UDOM iitwe Jakaya Kikwete University

UDOM iitwe Jakaya Kikwete University

Wazo lako ungeliandika twitter ndo JPM angeliona kama la MO alivyo sema uwanja uitwe Mkapa, JK university poa tu maana halinisaidii chochote ila ni heshima kwake
 
Wakati mwingine majina yana mkono wa kisiasa zaidi kuliko uharisia.
Lakini kwa UDOM,JK amecheza kama Pele,alitenga eneo kubwa sana la kutosha kwa matumizi ya miaka mingi mbeleni pia kwa sasa ni uwekezaji mkubwa wa elimu ya juu labda kuliko chuo chote chote Africa Mashariki.
Kwa bahati mbaya kuna watu wengi hawalioni hilo,na Kikwete hapendi misifa yeye anapenda kusafiri.
 
Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.

Naomba kuwasilisha.
Ngoja afe kwanza
 
Msibani hamuendi tumejaza wanafunzi tu!
Adjustments.jpg
 
Yule mwamba anaitwa Fidel Castro nilimkubali sana,alikataa jengo/barabara yoyote ile nchini kwake kuitwa jina lake na akasema akifa anataka achomwe moto na ikawa hivyo.
 
Wakati mwingine majina yana mkono wa kisiasa zaidi kuliko uharisia.
Lakini kwa UDOM,JK amecheza kama Pele,alitenga eneo kubwa sana la kutosha kwa matumizi ya miaka mingi mbeleni pia kwa sasa ni uwekezaji mkubwa wa elimu ya juu labda kuliko chuo chote chote Africa Mashariki.
Kwa bahati mbaya kuna watu wengi hawalioni hilo,na Kikwete hapendi misifa yeye anapenda kusafiri.
Kabisa mkuu
 
Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.

Naomba kuwasilisha.
Na Tanzania iitwe Nyerere. Naomba kuwasilisha
 
Hivi haya yanaingiaje?????kama tuko kwenye mashindano vile.

Taifa liko kwenye maombolezo,tuomboleze mambo ya huyu alifanya hili yule alifanya kile tuachane nayo
 
Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.

Naomba kuwasilisha.
mbona itakuwa shida sasa maana vya JK vipo vingi sana:

- Flyovers zote ziitwe JK1, JK2, etc
- DART iitwe JK
- Mloganzila iitwe JK
- mabarabara thousand kms ziitwe JK
- uchumi wa kati uitwe "uchumi wa JK"
- nk
 
Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.

Naomba kuwasilisha.


Tuache kuingiza Siasa kwenye elimu. Kama kafanya vitu viwekwe kwenye rekodi zake.
 
mbona itakuwa shida sasa maana vya JK vipo vingi sana:

- Flyovers zote ziitwe JK1, JK2, etc
- DART iitwe JK
- Mloganzila iitwe JK
- mabarabara thousand kms ziitwe JK
- uchumi wa kati uitwe "uchumi wa JK"
- nk
No Udom ni picha halisi ya JK
 
Hivi haya yanaingiaje?????kama tuko kwenye mashindano vile.

Taifa liko kwenye maombolezo,tuomboleze mambo ya huyu alifanya hili yule alifanya kile tuachane nayo
Tusisubiri viongozi wafe ndiyo tuanze kutoa sifa
 
Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.

Naomba kuwasilisha.

University of Dodoma (UDOM) itabaki hivihivo kama UDSM ilivyo! Dodoma ni makao makuu ya nchi. Period.
 
Back
Top Bottom