Udini wa kutisha UDOM!

Status
Not open for further replies.
Tuelekeako Tanzania si kuzuri hata kidogo. suala hili la ubguzi lisipothibitiwa mapema itakuja tuumiza wenyewe baadaye. Kwa sasa suala hili linaonekana kuota mizizi nchini kwetu na watu wanaliona ila wanalifumbia macho. Dhambi hii ni mbaya sana. Hata umoja tunaojivunia kwa sasa hauwezi fua dafu mbele ya ubaguzi. Aliyesema kuna upendo katika ubaguzi (wowote ule) ni nani?
Nitakupeni mifano michache:
1. Kuna shule moja wanasoma wahindi tu. Ipo maeneo ya Kurasini. Sijasikia mahali pengine wakiwa wanasoma watu wa taifa moja tu. Hii inamaanisha nini; hatuwezi changanyika nao sababu si wenzetu. Watoto hawa wakikua katika 'mentality' hii kuja kuamini kama sisi sote ni watanzania wakishakuwa wakubwa, ni kitu cha kusahau!
2. Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro tangu kianzishwe; zaidi ya asilimia 80% ya wanafunzi wanaodahiliwa huwa ni waislamu. Kwa maana kama wewe jina lako ni kama langu; Kyatsvapi, huna nafasi pale. Sidhani kama hii inafaa kwa jamii ya wapenda umoja kama Tanzania. Nakumbuka pia chuo hicho, tofauti na vyuo vingine vya kidini, kilichukua ardhi na majengo ya kilichokuwa chuo cha Tanesco, Morogoro (mali ya watanzania wote, wenye dini na wasio na dini). Sidhani kama maudhui ya chuo hicho ni kuwasomesha waislam tu, na kama ndiyo; tuelekeako tutakuwa tunazalisha wahitimu wa vyuo na siyo wasomi. Ni nani atashindana na mwanafunzi ambaye nafasi yake chuoni ipo guaranteed? Habari zaidi, waweza kudownload majina ya wanafunzi wanaochaguliwa chuo cha Waislam Morogoro kutoka http://www.mum.ac.tz/ selected students for the year 2009/2010.
 
Hadhi unamaanisha experience. Lakini in either way kadifference huwa ni kaduchu na tena ndani ya scale nzima ile ya upper na lower boundary almost hakuna cha maana. Kama utaamua kufundisha na ukawa huna hata uwezo wa ketetea haki yako basi wewe ni msomi goigoi. Watu wanalalamika mambo mengi pembeni lakini ukifuatilia utakutana na sababu za kutosha na kama kuna makosa huwa yanarekebishwa. Unajua watu huwa wanatoa comments tu wanadhani watu woote hawajui kinachozungumzwa, ukimwambia ajitokeze asaidiwe kama anapunjwa anaingia mtini. Hii nini sasa???

Mkuu
Nilimaanisha vyote experience na vyeti kwa pamoja. Mitanzania inaweza kuongozwa hata na chizi maana mingi haijui haki ila bingwa wa kuchemsha majungu.
Ila notch na notch kuna difference inaweza kwenda hadi laki 3 mkuu, si haba.
Nadhani tuanze kampeni ya kuwaaambia watanzania ukweli, ujinga uitwe ujinga na si changamoto. Upuuzi uitwe upuuzi na uzembe uzembe. Bila hili hatutoki hapa tulipo ndio maana wanasiasa wanatuchezea
 
acha kuwa bias na jenga hoja kimakini, mbona prof kinabo hujamuweka..deputy academics...acha kuwa mjinga kiakili na mnapo toa mada kama hzi mjue kuna watu wenye elim zao tunaosoma hizi..by the way me ni christian sioni tatizo la udini hapa UDOM
Mkuu mbona munkari na kuruka kimanga ?
Umeguswa pabaya nini?
 
Mkuu
Nilimaanisha vyote experience na vyeti kwa pamoja. Mitanzania inaweza kuongozwa hata na chizi maana mingi haijui haki ila bingwa wa kuchemsha majungu.
Ila notch na notch kuna difference inaweza kwenda hadi laki 3 mkuu, si haba.
Nadhani tuanze kampeni ya kuwaaambia watanzania ukweli, ujinga uitwe ujinga na si changamoto. Upuuzi uitwe upuuzi na uzembe uzembe. Bila hili hatutoki hapa tulipo ndio maana wanasiasa wanatuchezea
Yah maana watu wanajua majungu kuliko kusema ukweli na wakiambiwa ukweli utaona zinaanza mada nyingine ili ukweli usifike.
 
