Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

Mbona wadada wa tz wanatoka bila kuwasofia majirani zao humu au ndo roho mbaya zao na wanahisi kuibiwa tayari?!
 
hawa wadudu nimewatumia kiasi cha kutosha. Mungu hawezi kukupa kila kitu, bahati mbaya mashine zao sio poa kivile, nyingi nilizokutana nazo ni oversize, halafu hawajui kujituma kwenye 6x6
 
Kwa hiyo Mungu anapendelea? Wengine alifinyanga tu akiwa busy? Maadam alitumia udongo alikua na oven tofauti akiwa na malengo yake na hakosolewi.
Hapana mkuu, umeniwacha nicheke kwa sauti
 
Back
Top Bottom