UDOM iitwe Jakaya Kikwete University

UDOM iitwe Jakaya Kikwete University

Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.

Naomba kuwasilisha.
Taasisi ngapi sasa zitaitwa Nyerere?
 
ha
Mkuu chuo kilijengwa wakati wa utawala wake, ni heshima ambayo tunatakiwa kumpa JK
Halafu na UDSM, MZUMBE, MUCCOBS
hebu acheni UDOM kiendelee kutambulika kimataifa km vingine OXFORD, HAVARD
Mambo ya kuvipa majina ya viongozi mwishowe vinaitwa vya Kata
 
Natoa pekendekezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kiitwe Jakaya Kikwete University sababu ni miongoni wa chuo kikubwa sana hapa Tanzania na Afrika Mashariki. Hii ni heshima kubwa kwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa kujenga Chuo Kikuu kikubwa na kupanua elimu hapa nchini, pia tusisubiri mtu aondoke ndiyo tuanze kusifia tumpe haki yake akiwa hai.

Naomba kuwasilisha.


Nadhani Inasubiriwa kiitwe; ""Nyerere university".
 
Back
Top Bottom