KERO UDOM rekebisheni uandishi wa Vyeti, mnatukosesha fursa kwenye Ajira Portal!

KERO UDOM rekebisheni uandishi wa Vyeti, mnatukosesha fursa kwenye Ajira Portal!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Nina kero moja, ngoja niiweke hadharani leo, ni kuhusu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinafanya Watu wapate tabu saana kupata ajira kupitia Ajira Portal.

Mfano hizi kazi za Walimu wa Economist au Mathematics, Mtu kasomea Pschology of Education in Mathematics and Economics, cheti kinaandikwa Bachelor of Education in Pschology kitu ambacho kinawanyima fursa wahitimu wengi kwenye ajira.

Hiyo ni kwa sababu cheti kinaonekana hakiendani na kazi tajwa kwasababu ya makosa ya kutaja Bachelor vibaya, tunaomba warekebishe hilo.
 
Hiyo shida si Kwa UDOM pekee, vyuo vingi mfumo wa uandishi wa vyeti ndio huo. Shida Iko huko ajira portal. Nadhani mfumo ungeruhusu kuweka teaching subjects baada ya kuandika jina la degree program, kwasababu degrees nyingi za ualimu hazionyeshi teaching subjects katika jina lake
 
Mfumo wa ajira portal n crosscutting issue n bora kila wizara iendlee na mfumo wake wakuajili watoe fursa watu kuaply maana ajira portal havielwek kila kitu inabana
 
Hilo sio kosa la linalopekea kukosa ajira ni kosa la wizi/utapeli wa kitaaluma.

Inapaswa, jina la kozi ya uliyodahiliwa, ndio liwe kozi uliyosomea chuoni na ndio kozi itayoandikwa kwenye cheti.

Sasa wewe mhusika ni kwanini upokee cheti kilichoandikwa tofauti? Ulipaswa pale pale ukikatae na uombe kupewa cheti husika na sio kusubiri kuliona hilo wakati wa kuomba ajira unless muhusika ulichonga hilo hapo kabla ukidhani litakutoa huko mbele.
 
Ulipaswa pale pale ukikatae na uombe kupewa cheti husika na sio kusubiri kuliona hilo wakati wa kuomba ajira unless muhusika ulichonga hilo hapo kabla ukidhani litakutoa huko mbele.
Huo ugomvi utakaoibuka sio wa Nchi hii
 
Nina kero moja, ngoja niiweke hadharani leo, ni kuhusu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinafanya Watu wapate tabu saana kupata ajira kupitia Ajira Portal.

Mfano hizi kazi za Walimu wa Economist au Mathematics, Mtu kasomea Pschology of Education in Mathematics and Economics, cheti kinaandikwa Bachelor of Education in Pschology kitu ambacho kinawanyima fursa wahitimu wengi kwenye ajira.

Hiyo ni kwa sababu cheti kinaonekana hakiendani na kazi tajwa kwasababu ya makosa ya kutaja Bachelor vibaya, tunaomba warekebishe

Kijani - Apps on Google Play Gusa link uone fursa zilizopo ndani. Ajira za kutosha ni maombi yako tu hakuna haja ya connection. Wale tuliokosa TRA tuje hapa. Huu ni mshahara wangu wa kwanza. Niliweka nadhiri ntawasanua watu sitakula peke yangu. Kazi kwenu na sala zenu.
Jina la program uliyosoma ndilo jina la cheti chako. Hiyo bachelor of psychology in economics and mathematics ndio kitu gani?.
 
Back
Top Bottom