Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

Status
Not open for further replies.
kwa hiyo maarifa sio elimu? mkuu kama elimu ndio iko hivyo sidhani kama una elimu
How old are u broh?

Nakujibu, Maarifa si Elimu

Maarifa - Skills

Elimu - Education

Wewe unajua kuwa maarifa na elimu ni jambo moja?

Kunawa uso ulifunzwa kama elimu?
 
Yaani kwa akili yako hata kutawadha kunahitaji elimu?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Suala la kutawadha ni la usafi wako binafsi na hata watoto hawahitaji kuwa na elimu ili kujua kutawadha...ni maarifa ya kawaida tu.
Azarel me nlihisi najadiliana na wewe kwamba angalau una maarifa kidogo lakini sivyo hivyo. FYI kutawadha sio kuoshaosha tu mwili wako, ni jambo linahitaji taaluma. ujifunze i mean
 
Azarel me nlihisi najadiliana na wewe kwamba angalau una maarifa kidogo lakini sivyo hivyo. FYI kutawadha sio kuoshaosha tu mwili wako, ni jambo linahitaji taaluma. ujifunze i mean
Linahitaji elimu?
 
Azarel me nlihisi najadiliana na wewe kwamba angalau una maarifa kidogo lakini sivyo hivyo. FYI kutawadha sio kuoshaosha tu mwili wako, ni jambo linahitaji taaluma. ujifunze i mean
Inahitaji Elimu?
 
Azarel me nasubiri majibu yangu juu ya post yangu pale juu. Ukijibu naomba ni-tag mkuu
 
Unaonekana wewe una ustaarabu

Ngoja nikitulia nitakufafanulia vizuri kuhusu hapo pa uumbaji zinapoleta siku 8 na sii 6 mkuu
Sawa mkuu mimi ntakusubiria, tupeane siku kama vipi, nenda ukafungue nondo zako na mimi nijipange tuje humu
 
Tangu mjazane huko serekalini kwa mfumo wa vigango na jumuiya mmefanya nini? Hakuna jipya zaidi ya kudidimiza uchumi.
Mmeuwa viwanda na mmehamishia mali ya umma kwa familia zenu na matumbo yenu.

Miaka yote hii Tanzania ilipotawaliwa na mfumo kristo hakuna walichokifanya zaidi ya ufisadi.
Hiyo elimu mnayojidai nayo mlisomea na kufaulu ubaguzi,wizi na ufisadi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kichekesho angalia ile list ya wenye vyeti feki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo sio kweli kwamba uislam unafundisha kwamba, ndugu wa muislam ni muislam mwenzie? prove me wrong sisiter!
am not a sister mkuu,yaa yapo hayo mkuu ila pia kuna msisitizo wa kuishi kwa mshikamano na wasio waislam,huwezi kumpa favor mtu amabye hana vigezo dini haisemi hivyo na hiyo itakuwa si mafunzo sahihi ya dini,yaani mtu wa darasa la saba umpe kazi ya mtu wa degree kisa muislam mwenzio,sio kweli mkuu,uislam unatambua maarifa waliyonayo wasio waislam.Mfano katika uislam kama umejenga au unaishi sehemu watu wote around na wewe nyumba kumi kutoka kila pande za nyumba yako hao ni majirani zako bila kujali itkadi zao,wana haki zao kwako na wewe una wajibu kwao,kama kuwajulia hali zao nk,sasa imagine mnaishi waislam watano hayo maeneo ina maana mtakuwa na mahusiano mazuri na watu takribani mia 5 around.Hakuna dini inayojali masuala ya kijamii kama uislam ila kwa kuwa mnaweza sna kuwa negative hata bila kutafuta ukweli,in media black can be white or yellow and no one can question
 
am not a sister mkuu,yaa yapo hayo mkuu ila pia kuna msisitizo wa kuishi kwa mshikamano na wasio waislam,huwezi kumpa favor mtu amabye hana vigezo dini haisemi hivyo na hiyo itakuwa si mafunzo sahihi ya dini,yaani mtu wa darasa la saba umpe kazi ya mtu wa degree kisa muislam mwenzio,sio kweli mkuu,uislam unatambua maarifa waliyonayo wasio waislam.Mfano katika uislam kama umejenga au unaishi sehemu watu wote around na wewe nyumba kumi kutoka kila pande za nyumba yako hao ni majirani zako bila kujali itkadi zao,wana haki zao kwako na wewe una wajibu kwao,kama kuwajulia hali zao nk,sasa imagine mnaishi waislam watano hayo maeneo ina maana mtakuwa na mahusiano mazuri na watu takribani mia 5 around.Hakuna dini inayojali masuala ya kijamii kama uislam ila kwa kuwa mnaweza sna kuwa negative hata bila kutafuta ukweli,in media black can be white or yellow and no one can question
naomba tuishie hapa, unaongea na mtu as if hawajui. siwabagui, ninawapenda waislam,nizaliwa magomeni, nimekulia magomeni, kuna mengi sana nayafahamu. ndugu zangu wengine wameolewa kwa mashehe wa kiarabu kabisa....wengine wamebadili dini kutoka ukristo kuwa uislam, na ninao hadi sasa hao ndugu wengine tuliokuwa wano tangu utoto. hivyo najua ninachongea.

