The Bourne
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,077
- 1,322
- Thread starter
- #41
Ana niniHuyo wa mwisho!!
Ana niniHuyo wa mwisho!!
Cc: Evelyn Salt, miss chagga, Nifah, Bacyclerbacy, kapeace, Mzigua90, King'asti, mahondaw, Maserati, MBITIYAZAMbona wadada wa tz wanatoka bila kuwasofia majirani zao humu au ndo roho mbaya zao na wanahisi kuibiwa tayari?!
Angalau umewatoa kimasomaso wanawake wenzako, wanaogopa kukomenti hii postiHuku kwetu Kwamtogole hatupendi tu kupaka poda lakini waziri wapo
We jamaa kuna kabila gani ambalo si shemeji zako?hao ni sawa Na gari Kali lisilo Na matairi. Kitandani wabovu mno
mi huwa nawakubali sana
Mume wang huu uzi si mzuri kwa afya yako, ninakushauri undoke huku twende kwenye maombi.We jamaa kuna kabila gani ambalo si shemeji zako?
Hebu nletee yale makubazi yangu na Misale ya waumini twende zetuMume wang huu uzi si mzuri kwa afya yako, ninakushauri uindoke huku twende kwenye maombi.
Nimependa na moja ktk list yakomi huwa nawakubali sana
Wanyarwanda
Waethiopia
Wasomali
Watanzania
Hiyo ndio top 4 yangu
Mkuu unaonekana una uzoefu sana na hawa Wanyarwanda, hebu tema madini hapa uliwapataje au unafahamu lugha yao.hawa wadudu nimewatumia kiasi cha kutosha. Mungu hawezi kukupa kila kitu, bahati mbaya mashine zao sio poa kivile, nyingi nilizokutana nazo ni oversize, halafu hawajui kujituma kwenye 6x6
sio nne? Vibaya hivo....Nimependa na moja ktk list yako
Watanzania waweke hapo juu. Maana kuanzia namba 1 hadi 3 wote wanapatikana hapa bongo kama RAIA.mi huwa nawakubali sana
Wanyarwanda
Waethiopia
Wasomali
Watanzania
Hiyo ndio top 4 yangu
Unajuaje km home ni #1?sio nne? Vibaya hivo....
Penda vya nyumbani

Acha ibaki hivyo hivyo mkuu,ndivyo alivyoona akapangaWatanzania waweke hapo juu. Maana kuanzia namba 1 hadi 3 wote wanapatikana hapa bongo kama RAIA.

Ninaishi jirani nao, kwa hiyo nikipata muda uwa nazama kwao. sio wajanja sana kama na uwezo wa kuwakamatishaMkuu unaonekana una uzoefu sana na hawa Wanyarwanda, hebu tema madini hapa uliwapataje au unafahamu lugha yao.
Mkuu mnatumia lugha gani kuelewana?Ninaishi jirani nao, kwa hiyo nikipata muda uwa nazama kwao. sio wajanja sana kama na uwezo wa kuwakamatisha
Si hapo juu umesemaUnajuaje km home ni #1?![]()