UDOM chuo kinachozoa zoa

UDOM chuo kinachozoa zoa

Changia hoja usitake kujua elimu yangu kama unashindwa kujenga hoja kaa kimya
Wee mwenyewe hujui kujenga hoja unataka achangie nini hapo..!! Rudi shule kasome namna ya kujenga hoja zako
 
Kama ni chuo cha Kata tutajua acha tukasome sisi we jishauwe hapo na umeishia vi College uchwara afu tutakutana job
Hahahaha...unaweza kuta hata chuo kikuu hajawah fika that's why hana sense katika hoja zake
 
Inabidi ulete matokeo ya mtu mwenye matokeo ya chini ya advance kutoka udom alf utaje chuo ambacho unahisi co zoazoa na sisi tutakuletea mtu mwenye matokeo ya chini toka hicho chuo maana admission za kila mwaka zipo mtandaoni.
N.B :
Soma ukimaliza chuo na ukipata cha kufanya ndo uwe unaongea sana.
 
Taja university inayochukua 4m four
kweli wewe ni wa mwendokasi hata maana ya university haujui.....yani wewe unajua university haiwezi chukua kozi za cert na dip kwa form 4 lvr.....hata SUA,UDSM,MZUMBE,MUHIMBILI,BUGANDO najua ndo unajua ndio vyuo vikuu pia wanadahili diploma kwa wny vyeti vya form 4...Kama haujui tafuta admission book ya NACTE,naona haupo familiar na mambo ya elimu sana,wewe umekua ukisoma ukiambiwa chuo bora ni chuo fulani tu.
 
Miongoni mwa vyuo vya zoa zoa ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli divisheni four mtu anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
yaani zoa zoa sabuni au? yupi mwenye four kachaguliwa bachela 2016/2017 au unamaana gan?
 
Nimependa uzi wako kwani unaonyesha jinsi tunavyo angalia mambo kwa dhana tofauti. Udahili Tanzania unakuwa regulated na TCU na wao ndio wanaoweka ufaulu wa chini unaokubalika sio UDOM inayofanya hicho wala si chuo kingine chochote. Kama una point 4 kwenye masomo mawili na nafasi ipo kwa nini UDOM wasikuchukue? Pia wanapochikua hawaangalii kama una division gani wanaangalia kama una point ngapi na kutokana na program umefaulu masomo gani.

Unashindwa kuelewa mtanzania anaetaka au anaefurahia vijana wenye sifa wasidahiliwe vyuo vikuu halafu kila siku tuna lalamika nchi jirani zina udahili mkubwa. Division 4 kusoma university kuna tatizo gani-inategemea anachukua nini (kuna course fupi, kuna certificates)-issue sio kusoma university bali anasomea nini na level gani.
wewe unajua
 
Wewe sio wa kwanza kuja kutafuta umaarufu JF,walikuja wengi wakapita

Hivyo na wewe utatulia tu na kutoa michango ya maana

Karibu
 
Nyie wasomi hebu muashimiane, kama ww umechaguliwa chuo borast, basi waheshimu walio chaguliwa vyuo vingine. Chuo kingekuwa hicho kimoja Tanzania nzima ww ungepata nafasi? Tuache dharau
 
Mtu siku Hizi akitaka umaarufu humu anapost kuhusu UDOM
 
Kuna watu ambao bado hawajui hata admission inakuje.
TCU na NACTE ndo wanahusika kufanya admission kwa kuzingatia vigezo. Kama muombaji ka'meet entry requirements huchaguliwa.
Sasa jitu linakurupuka kutoka wapi huko, likunakuja kutema pumba hapa Jf. Ifahamike kuwa hakuna chuo hapa Tz kinachotoa bachelor degree kwa wanafunzi wenye level ya form four. Ila universities karibu zote hapa bongo zinatoa Diploma na certificate kwa wanafunzi walio na vigezo vilivyowekwa na NACTE kwa kushirikiana na chuo husika.
 
Kuna mwingine anasoma fine arts udsm amekazana kumdis md 5 Udom

Lazima ushangae
 
Back
Top Bottom