cha msingi ni kwamba, jueni kuwa, ukianza kuwabagua wenzio ujue unatafuta na wewe kubaguliwa. hata hivyo to be frank, tz hatujafikia mahali pa kwua wadini kiasi hicho maofisini, pamoja na kwamba udini upo sana huko mtaani, na kwasababu ni nature ya kiumbe yeyote yule kubagua wasio wa kundi lake, tunatakiwa kufundisha watu wapunguze tu ubaguzi ila kuuacha kabisa haitakuja itokee kwasababu watu wanazaliwa na hiyo roho. pande zote mbili, wakristo na waislam, kuna element kadhaa, ili uishi vizuri tujitahidi kucontrol tukiheshimu wengine na kujua kuwa huwezi kulazimisha mtu dini asiyoitaka, na nchi hii ni ya kwetu sote na ni secular.
 
Unajua Bandiwe wewe huo uislam wako unashangaza sana.

Unajua maana ya UISLAM?

Kuslim ni kukiri kwamba yupo Mungu mmoja aliyeumba mbingu na nchi ambaye hakuzaliwa wala hakuzaa

Pia kumkiri mtume Muhammad (S.A.W) kuwa mtume pekee wa mwisho wa Allah katika dunia.

Ukisema Adam alikuwa Muislam, Je yeye alikiri vipi kuwa Mtume Muhammad ndiye mtume pekee wa mwisho aliyetumwa ilihal Muhammad wala Qur'an hazikuwepo wakati huo wa Adam?

Yaani vitu vidooogo sana vinakukamata weye.


Wabillah Tawfiq,
Unaweza kunipa rejea ya hii definition yako naweza kuipata wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NINASEMA TENA KUWA:

Qur'an sio Moja duniani

Nimeshalieleza sana hilo pamoja na kutoa ushahidi hapahapa.

Biblia ndio MOJA PEKEE ambayo imetafsiriwa katika lugha mbalimbali ili iweze kueleweka kote ulimwenguni.

Biblia inayotumiwa na watu wengi zaidi duniani ni Version ya "King James" kwakuwa ina kiingereza chepesi.

Biblia haina utofauti wa contents kama ilivyo Qur'an.

Qur'an inayotumika Spain si sawa na ile ya Senegal

Qur'an inayotumika Egypt si sawa na ya Central Africa

Qur'an ya Waislam wa London si sawa na ile ya waislam wa Sudan.

Halafu hivi unajua ni nani aliyeprint Quran ya kwanza iliyotafsiriwa?

Unataka Ushahidi zaidi kuwa QUR'AN sio moja na zinatofautiana kwa contents (yaliyomo)
Quran tunayoitumia Tanzania ina sura 114

Hiyo ya Spain Ina sura ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naomba tuishie hapa, unaongea na mtu as if hawajui. siwabagui, ninawapenda waislam,nizaliwa magomeni, nimekulia magomeni, kuna mengi sana nayafahamu. ndugu zangu wengine wameolewa kwa mashehe wa kiarabu kabisa....wengine wamebadili dini kutoka ukristo kuwa uislam, na ninao hadi sasa hao ndugu wengine tuliokuwa wano tangu utoto. hivyo najua ninachongea.

cha msingi ni kwamba, jueni kuwa, ukianza kuwabagua wenzio ujue unatafuta na wewe kubaguliwa. hata hivyo to be frank, tz hatujafikia mahali pa kwua wadini kiasi hicho maofisini, pamoja na kwamba udini upo sana huko mtaani, na kwasababu ni nature ya kiumbe yeyote yule kubagua wasio wa kundi lake, tunatakiwa kufundisha watu wapunguze tu ubaguzi ila kuuacha kabisa haitakuja itokee kwasababu watu wanazaliwa na hiyo roho. pande zote mbili, wakristo na waislam, kuna element kadhaa, ili uishi vizuri tujitahidi kucontrol tukiheshimu wengine na kujua kuwa huwezi kulazimisha mtu dini asiyoitaka, na nchi hii ni ya kwetu sote na ni secular.
nimekuelewa mkuu,ni kweli tunapaswa kuishi kwa mshikamano kama nchi bila kujali tofauti zetu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom