Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

Mbona mademu wa rwanda na birundi wanafanana alaf wana k zina maji hatari, watt wazuri wapo tz bana kila aina yupo na shagy alivyokuja bonga hakuamini kuona wachuchu hatari
 
Wana roho mbaya hao we simuliwa tu, halafu hawajui kupenda ila kukubali kutoka na na uhitaji wake kwa wakati husika. Ni sura na umbo tu.
Wapo hivyo kweli Hao watu ni Wana roho za kutu.
 
Hv hawa wakiendaga kule miss world mbona hawarudi na mataji au ni udongo fake?
 
Proudly Rwandese.beautiful country,Beautiful People.
Hivi rwanda kwa mtu makini kufikili utasema beutifuful country haisee hebu acheni ujinga,mijitu inauwana eti kisa huyu mtuts huyu muhutu,haya majamaa ni mapumbavu sijapata kuona,km rwanda beutifuly country tanzania uisemeje,hakuna watu wenye roho mbaya km watuts hebu angalieni jinsi wanavyowauwa watu haswa wahutu ambao kiasiri ni ndio wenye rwanda,tizana walipoivamia congo na kuwauwa wacongo ktk aridhi yao kisa madini yao kwa kuona tu congo ni nchi zaifu kiulinzi,hata sisi tz tungekua legelege muda mrefu mngeshaingia hila msilogwe mkajaribu,kisha unasimama na kujisifu rwanda ni nchi nzuri na watu wake wazuri.tembea uone nchi wewe.
 
Back
Top Bottom