Semenya
JF-Expert Member
- Sep 5, 2009
- 572
- 51
mkuu fundi mchundo usikurupuke, hapo jamaa alipo wa list viongozi wa juu wa UDOM wamemuacha DVC academic ambae ni christian...na mjadala wa ku compare tuliufunga hauna maana tunachotaka ni vielelezo vya mtoa mada wa thread hii na ushaidi...ambapo ameshindwaKwa nini usiwaweke tuu kama walivyofanya kuhusu UDOM? Tatizo liko wapi? Watu wameishadai kuwa uongozi wa juu wote wa hivi vyuo ni wamisheni. Wawataje basi ingawa jina si ushahidi kamili.
Amandla........
kifupi mshahara hauna udini ni vyeti vyako vinakupa mshahara wako...rejea page 1 mpaka ya 9 ya thread hii ndo utaelewa tumetoka wapi
USIKURUPUKE KAKA