dtov
Member
- Jun 22, 2014
- 28
- 8
Successful selected mkuu nmekuwMkuu sijakuelewa
Successful selected mkuu nmekuwMkuu sijakuelewa
ExactlyHongera kwenu mliochaguliwa mungu amesikia kilio chenu .
Exactly
No awajatupa bd mkuuuVip wamewapa admission letter kwenye system?
Ngoja na sisi tusubiriSisi wa first round tayari tushapewa admission number , admission letter , medical form na fee structure , inatakiwa tarehe 29 October kila mtu awe ameshafika chuo udom na amelipa ada kabla ya tarehe hiyo , orientation day tarehe 5 November
broo safiii sanaaa umetutiaa moyo sanaaa yaan God bless you kwakweliiiHongera kwenu mliochaguliwa mungu amesikia kilio chenu .
Sisi wa first round tayari tushapewa admission number , admission letter , medical form na fee structure , inatakiwa tarehe 29 October kila mtu awe ameshafika chuo udom na amelipa ada kabla ya tarehe hiyo , orientation day tarehe 5 November
kuna mwingine wamekawia kumjibu ila hajapata na profile yake huwezi kuapply haikup acess hiyoKuna member mmoja alisema kuwa ukiona account yako haijajibiwa Basi kuna posibilty kubw ya kuwa umechaguliwa hayo ni yakwel kbx mm nimechaguliwa nw
Umepata Udom mkuu?Kwakweli how i wish wangekua specific kwakwel. Mambo yangekuwa wazi na ya kueleweka kabisa. Hata wale watakao kosa hii selection nao wajipange wanafanyaje. Multiples zitatoka codes zianze kusumbua. Wengne nadhan hata admission letters hawajapata. Kwakweli TCU waliangalie hili wengine vyuo vitafunguliwa bila kuwa na admission letter
mwambie awapigie fasta hata mi second round ilinifanyia ivo ivo nikawapigiaa wakaniambia niwape namb ya 4m4 aka update pale pale afu akaniambia ingia tena nikaingia nikakuta inanirusu kuapply tenakuna mwingine wamekawia kumjibu ila hajapata na profile yake huwezi kuapply haikup acess hiyo
natumaini hata ukifungwa roho safi tu.Thank you ALLAH nimechaguliwa udom na mimi nimepata ALLAH give what yo praying fo.......hii heka hekaa haikuaa sio poaaaa jamaniiiii sasa hapa haa game ya simba na yanga naenda taifa kwa amani zote
Pamoja sana ndugu.broo safiii sanaaa umetutiaa moyo sanaaa yaan God bless you kwakweliii
Daaa acha tyu Mkuu tumepata tabuu xnaaaThank you ALLAH nimechaguliwa udom na mimi nimepata ALLAH give what yo praying fo.......hii heka hekaa haikuaa sio poaaaa jamaniiiii sasa hapa haa game ya simba na yanga naenda taifa kwa amani zote
UHabar zenu wakuu naomba kujua waolio apply second round majina yao yanatoka Lin au kama yametoka mwenye anayo bas