Mkuu sisemi I am better than UDSM, ila still nimesoma chuo ambacho wamejipanga vizuri kuliko UDSM, I am simply sharing my experience ili wabadilike tusonge mbele, swala sio kufata mkumbo, kuna vitu UDSM wanapatia ila hili wanakosea. Nimesoma Computer Science & Engineering kwa hiyo najua vizuri courses zote zinahusiana na nini, na kuna very important courses ambazo UDSM ni cheche, tukiacha hilo swala la Pascal kwamba wako nyuma, turudi kwenye vitu kama Artificial intelligence, hakuna machine learning UDSM wakati dunia nzima iko huko sa hivi, any big tech company siku hizi wana machine learning algorithms kwenye backend zinahandle data, sio google, sio facebook sio quora, stackoverlow, apple etc, that way jamaa wanazidi kua on top of their competitors siku zote. Machine learning inafundishwa vyuo vingi tu duniani, tusiongelee sana marekani ila hata Asia vilevile. Hatuwezi kukaa tunabaki nyuma tunang'ang'ania mambo ya zamani na kusifia ati kisa jina UDSM, lile ni jina tu wanaweza kua top bongo ila tukija kwenye swala la world market kwenye technology hakuna wanachofanya. Course nyingine kama Computer architecture,kujua assembly code na deep down machine imetengenezwa vipi ni very important, sio tu kwa performance ila hata security, na bado ukitaka kuunda a fully programmable machine kama hujui low level kuna nini hutoweza.. We huoni bongo tunatengeneza vitu kwa kuunga parts tu, kusema tuweke our own programmable logic ni mziki, wachache sana wanaweza.
Hakuna kitu kama kila mtu kua mtaalamu wa part yake, sasa ya nini kua mtaalamu wa kitu ambacho hakina faida? Tunasoma ili iweje sasa? Ulimwengu wa software hauko hivo, ndio maana kuna kitu kinaitwa Open source, software siku zote lazima kue na ushirikiano, huwezi kaa mtu moja ukatengeneza microsoft word, its impossible. Sasa kama language unaijua mwenyewe utatengeneza nini cha maana. Mkuu em jaribu kujifunza programming kidogo ufike level ya kutrngeneza a very simple application alafu urudi utuambie kama hujabadilisha mawazo