First thing first. Aliyeanzisha mada amenukuu barua ya mtoa maoni kwenye gazeti moja ambalo hata mwenyewe hana uhakika nalo, anadhani kuwa ni mtanzania au inawezekana kuwa Kasheshe.

Je tuna uhakika gani kuwa mtoa maoni kwenye hilo gazeti alikuwa na data au ushahidi wa ku-support maoni yake?

Kwa maoni yangu binafsi napata wasiwasi na JF kuwa The home of Great Thinkers. May be JF is just a home of disgruntled individuals.
 
Na akiwa Rais katoa Mazengo sekondari school kwa waangalikana

Hapo umesema uongo kwa sababu Mazengo ilikuwa ya waanglikana tangu awali, nyerere ndo alizitaifisha zile shule na kuwa za serikali lakini ukweli ni kuwa ile mazengo ilikuwa inarudishwa tu kwa mmiliki wake halali
 
Tuelekeako Tanzania si kuzuri hata kidogo. suala hili la ubguzi lisipothibitiwa mapema itakuja tuumiza wenyewe baadaye. Kwa sasa suala hili linaonekana kuota mizizi nchini kwetu na watu wanaliona ila wanalifumbia macho. Dhambi hii ni mbaya sana. Hata umoja tunaojivunia kwa sasa hauwezi fua dafu mbele ya ubaguzi. Aliyesema kuna upendo katika ubaguzi (wowote ule) ni nani?
Nitakupeni mifano michache:
1. Kuna shule moja wanasoma wahindi tu. Ipo maeneo ya Kurasini. Sijasikia mahali pengine wakiwa wanasoma watu wa taifa moja tu. Hii inamaanisha nini; hatuwezi changanyika nao sababu si wenzetu. Watoto hawa wakikua katika 'mentality' hii kuja kuamini kama sisi sote ni watanzania wakishakuwa wakubwa, ni kitu cha kusahau!
2. Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro tangu kianzishwe; zaidi ya asilimia 80% ya wanafunzi wanaodahiliwa huwa ni waislamu. Kwa maana kama wewe jina lako ni kama langu; Kyatsvapi, huna nafasi pale. Sidhani kama hii inafaa kwa jamii ya wapenda umoja kama Tanzania. Nakumbuka pia chuo hicho, tofauti na vyuo vingine vya kidini, kilichukua ardhi na majengo ya kilichokuwa chuo cha Tanesco, Morogoro (mali ya watanzania wote, wenye dini na wasio na dini). Sidhani kama maudhui ya chuo hicho ni kuwasomesha waislam tu, na kama ndiyo; tuelekeako tutakuwa tunazalisha wahitimu wa vyuo na siyo wasomi. Ni nani atashindana na mwanafunzi ambaye nafasi yake chuoni ipo guaranteed? Habari zaidi, waweza kudownload majina ya wanafunzi wanaochaguliwa chuo cha Waislam Morogoro kutoka http://www.mum.ac.tz/ selected students for the year 2009/2010.



mkuu napangua hoja zako mbili kama ifuatayo na kwania nzuri tu
mmoja ya wahindi kuwa shule inawahindi tupu ni kwasababu zifuatazo, moja kama ni shule ya wahindi inawezekana imeshawishi wahindi wengi kwenda, pia kama ni gharama sana watanzania wengi hawawezi ku aford, tatu kama ni mpya basi hatuijui kitaalima sana ila ikiwa inafanya vizuri wa TZ watakuja, mbona hatusemi shule za wa TZ ambazo hakuna muhindi wala waarabu

kuhusu muslim university, kile ni chuo kimewekwa kaajili ya muslims, mbona kuna shule za seminari za sekondari kama visiga na st marrian hazichukui waislam,ni kwasababu zimejengwa kwa madhumuni ya wakristo, pia nakuomba uangalie idadi ya wanafunzi wanao chukuliwa st agustin, na kile chuo cha kikristo st jones, pia anagalia na st joseph cha dar...ukiangalia wengi ni christians kama asilimia 90..

unanua ni nini, pia wananchi wakisha jua ni chuo cha kiislam au cha kikristo mtu haendi kwenye chuo imani ikiwa tofauti

so hapo kuja na kitu kipya kaka
 
First thing first. Aliyeanzisha mada amenukuu barua ya mtoa maoni kwenye gazeti moja ambalo hata mwenyewe hana uhakika nalo, anadhani kuwa ni mtanzania au inawezekana kuwa Kasheshe.

