Hadi miaka ya 2005, udsm hawakua wakidahili div 3, baada ya ongezeke la vyuo wakaanza, mfn, 2011 rfk yng, alpt div 3 ya 15 akachaguliwa ed( science)udsm.duce walichukua hd div 3 ya 16 yaani E E S.mtkeo ya 4m six 2014 div 4 ilikua sw na 3 ya zmn, mfn DDC=EED au DDE=EES sw na div 3 ya 16 zmn, hvo walistahili kpt admsion..hitimisho,, zoazoa imeletwa na mfumko, thus why udsm mwk huu wamechukua gpa ya 3.0 kutoka 3.5 kwa wale dip holder.nmerefer ud coz ndo chuo bora klingna na tkwm, hili upte picha hls ya hl ilivo ss.