Udini waingilia Rasmi kampeni Igunga

Udini waingilia Rasmi kampeni Igunga

Ukiona kampeni zinaacha kujadili maisha ya ki maskini yaliyowajaa wananchi wa Igunga(angalia picha ya nyumba iliyo background na DC) na kujadili mambo ya kidini,jua kuna baadhi ya watu hoja za msingi zimewaisha. Tumuombe Mungu atuongoze kwenye fikra zetu!
 
taratibu bana!!
sisi tusio na misikiti na makanisa tutakutania wapi?

Bac mkuu memo ngoja tuyamalize kiu2 uzima2 tusiwanyime haki msio na dini japo mambo mengine ndugu yng yanatia jazba sana!!
 
mtaji pekee kilichobakiwanacho ccm ni kuwagawa watz kwa namna yoyote ile, iwe ya udini (kama wafanyavyo sasa igunga) au kikabila (chadema cha wakaskazini/wachaga etc). inasikitisha waasisi wa ccm walivyopambana kuijenga tz isiyo na ukabila/udini na ccm chovu ya magamba inayoona haina namna ya kupata kura zaidi ya divisions na kuchakachua!
 
Tusifike hko ndugu zang,tuwasikilize viongoz wetu zn tutumie hekima na busara kuchambua mambo
 
Ndugu zangu tusichanganye matamko ya watu na dini ya uislamu, kuna wapuuzi wachache wanaweza kusimama misikitini na makanisani na kutoa misisimamo flani siamini kama ndiyo misimamo ya dini hizo lazima kuangalia nani kasema na ana nafasi gani katika dini husika. Isije akatokea mwendawazimu mmoja akasema uislamu/ukristo haramu halafu na sisi wenye kufikiri tukachukua kama ndiyo msimamo wa dini husika. Ni vema kuendelea kukemea upuuzi huu unaoendelea wa watu kutaka kutusahaulisha mambo ya msingi na kuhamia kwenye agenda za kipuuzi. hivi sasa hivi raslimali za nchi zinavyoibiwa zinachagua mtu wa kumuathiri si wote tunaumia?
Kwanza dini zote hizo tuliletewa na wageni si ukristo wala uislamu, na waliozileta wanaendelea kupeta sie badala ya kuangalia namna ya kuikomboa nchi yetu tunaanza kuhangaika na dini hizo za mapokeo.
huu si mwelekeo wa maana watatuchonganisha wao wataendelea kuvimaba matumbo.
 
Waislam ...........Hawana effect kwanza kura zao ni za mapepo.

Nditolo,

Kuweni wastaharabu katika kuchangia kwenu. Kama wao ni mapepo, unawasemaje wachungaji, manabii, mitume, na maaskofu wa Kikristo ambao kuendelea kwa huduma zao za kiroho kunatokana na wakristo wao kujaa/kujazwa mapepo kila uchao?

Hata kama tunatumia majina bandia na hakuna anayetujua, tujarbu kuendelea kutumia akili zetu vema katika kuchangia mada. Ipo siku utake husitake, unaodhani hawakujui watakuambia wewe ni nani kwa usahihi kabisa. Na hapo ndipo utakapojiona mjinga wa kutupwa. Utatamani ardhi ipasuke ujifiche au yatokee mazingaombwe sura yako ipotee duniani. Usiatake kufikwa na wakati huo.
 
inasikitisha sana!....yaani sasa vyama hazinadi na kujadili SERA na utekelezaji wa PLANS za maendeleo bali wanatumia MUDA na KODI zetu kupigia chapuo hoja za kutugawa tena za KIDINI......Duh! Tumekwisha, yahitajika MAOMBI MAKUBWA kwa ajili ya mustakabali wa TAIFA letu pendwa!Yaani i'm speechless and disgusted!
 
Wimbo ni ule ule,ccm wanapuliza moto wa kutugawa kidini.kwa staili hii mashekhe washaitikia chorus.
 
Siku moja kabla ya sikukuu ya Eid El Fitri nilimsikia bwana mmoja akilalama kuwa Bakwata sio chombo cha waislam ila ni chombo cha serikali na ndo maana sikukuu ya Eid mwezi umeonekana ila hawajataka iwe mpka wao watakapotaka mie nikampuuza kwa kujua huyu bila shaka ni muislam aina ya wasun ambao huwahi kufunga na kufungua japo sababu yake kuu ya kuita Bakwata chombo cha serikali ni kuwa iliundwa na serikali na sio waislam wenyewe.