Je tuna uhakika gani kuwa mtoa maoni kwenye hilo gazeti alikuwa na data au ushahidi wa ku-support maoni yake?

Kwa maoni yangu binafsi napata wasiwasi na JF kuwa The home of Great Thinkers. May be JF is just a home of disgruntled individuals.

Zakumi,

Hii ni mitizamo ya watu wachache tu na hii ni mada moja tu kati ya mia kadhaa zinazoendelea leo hapa JF.

JF bado ni home of great thinkers (kama wewe).
 
mkuu napangua hoja zako mbili kama ifuatayo na kwania nzuri tu
mmoja ya wahindi kuwa shule inawahindi tupu ni kwasababu zifuatazo, moja kama ni shule ya wahindi inawezekana imeshawishi wahindi wengi kwenda, pia kama ni gharama sana watanzania wengi hawawezi ku aford, tatu kama ni mpya basi hatuijui kitaalima sana ila ikiwa inafanya vizuri wa TZ watakuja, mbona hatusemi shule za wa TZ ambazo hakuna muhindi wala waarabu

kuhusu muslim university, kile ni chuo kimewekwa kaajili ya muslims, mbona kuna shule za seminari za sekondari kama visiga na st marrian hazichukui waislam,ni kwasababu zimejengwa kwa madhumuni ya wakristo, pia nakuomba uangalie idadi ya wanafunzi wanao chukuliwa st agustin, na kile chuo cha kikristo st jones, pia anagalia na st joseph cha dar...ukiangalia wengi ni christians kama asilimia 90..

unanua ni nini, pia wananchi wakisha jua ni chuo cha kiislam au cha kikristo mtu haendi kwenye chuo imani ikiwa tofauti

so hapo kuja na kitu kipya kaka

Arguments za pumba sir,
Wahindi wameshawishiwa kuwenda shule zao-na nani?
Na watanzania wengi hawawezi kuziafford-poor thinking indeed
Muslim University ni ya waislam kwa sababu kuna Visiga,St Marian etc ni za wakristo-thats what I call poor(very) arguments!
Unweza kuelezea funding ya hizo institutions?Tuanajua Chuo cha Morogoro ni kodi zetu.
Mkuu weka logic yako in a proper perpective, otherwise adiko lako halina kichwa wala miguu.
 
mkuu napangua hoja zako mbili kama ifuatayo na kwania nzuri tu
mmoja ya wahindi kuwa shule inawahindi tupu ni kwasababu zifuatazo, moja kama ni shule ya wahindi inawezekana imeshawishi wahindi wengi kwenda, pia kama ni gharama sana watanzania wengi hawawezi ku aford, tatu kama ni mpya basi hatuijui kitaalima sana ila ikiwa inafanya vizuri wa TZ watakuja, mbona hatusemi shule za wa TZ ambazo hakuna muhindi wala waarabu

kuhusu muslim university, kile ni chuo kimewekwa kaajili ya muslims, mbona kuna shule za seminari za sekondari kama visiga na st marrian hazichukui waislam,ni kwasababu zimejengwa kwa madhumuni ya wakristo, pia nakuomba uangalie idadi ya wanafunzi wanao chukuliwa st agustin, na kile chuo cha kikristo st jones, pia anagalia na st joseph cha dar...ukiangalia wengi ni christians kama asilimia 90..

unanua ni nini, pia wananchi wakisha jua ni chuo cha kiislam au cha kikristo mtu haendi kwenye chuo imani ikiwa tofauti

so hapo kuja na kitu kipya kaka

Unasema mbona hatusemi kwenye shule ambazo hazina mhindi?? Kwani tanzania ni India??

