Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,152
Wakuu kuna hii kampuni ya kigeni inaitwa ARAMEX ambayo makao makuu yake ni Amaan Jordan, ilifanya recruitment ya kutoa ajira kwa vijana wa Kitanzania mwishoni mwa mwaka jana after long prosess ya short listed, baada ya kuwashort list wale waliokuwa successfull applicants then waliitwa kwa ajili ya Presentation pale Holiday Inn Hotel.
sasa basi baada ya hatuwa zote hizo Human Resourse wao anaitwa Hellen Abdallah kutoka Egypty aliwaahidi Applicants wote watapewa majibu kupitia Email zao.
Mchezo wa kuigiza ukaendelea na kampuni ikaanza kazi rasmi na ofisi zao zinaangaliana na Shoprite KAMATA Nyerere Rd, baada ya kukutana na vijana kadhaa ambao sina shaka naTalent zao kunieleza wametoswa na nikitazama kwa makini wale walioajiliwa hata kwa macho tu vigezo vyao vilivyowapa ajira vinatia mashaka matupu, basi hapo ndipo nilipojipa jukumu la Usalama wa Taifa na kuendesha uchunguzi wangu Binafsi na nilianza kumhoji Dada mmoja wa Kikenya anaitwa Jane ambaye ni Co ordinator wa hiyo kampuni ambaye kampuni yao inaitwa Estie carrie ndio ilipewa jukumu la kurecruite, basi aliyonieleza Jane sikulizika ndipo nikakatuma kainzi kangu ambako kaliniletea ripoti kamili kamiliambayo haina chembe ya shaka.
Ni kwamba baada ya Kampuni ya Estie carrie kumaliza kazi yao na kurecomend wale ambao walikuwa wana-qualify walichofanya waarabu hawa ni kuupuzaushauri wote wa Estie carrie na kukata majina ya wakristo wote na kigenzo kikawa ni kwa vijana wa kiislam!
Mwenye masikio na asikie na mwenye macho na aone, mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, kazi kwenu vyombo vinavyohusika kuimulika kampuni hii.
sasa basi baada ya hatuwa zote hizo Human Resourse wao anaitwa Hellen Abdallah kutoka Egypty aliwaahidi Applicants wote watapewa majibu kupitia Email zao.
Mchezo wa kuigiza ukaendelea na kampuni ikaanza kazi rasmi na ofisi zao zinaangaliana na Shoprite KAMATA Nyerere Rd, baada ya kukutana na vijana kadhaa ambao sina shaka naTalent zao kunieleza wametoswa na nikitazama kwa makini wale walioajiliwa hata kwa macho tu vigezo vyao vilivyowapa ajira vinatia mashaka matupu, basi hapo ndipo nilipojipa jukumu la Usalama wa Taifa na kuendesha uchunguzi wangu Binafsi na nilianza kumhoji Dada mmoja wa Kikenya anaitwa Jane ambaye ni Co ordinator wa hiyo kampuni ambaye kampuni yao inaitwa Estie carrie ndio ilipewa jukumu la kurecruite, basi aliyonieleza Jane sikulizika ndipo nikakatuma kainzi kangu ambako kaliniletea ripoti kamili kamiliambayo haina chembe ya shaka.
Ni kwamba baada ya Kampuni ya Estie carrie kumaliza kazi yao na kurecomend wale ambao walikuwa wana-qualify walichofanya waarabu hawa ni kuupuzaushauri wote wa Estie carrie na kukata majina ya wakristo wote na kigenzo kikawa ni kwa vijana wa kiislam!
Mwenye masikio na asikie na mwenye macho na aone, mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, kazi kwenu vyombo vinavyohusika kuimulika kampuni hii.