari!!
Longe...twipulika!!!
hivi mzee mwenzangu kuna verse moja inasema 'naona bora niende zambia nikamtafute monica, nimleta dsm apambane na kesi yake' ulipigwa na nani? Nakumbuka enzi hizo mtaa mzima kulikuwa na redio moja kwa mzee mmoja ambaye mtoto wake alikuwa anafanya kazi dar. So saa 1.30 tulikusanyika kwa mzee huyo ili kusikiliza michezo na taarifa ya habari!!
BabaDesi nakumbuka hizi nyimbo tuliizimba sana kule kwenye DHB enzi kulikuwa na thread moja ya TIZED BOY..ili balaa watu walikuwa wanachana sana mistarii.
Jana nilikuwa nasikiliza RFA saa4 usku mpaka sita..yule bwana Baragaza alishusha ngoma zenye akili kweli nikakumbuka mbali sana alipopiga kibao cha Biashara jazz band...Kipini cha dhahabu pata kipande kidogo hiki
...Magenge mengine mabayaaa..ooho mama watoto
...watu wanapokusanyikaa..wengine hufaidika
..wengine wapoteza...wengine huwadanganya wenzaoo..kutaka maisha ya juu mamaa