Ukweli uko wazi kwamba wahindi siku zote ni wabaguzi japo serikali yao kwa sasa imegundua kwamba hawata weza kuendelea bila kubadilika tabia.

Hata hizi nafasi eti za shule (scholarships) za short courses ni ktk juhudi za serikali ya india kuwabadili raia wake waache au kupunguza ubaguzi.

Tukija kwa wakristu na waislamu, Tanzania naweza kusema hatuna kitu kinaitwa udini, labda CCM wakilete sasa kwani naona wanajuhudi kabisa za kuleta udini. Ni kweli kwamba waislamu wananjiona kama vile wananyimwa haki lakini ukweli ni kwa sababu wengi wakati wa ukoloni hawakutambua umuhimu wa elimu, walikumbatia waarabu (msahafu). Wakoloni wa kikristu walijali sana elimu na hii imewasaidia sana wakristu na kuwawezesha kufika hapo walipo.
 
Arguments za pumba sir,
Wahindi wameshawishiwa kuwenda shule zao-na nani?
Na watanzania wengi hawawezi kuziafford-poor thinking indeed
Muslim University ni ya waislam kwa sababu kuna Visiga,St Marian etc ni za wakristo-thats what I call poor(very) arguments!
Unweza kuelezea funding ya hizo institutions?Tuanajua Chuo cha Morogoro ni kodi zetu.
Mkuu weka logic yako in a proper perpective, otherwise adiko lako halina kichwa wala miguu.

mkuu acha kuwa mdini, hata kama ni kodi zetu kwani ikiwa muslim university kuna tatizo kaka
afu mekwambia uchunguze na st joseph st agustin na st jones mbona navyo vina idadi ya wakristo wengi, achilia mbali chuo cha kikristo cha tumaini ya Lushoto...me naona hauna hoja kaka..hivyo vyuo vimejengwa kwaajili ya kitu flani na si public university kama SUA< MU<UDSM au UDOM....
unapokataa kuwa shule ya kuhindi watanzania wengi hawawezi kuaford nakushangaa sana na nakuona ni mnafki mkubwa sana..wa TZ wengi hawana uwezo wa kusoma shule za wahindi, au kwaajili unadanganyika na wafrica shaaban robert na mzizima na feza...mbona nasisi wahindi hawaji shule zetu..kuna vitu ambavyo vipi duniani haviwezi kuwa sawa kaka...tuache FITNA za kijainga...
 
Hadhi unamaanisha experience. Lakini in either way kadifference huwa ni kaduchu na tena ndani ya scale nzima ile ya upper na lower boundary almost hakuna cha maana. Kama utaamua kufundisha na ukawa huna hata uwezo wa ketetea haki yako basi wewe ni msomi goigoi. Watu wanalalamika mambo mengi pembeni lakini ukifuatilia utakutana na sababu za kutosha na kama kuna makosa huwa yanarekebishwa. Unajua watu huwa wanatoa comments tu wanadhani watu woote hawajui kinachozungumzwa, ukimwambia ajitokeze asaidiwe kama anapunjwa anaingia mtini. Hii nini sasa???

Vyote ulivyozungumza ni ukweli kabisa na vina mantiki na ukichukulia mfano wa vyuo vikuu utakuta kama una Masters degree unakuwa unapewa cheo fulani. Phd cheo fulani either wewe ni assistant lecturer au lecturer. Senior lectureship, professorial position zinategemeana na ujasiriamali wako wa kuchapa kazi.

Ila hatuwezi kuepuka upendeleo ambao huwa unatolewa katika administration positions. Particularly when it comes watu wanasifa sawa mfano mdogo utakuta mkuu wa faculty fulani kwakuwa ni kutoka mkoa sawa na VC basi atampa yeye (hatukatai wazungu wanasema charity begins at home) but ikizidi sawa huwa ni sumu kwani huwa inampofua mtu asitende haki. Hivyo basi kuhusu mtoa mada wa udini ungelijaribu kuchambua una maana vipi udini na sio kutoa hoja isiyokuwa na substance.

