UDSM-Law First Classes



Huyu jamaa vp,inferiority au? na hapo UDSM mazingira yaliyoboreshwa ni yapi?tafuta tafsiri sahihi ya mazingira bora ya elimu, acha politics na kusifia ujinga.akuna maboresho yeyote ukizingatia karne tuliyopo na dunia ya kiutandawazi. Swala la perfomance ni pana linaanzia kwenye malezi na sio selection au TCU.
 
kama unataka kusoma masomo laini moja ya masomoau course hizo ni sheria,

kwa wale wanaosema sheria ni ngumu na sayansi watasema nini?
nadhani hawatasema ni ngumu ila ni mawe ambayo hayabebeki
ila tumeyabbeba na kufikisha mzigo salama.

Hiyo 1st class hapo UDSM, ni kuwa wahadhiri wamewawekea
wanafunzi wao ukuta tu na wala sio ugumu wa kozi, period
 

Kweli kabisa. Mazingira ya UDSM ni mabaya. Kwanza ni pachafu pachafu, pachakavu, na kuna upungufu wa vifaa.
 
MImi thina mengi thana ila mpaka leo ninajutia kimbelembele changu cha kuthoma UD miaka hiyo. The college is so outmoded, si mshauri mtu akasome pale hususan katika dunia ya leo yenye vyuo kibao tena vyenye contemporary programmes, kuliko hizo zao za kizee. UDSM is full of Drama, i hate it and i will always hate UDSM, samahanini lakini!
 

ha ha ha ha ha ze best of the Best Mlimani..ha ha ha ha ha ha ha
 
ha ha ha ha ha ze best of the Best Mlimani..ha ha ha ha ha ha ha

Wewe acha sifa za kizamani, UDSM sio best of the best tena siku hizi! UDSM imebaki kuwabania tu wanafunzi, wanapofika kwenye soko la ajira ambalo lina zingatia GPAs wanapata tabu kweli kweli! maana wapo wengine kutoka kwenye vyuo vingine wana GPAs kubwa kweli! though katika uelewa wa mambo graduates wa UDSM wapo kamili si mchezo kama mimi hapa, samahani kwa kujisifia kidogo, lakini ndio hivo soko la ajira linavotaka GPAs then baadae wanakuja kuevaluate uwezo wa mtu so wenye lower Performances wanaachwa zinapofanyika shortlist though kiukweli wanakuwa ni wazuri sana.

Haya ukija kwenye suala la scholarship ndio kabisa most of them zinazingatia GPA so asilimia kubwa ya wanafunzi wa UDSM huishia kuziona tu then hawana la kufanya huku wenzao wa vyuo vingine wakifanikisha mambo yao kiulaini, maana scholarship zinapokuja hazijali wewe ulisoma wapi wala hawajui kama UDSM wanawabana wanafunzi wao na kwamba mwanafunzi anaweza kuwa na GPA ndogo ila anauelewa mzuri wa mambo! wao hawajui kuhusu hilo. may be utaishia kuwasimulia marafiki zako tu kuhusu uwezo wako na kiwango chako cha ufaulu.

Pengine imefika wakati kutoka na mazingira magumu yakiusomaji wanayoyapitia pamoja na na aina ya wahadhiri waliopo hapo UDSM, wanafunzi waliosoma hao wapewe special treatment hususan kwenye masuala ya ajira kama zilivyo taaluma nyingine ngumu, mfano mzuri ni fani ya udaktari, kutokana na ugumu wake hata scholarships zinapotoka hazihitaji vigezo kama first class au upper second class kwani ni vigumu sana kufikia madaraja hayo.

Lakini kiukweli wanafunzi wengi wa UDSM wanateseka sana huku kwenye dunia ya ukweli, mpaka inafika hatua mtu anajuta kwa nini alisoma maana akitazama wenzake waliosoma waliosoma vyuo vingine kiulaini wanafanikisha mambo yao kwa urahisi.

So wewe kama ni muhadhiri wa UDSM na umesoma ujumbe huu hebu wafikishie wenzako wote basi na uwaambie kuwamnawatesa vijana wenu huku kwenye ulimwengu wa ajira! na ikiwezekana mbadili mtazamo wenu! sio kila mtu anayesoma hapo anataka kuwa Tutorial Assistant wengine wana malengo yao tofauti so msiwabanie!
 

sema ww ni kilaza wa kufikiria maana siamini kama kuna either Prof or Dr amabye ukiwa umeargue right akakufelisha sema UDSM mnavilaza wengi wa kujisifia et vyuo vingine ww hivi kuna vyuo ambao wanatoa max bila msulu wa maana? hebu fikiria ww unadivision gani maana udsm ya sasa inachukua hadi dv 2 sasa unategemea first class hapo? acha kujidanganya hakuna maajabu ya first class rather than kujituma na umakini.
 
Hivi nilisikia kuwa Jaji Joseph Warioba nae alipata First Class ni kweli?
 

Vipi Joan Mwaikusa? (RIP)
 
Hivi hiyo sheria ina ugumu kiasi gani hadi watu wasifaulu na first class honors hapo UDSM?

Tena sheria hata chini ya mti unafundisha. Unachohitaji ni mitabu yako.

It's not like you need a very sophisticated lab or something.

Tumebaki kukariri kwamba prestigious careers = lawyers and doctors, wakati Bill Gates a dropout kawezesha mambo kwenye medicine ambayo madaktari wachache wanaweza ku accomplish.

And I am not talking about his software tentacles!
 
kozi ngumu duniani katika za sanaa ya kwanza ni sheria na kwa sayansi ya kwanza ni engineering
 

you can not run away from the truth. Kuna watu wangapi kama gates? Ndo maana kuna iq ranking na kuna given people, genious, clever na wengine wa kawaida. Given people wanafikiria kwa extra power ya maono ambayo mimi na wewe hatuwezi mpaka tufundishwe. Hao watu we unavyopoteza muda wako kuwaelekeza yeye alishajua more than a thousand steps kuanzia ulipo mwalimu. Ndo maana wengi wanaonaga shule ni kupotezeana muda tu. Lakini we mwenzangu na mie ambaye hesabu ya log unafundishwa darasani na twisheni juu na bado unaikosa utajilinganishaje na hao? Unataka kuniambia kwamba waliorank hivyo hawakujua kuna hao jamaa ambao ni exceptional? Ndo maana hata kwenye kampuni kuna waajiriwa wa fani tofauti wanaorun show.
 
Hapo umenena mkuu,suala ni application hivyo vyeti ni mbwembwe tu!umenikumbusha yule mama aliyekuwa akiomba kura bungeni"ee my daily bread is engineering"

Yaani maneno yako ni ya hekima sana. What's the point of a first class if it doesn't produce?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…