JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
Kyatsavapi,Semenya,
..binafsi nadhani shule au hospitali ikiwa na huduma nzuri na za viwango watu hawatajali inamilikiwa na madhehebu gani.
..binafsi nafahamu Waislamu safi tu wamesomesha watoto wao shule za Kanisa.
..pia nafahamu sasa hivi kuna shule moja ya Waislamu inafanya vizuri na wananchi wa kila dhehebu wanapigana vikumbo kuandikisha watoto wao hapo.
..binafsi nadhani shule au hospitali ikiwa na huduma nzuri na za viwango watu hawatajali inamilikiwa na madhehebu gani.
..binafsi nafahamu Waislamu safi tu wamesomesha watoto wao shule za Kanisa.
..pia nafahamu sasa hivi kuna shule moja ya Waislamu inafanya vizuri na wananchi wa kila dhehebu wanapigana vikumbo kuandikisha watoto wao hapo.