Kama wote ni wachapakazi na wanasifa stahili unataka akateulwe mkristo kwasababu tu mkristo wakati kuna mwengine ana sifa iliyo zaidi ya huyo mkristo je kazi itaenda kweli???. Kuhusu mishahara fatilia kwa undani kama mtoa bado juu alivyosema ranking za mishahara hupanda kutokana na jitihada zako ukiwa msomi goigoi unategemea upandishwe mshahara just kwakuwa wewe una Masters au PhD jibu sio andika, fanya utafiti, fanya kazi ambazo zinaleta natija kwa chuo sasa unahisi huyu na wewe uliyekaa ukasubiri kwenda kufundisha darasani tu unategemea mtakuwa sawa??? Acheni Majungu yasiyokuwa na msingi!!!!
 
Mwafrika said:
Swali kwako binafsi ...

Ni nini mtizamo wako kuhusu wazo la kurudisha hizo shule na hospitali na majengo, na mashamba, na mali kwa waliokuwa wamiliki wake kabla ya azimio?

Mwafrika,

..swali lako kwa kweli ni gumu na linaweza kuharibu posting ya watu.

..kwa mtizamo wangu wasingezirudisha hizi shule na badala yake waya-encourage mashirika ya kidini kujenga shule mpya.

..kuna mtu aliniambia Mazengo ilikuwa shule kubwa ya bweni kuliko zote Tanzania. inasemekana ilikuwa inachukua wanafunzi zaidi ya 1000 kwa mwaka.

..ukizingatia hizi religious tensions za sasa hivi, nadhani ingekuwa ni jambo jema kwa serikali kuwa na shule kama Mazengo ambapo kila Mtanzania anakuwa na access napo.

..tatizo ninaloliona ni kwamba serikali ilitaifisha taasisi mbalimbali halafu ikashindwa kuziendesha. sasa mazingira hayo ndiyo yaliyojenga uhalali wa haya mashirika ya dini kuomba kurudishiwa taasisi hizo.

..kitu cha msingi kabisa kwangu mimi ni QUALITY ya elimu inayotolewa, na end product ambayo ni mtaalamu[daktari,mhandisi,mwalimu,..].

..kama tumeshindwa kuchagua viongozi wenye mtizamo wa kupeleka elimu yenye viwango kwa kila mtoto wa Kitanzania bila kujali dini,kabila,jinsia, ua rangi, basi wacha mashirika ya kidini yatubebe mpaka tutakapotia akili.

NB:

..mtizamo wangu ktk masuala ya sekta ya Afya unalingana na huo hapo juu kuhusu elimu.

..kwa upande wa mashamba makubwa nadhani serikali ilifanya makosa kuyataifisha. hata kama wakulima na ma-foreman walikuwa ni wazalendo, bado hatukuwa na utaalamu/uzoefu wa kuya-manage mashamba yale.

..kwa upande mwingine kuna maeneo muhimu mfano nishati na baadhi ya migodi ya madini ambapo naamini serikali lazima iwe na mkono wake humo.
 
Enh kweli this is JF. Mbona watu mnafanya dini vichaka? Hebu tuweke hoja. Hoja ni UDOM upendeleo wa udini kwenye mishahara. Kuna watu wao lazima wachangie hata kama hawajui wanachosema.
Labda tuulizane mishahara inalipwaje kwenye academic institutions?
Ukiwa na masters tayari wewe ni assistant lecturer, unaweza kuongezea machapisho ukapanda kwa mshahara lakini hii haizuii wale ambao hawajaandika kupanda, kila mtu hapo atapanda ila sasa, kuna bar ya juu ambayo kama hutaongeza machapisho au elimu then ndio mwisho wako.
Kwa sasa hivi ukiwa na masters ukaandika machapisho 3 basi unakuwa lecturer lakini hung'oki hapo hata ufanyaje mpaka upate PhD. Sasa unampendelea mtu vipi?
Ukiwa na PhD wewe ni lecturer moja kwa moja, machapisho yatakutoa hapo uwe senior lecturer to professiorial level.
Kwenye hivi vyuo sasa hivi kumekuwa na transparency saana.

Bnhai hebu nipe mwanga kidogo hivi hayo machapisho (publications) matatu yanayomtoa mtu mwenye masters kwenye u-assistant lecturer na kuwa lecturer wanaya-assess vipi? Maana kuna wakati unaweza ukatoa chapisho ukiwa na co-authors wengine 2 yaani mko watatu au zaidi. Asante.
 
Last edited:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom