Tupe ushahidi, wapi wamezoa? Mifano zaidi ya mmoja itakuwa poaMiongoni mwa vyuo vya zoa zoa ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli divisheni four mtu anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
Bora usome hizo RUCO, SAUT au Theofilo kisanji n.k kuliko UDOM ya Kata.Miongoni mwa vyuo vya zoa zoa ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli divisheni four mtu anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
Hoja dhaifu
Ww msomi umefanya nn cha kisomi ili hata wanaojifunza wajifunze kwako? Kama sio usomi Wa kimajunguSijaboreka ila kama msomi Nina haki ya kulijadili
Kwani vyuo vingine mbona vinachukua cream
Why udom??
Anayesoma health udomMpiga hera na post zake za kukurupuka yaani umbea umbea tu.. Afu ushahidi hana ana bwabwaja tu .. Wewe unasoma wapi ?? Na unasoma nn ?
.. UDOM wanachukua waliofanya vizuri tu .. Nenda college ya health ukajionee pale ni 1 & 2 only .. Tena 2 ni kwa wadada sana sana.
Ngazi ya degree lakini si ya udomWewe acha ujinga. Nawewe unasema ni msomi? Nyie ndo mnaaibisha nchi...watu wanajua wasomi wa Tanzania ni mapunga kisa mijitu kama wewe. Msomi anakuwa na mawazo ya kipumbavu hivyo? Labda nisiseme sana...inawezekana wewe ni msomi ila ngazi gani sasa ndo issue... uneza ukawa msomi ngazi ya chekechea![]()
![]()
![]()
![]()
Tatizo ni pale wanaporuhusu hongoFriendly speaking Udahili wa wanafunzi unafnya na Tcu na Nacte sasa ukianza kuklaumu chuo sidhan kma ni sahihi unless entry requirements hzfuatwi hpo sawa lkn kma m2 anaingia kwa7bu amekidhi vgezo vilivyowekwa bas sio vbya tu usiwe biased sna ktk kueleza v2
Huna hoja kaa kimyaInabidi ulete matokeo ya mtu mwenye matokeo ya chini ya advance kutoka udom alf utaje chuo ambacho unahisi co zoazoa na sisi tutakuletea mtu mwenye matokeo ya chini toka hicho chuo maana admission za kila mwaka zipo mtandaoni.
N.B :
Soma ukimaliza chuo na ukipata cha kufanya ndo uwe unaongea sana.
tunataka fact co maneno.....ndo sifa ya msomi .....usituletee siasa.Huna hoja kaa kimya