Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

wengi kizungu kinapanda hata kiswahili pia, ninaibiaibia kidogo kinywarwanda hawawezi kuniteta
Sawa mkuu nimekuelewa, kama ndio hivyo basi endelea kutuwakilisha vema huko.. peperusha bendera kwa umakini wa hali ya juu.
 
Watoto kama hao mbona wanapatikana hapa hapa Tanzania? Nenda kwa ndugu za Wairaqw kule Manyara na Arusha.
 
Kuna memba humu kitambo HV aliwahi sema hao mliowaleta Ruvu cha mtoto!! Jamaa alideki na kuanika WK nzima, sijui km ni kweli!!
 
Kwa hiyo Mungu anapendelea? Wengine alifinyanga tu akiwa busy? Maadam alitumia udongo alikua na oven tofauti akiwa na malengo yake na hakosolewi.

Kwani hujui hilo! Hujaskia kuna Taifa teule.
 
90e5ac07f1253aa19dc937a43595d065.jpg


Hii nadhani ya wahabeshi
 
Kuna memba humu kitambo HV aliwahi sema hao mliowaleta Ruvu cha mtoto!! Jamaa alideki na kuanika WK nzima, sijui km ni kweli!!
Ni kweli kbs mkuu,na usishangae kukuta ...kuzuia wota ktk baadhi ya nyumba za wageni..na ukimwaga vzr mbn wako huyoo
 
Back
Top Bottom