Jana nimemuuliza matamshi wanayotoa hao wanaojiita wanazuoni wa kiislam na Bakwata na baraza wa Wasun anayachululiaje akasema yapo sahihi coz wameudhalilisha uislam. Basi nikamwonesha picha ya DC wetu wa igunga kwenye laptop yangu kisha nikadownload picha ya mama wa kiislam amevaa hijabu then nikamwambia atofautishe jamaa akajiona mjinga. Swala lililopo ni kuwa waislam wamezidi kuwa defensive hata kwenye hamna. Haiwezekani wakubali kutumiwa kila mara na serikali kisa tu rais wa nchi ni muislam sasa mbona ameshindwa kuwapatia mahakama ya kadhi kama wanavyotaka.

Ni wakina mama wangapi wakiislam ambao wameuwawa kwa kupigwa mawe ulimwenguni kwa kosa la uzinzi na wakati wanapigwa mawe wanakuwa kwenye hijabu zao au ni magaidi wangapi wanaotumia vazi la hijabu kutenda uovu mbona hawajawahi kusikika wakikemea kama kweli wanajua wanachokitenda. Sipendi kuwa mdini kwa sababu nikienda ktk huduma za kijamii ninatimiziwa pasipo kujali dini yangu sasa leo tukianza kubaguana taifa hii litafika wapi .

Tujiulize ndugu zangu pia tuchukue hatua siwashauri CDM kuingia ktk mtego wa udini kama washenzi hawa wanavyotaka ni bora kullikosa jimbo ila kuepuka siasa za udini.
 
kumbe mnajua waislam ni wachache sasa wasiwasi wanini hata nyie si mulimchagua slaa na mlijua hatashinda si mumesema wakristo mko wengi nyie mulianza sisi tunamalizia subirini maaskofu wawapigie debe kama sakata la madiwani waislam tunapiga kura kwa malengo hatakama tutakae mchagua hatashinda lengo ni kumridhisha mungu sio makengeza mbowe
hivi ww unamtisha nani hapa?kwanini unafikiri ninyi ndie wenye maamuzi na mustakabali na nchi hii,usijidanganye hii nchi ni yetu sote.
 
Taarifa ya habari ya ITV saa mbili imeonyesha tamko Rasmi la Bakwata kuwataka waislam wa Igunga wasimpigie kura mgombea wa chadema.Nimepata mshtuko mkubwa na kuona taifa letu sasa linaangamia.Hivi ni halali kwa mujibu wa sheria za uchaguzi dini kutangaza rasmi chama fulani kisipigiwe kura? Watu wote wapenda haki demokrasia na amani walaani tamko hili haramu.

Waislamu wenye akili timamu hawawezi kusikiliza upuuzi huu..........
 
Leo katika ibaada ya ijumaa katika msikiti mkuu wa igunga mjini shekhe ama mtoa mawaidha amesema chadema na wakristo ni makafiri. Katika mawaidha hayo shekhe huyo alisikika kupitia spika za mskitini (Public annoucement system) akisema chadema ni chama cha kidi kwa sababu ya kumdharirisha mkuu wa wilaya ambaye ni mwislam. nami ni kiwa eneo ka msikitini nilisikia maneno hayo ya shekhe. Kweli shekhe katugawa wana igunga. Anadai kwa mwislam yeyote atakaye chagua chadema atalaaniwa. Baada ya ibaada wapo baadhi ya waislam wamechukizwa na hotuba ya shekhe huyo. Mbaya yaidi waislam wanashindwa kuelewa kama kuchagua chadema ni dhambi kwa kauli ya shekhe! je wachague chama kipi? Kwani katika vyama venye nguvu hapa ni chadema, ccm na cuf. Wagombea wote kupitia vyama hivyo wote ni wakristo. Kuna mgombea mmoja tu kutoka chama kimoja cha UDPD ambacho hakina mashiko kabisa hapa igunga hata kampeni bado hakijazindua. Sijui huu udini utatupekeka wapi? haya ni ya kweli nimeyackia mwenyewe na kama una dungu yako hapa igunga ambaye anafuatilia siasa kwa ukaribu please jaribu kumuuliza. Tunaomba dua zenu uchaguzi huu umalizike kwa amani.
Tushukuru maana uzuri wake wagombea wa vyama vyote vyenye nguvu ni Wakristo hivyo hoja au rai ya huyo shehe haina nguvu saana maana watabidi wachague wasilo penda kwa msimamo wa huyo shehe.Lakini nijuavyo mimi watu wanachagua mtu kwa weledi wake na malengo ya chama chake. Hao watu anaowashawishi wachague ngombea wake si wajinga wanajua watamchagua nani ataye watetea kutoka kwanye umaskini!!!!!!! Tanzania ni yetu wote bila ubaguzi wa dini!!!!!Tumpuuze huyo kiongozi wa dini uelewa wake ni finyu!!!!!!!
 
