Ubavu
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 2,790
- 3,272
Hapo kwenye mshahara mbali sana kaka.. Tuanze kwenye kupata kazi kwanza...Usome udom... Udsm. SUA. SAUT... Wote mshahara ule ule serikalini
Hapo kwenye mshahara mbali sana kaka.. Tuanze kwenye kupata kazi kwanza...Usome udom... Udsm. SUA. SAUT... Wote mshahara ule ule serikalini
Hahahaha Daaaaah nyie watuHapo kwenye mshahara mbali sana kaka.. Tuanze kwenye kupata kazi kwanza...
m.a.t.a.k.o yakoHoja dhaifu
UDISM,home of bogaz,dictators.n.kKasoma chuo cha vipanga bro-UDSM home of intelectuals
mkuu kwani hapo uyo mkuu alivojibu kakosea nin,au unafkir amejibu kwa ubaya mpaka ubadilishe kauli au alichokisema?? sio vema kuinglia au kujibu ambapo hata si lazima au haustahili ni vzur humu ndani tukiwa na hoja kuziwasilisha inavyostahili si kufatlia mtu kacomment nin?UDISM,home of bogaz,dictators.n.k
WEWE BILA SHAKA UMEPATA ZERO (FFF)Miongoni mwa vyuo vya zoa zoa ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli divisheni four mtu anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
Sifa kazi waziiii.... wambieee haoo,Hapo kwenye mshahara mbali sana kaka.. Tuanze kwenye kupata kazi kwanza...
Shule umesoma wapi?...... Udom haidail wanavyuo, hiyo ni kazi ya Nacte na TCU...... Sasa sijui umekula maharage ya wapi ww. Nyie mliosoma Chini ya miti mna shida Sana.Sijaboreka ila kama msomi Nina haki ya kulijadili
Kwani vyuo vingine mbona vinachukua cream
Why udom??
Halafu unaye mwenye four aliye udom????Miongoni mwa vyuo vya zoa zoa ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli divisheni four mtu anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
Jiulize huko udom walijipeleka au tcu waliwapelekaSijaboreka ila kama msomi Nina haki ya kulijadili
Kwani vyuo vingine mbona vinachukua cream
Why udom??
Wewe acha ujinga. Nawewe unasema ni msomi? Nyie ndo mnaaibisha nchi...watu wanajua wasomi wa Tanzania ni mapunga kisa mijitu kama wewe. Msomi anakuwa na mawazo ya kipumbavu hivyo? Labda nisiseme sana...inawezekana wewe ni msomi ila ngazi gani sasa ndo issue... uneza ukawa msomi ngazi ya chekecheaSijaboreka ila kama msomi Nina haki ya kulijadili
Kwani vyuo vingine mbona vinachukua cream
Why udom??
