Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Ngoja adanje kwanza
Ngoja afe kwanzaNatoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.
Naomba kuwasilisha.
Kabisa mkuuWakati mwingine majina yana mkono wa kisiasa zaidi kuliko uharisia.
Lakini kwa UDOM,JK amecheza kama Pele,alitenga eneo kubwa sana la kutosha kwa matumizi ya miaka mingi mbeleni pia kwa sasa ni uwekezaji mkubwa wa elimu ya juu labda kuliko chuo chote chote Africa Mashariki.
Kwa bahati mbaya kuna watu wengi hawalioni hilo,na Kikwete hapendi misifa yeye anapenda kusafiri.
Na Tanzania iitwe Nyerere. Naomba kuwasilishaNatoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.
Naomba kuwasilisha.
TeteteNa Tanzania iitwe Nyerere. Naomba kuwasilisha
Sio Tanganyika mkuu ndio iitwe Nyerere, halafu Zanzibar iitwe karume, halafu ukiunganisha Nyerere na karume tupate NYEREKARU ndio liwe jina la TANZANIA😀. Hatari sana.Na Tanzania iitwe Nyerere. Naomba kuwasilisha
mbona itakuwa shida sasa maana vya JK vipo vingi sana:Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.
Naomba kuwasilisha.
Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.
Naomba kuwasilisha.
No Udom ni picha halisi ya JKmbona itakuwa shida sasa maana vya JK vipo vingi sana:
- Flyovers zote ziitwe JK1, JK2, etc
- DART iitwe JK
- Mloganzila iitwe JK
- mabarabara thousand kms ziitwe JK
- uchumi wa kati uitwe "uchumi wa JK"
- nk
Mkuu hii siyo siasa jamaa kafanya vizuri upande wa UDOMTuache kuingiza Siasa kwenye elimu. Kama kafanya vitu viwekwe kwenye rekodi zake.
Tusisubiri viongozi wafe ndiyo tuanze kutoa sifaHivi haya yanaingiaje?????kama tuko kwenye mashindano vile.
Taifa liko kwenye maombolezo,tuomboleze mambo ya huyu alifanya hili yule alifanya kile tuachane nayo
Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.
Naomba kuwasilisha.