Ukiona kampeni zinaacha kujadili maisha ya ki maskini yaliyowajaa wananchi wa Igunga(angalia picha ya nyumba iliyo background na DC) na kujadili mambo ya kidini,jua kuna baadhi ya watu hoja za msingi zimewaisha. Tumuombe Mungu atuongoze kwenye fikra zetu!
CCM hoja zimewaisha wameamua kuwasakizia nduguzangu Waislamu hadi msikitini ili walete hoja zachuki zadini kuwagawa wana Igunga. Nawashauri wanaigunga watafakari uchaguzi ni kwa ajili ya nani? na faida zake baada ya uchaguzi?? Wasiende na mtazamo wa ushabiki wakapata hasara ya miaka mingine mitano ijayo tena, chagua chama makini!!!!!! Hebu waone mfano wa Tanzania nzima sasa taabu tunayopata shauri ya kuchagua kwa ushabiki zahama imetukumba sukari itafikia bei ya Tshs 4000/=. Dhuruma kibao wezi wa mabilioni wako mtaani wanatuona mabwege!!!! Watu wawe makini na uchaguzi, wacha siasa uchwara za kushabikia hijabu ukabaki kwenye umaskini wa kutupwa miaka yote!!!!!!!
 
Udini wa CCM usituchafulie Democracy yetu...

Wind of change is coming... Angalia Zambia... Angalia walivyokuwa Wanamfanyia Visa Michael Sata Rais Mpya

Chadema lazima ishinde....

PLEASE OUR LEADERS DON'T GAIN THe WORLD and LOSE YOUR SOUL, WISDOM is BETTER THAN SILVER or


GOLD!!!
 
CDM msiwe na wasiwasi mtashinda tu kwani hao wameshasambaratika kama msemo wa kiswahili usemao Mc.......@#* ukichanika mavi hutawanyika, je hivi sasa mnamsikia Igunga mtu aitwate Nape? wapi Lowassa kajificha? Sitta kwao Tabora lakini vipi hakanyagi Igunga? Wapi Mrs Malechela Kilango? Mpiganaji wao Ole Sendeka ana allergy na Igunga? mpiganaji mwingine maarufu Lembeli wa pale Kahama kakosa Tsh 20,000/= za kumfikisha Igunga? RA ndio kabisaaaa toka atie zuga kwenye ufunguzi kala kona kubwa na huenda anakusaidieni CDM bila nyie kujua kwani anausongo sana na siasa zao za UCHWARA
 
kumbe mnajua waislam ni wachache sasa wasiwasi wanini hata nyie si mulimchagua slaa na mlijua hatashinda si mumesema wakristo mko wengi nyie mulianza sisi tunamalizia subirini maaskofu wawapigie debe kama sakata la madiwani waislam tunapiga kura kwa malengo hatakama tutakae mchagua hatashinda lengo ni kumridhisha mungu sio makengeza mbowe


Aah umenena Vema. Mridhisheni huyo mungu aliyewakatalia mahakama ya kadhi, huenda akabadili mawazo.
.
 
Ushauri wangu ni mmoja tu kwa chadema!
Kusanya huo ushahidi na endapo atashinda mgombea wa ccm nenda mahakamani. Iombe mahamama iwafanye ccm kama warioba alivyomfanya wasira kule bunda. Ccm ikifungiwa miaka kumi kushiriki uchaguzi igunga litakuwa kundisho kwao!
 
Yeap man.! There ur..mashekhe washanunuliwa na magamba tayari


Ni kweli kabisa wamenunuliwa, tena wala gharama ya kuwanunua masheikh sii cash. Ubwabwa tu wa nazi unawasomba wote na unawasahaulisha kila kitu. Lyatonga analifahamu hili, kwani aliwapiga ubwabwa jangwani wakampa ubunge wa Temeka, Na walisahau kabisa jinsi alivyowaswaga marungu kwenye fujo za mabucha ya nguruwe.
.
 
CCM itawatumia na mkristu yeyote aliye ccm ajue siku akigombea kupitia huko hayo yatamkuta.
 
Back
Top Bottom