Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

Status
Not open for further replies.
ayat zote ulizotoa ni siku sita, tena zipo wazi kabisa ! Huna kiti.
Sio kweli, soma vizuri utaona kuwa ni siku 8

Ngoja nitakuchambulia katika hizo siku 8 kuwa aliumba milima na tambarare kwa siku ngapi, maji siku ipi na miti na viumbe vingine ni siku ngapi.

Ni 4+2+2 kimantiki kabisa ni siku 8.

Usisome tu Qur'an yako kimazoea.
 
Sio kweli, soma vizuri utaona kuwa ni siku 8

Ngoja nitakuchambulia katika hizo siku 8 kuwa aliumba milima na tambarare kwa siku ngapi, maji siku ipi na miti na viumbe vingine ni siku ngapi.

Ni 4+2+2 kimantiki kabisa ni siku 8.

Usisome tu Qur'an yako kimazoea.
Hakuna kabisa katika aya zote ulizotoa 100% ! Aya ulizotoa zote zimeandika neno sita ! Prove me wrong, only write which ever written 8 !
 
Qur'an si moja duniani na zinatofautiana katika contents. Kuna aina 20 za Qur'an zenye maandishi yanayopingana.

MFANO: wa kwanza wa contradiction ya uislam ni katika uumbaji, upo mstari unaosema allah aliumba mbingu na ardhi kwa siku 6 tu na nyingine inasema alimaliza uumbaji wa mbingu na ardhi ndani ya siku 8, na ukitaka nikuwekee hizo sura nakuwekea hapa.

Ukitaka kujua tofauti ya Qur'an zinazotumika katika nchi mbalimbali, mfano ya Egypt na Central Africa basi soma katika mjadala ufuatao, ambao ni wa wanazuoni kabisa wa kiislam na kikristo.

Answering Islam, A Christian-Muslim Dialog and Apologetic



Mkuu naomba niwekee verses number. Hiyo mijadala sijui ya masheikh na mapadri achana nayo maana hao ni watu, maana inawezekana hata mimi nikawa sheikh na wewe ukawa padri. Niletee verses hapa nkachimbe mkuu tena hususan hiyo inayohusu hizo contradiction za uumbaji.
 
Hivi no kwa nn waislam wakiteulia hats WA 5 tu kwenye tasisi za kiserkali alafu yule mkuu WA ile tasisi awe muislam. Malalamiko huwa in mdini sana

Kabisa nchi hii kama tunataka usawa kabisa mbona waislam wapo nyuma sana kiajira ?

Tukianzia kwenye office za wizara. Tasisi Kubwa Kubwa za srekali utaona waislam in wachache sana. Lakini huezi on a waislam wanalalamika sana kama Hawa ndugu zetu wacristo
Mzinifu akiziniwa huwa hapatoshi
 
Hahaha...sio nafurahisha genge, nimekupa source ya ushahidi wa hayo niliyoyasema.

Unataka ushahidi zaidi?
Mkuu hujanipa source nakataa, umeandika tu ukitakacho mbaba. Nipe verses kutoka kwenye Qur an sio maneno.
 
Wakristo wakimaliza kuwabagua waislam katika nchi hii, watahamia katika kuwabagua wakristo wenzao. Na hili lipo na linaendelea.....
Nliwahi kusema tatizo kubwa sana ambalo TANZANIA inalikabili ni ubaguzi wa kidini ambao ulianzishwa na mkristo ndani ya nchi hii, dhambi ile bado inaliadhibu Taifa hili na itaendelea kuliadhibu taifa hili miaka nenda miaka rudi.
 
Mh. Rais Magufuli namuomba atembelee Mamlaka ya Usimamizi wa shughuli za Bima kwa kiingereza Tanzania Insurance Regulatory Authority aone mkurugenzi mkuu aliyemteua anavyofanza teuzi ndani ya ofisi kwa misingi ya kidini.



Sent using Jamii Forums mobile app
Acha mawazo ya kijinga, nazan ni vyema kuangalia utendaji kazi na CV ya mtu kuliko hizo fikra potofu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fikra finyu ni kuamini kwamba utakutana na nyoka kwenye kaburi lako,
Kwamba ukitembea unaswing kwenye dunia basi utaenda kuulizwa siku ya hukumu,
Fikra finyu ni kuamini kwamba mchawi au shetani ndio anakufanya usifanikiwe kwenye kazi, masomo yako na n.k.
Fikra finyu ni kuamini kwamba kumua binadamu mwenzako eti kwa sababu anamkufuru Mungu basi ni pasipoti ya kwenda peponi.
Fikra finyu ni kuamin kwamba utapewa nguvu za kiume za kuweza kuwatosheleza wanawake 100 lakini utapewa wanawake 72 tu ila wanawake hawajiulizi je wao watapewa wanaume wangapi ndio huyo mmoja au wataumbwa wanawake wengine.
Labda uniambie ni wapi nimeonyesha fikra finyu...? Ili tujadili.

Nakukaribisha kwa mjadala..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hili uliloandika hapa linahusiana vipi na mada husika? au una mengi kifuani kwako mkuu unatamani uteme maji nayo yatoke?
 
Mkuu hujanipa source nakataa, umeandika tu ukitakacho mbaba. Nipe verses kutoka kwenye Qur an sio maneno.
Nimekupa link ifuatilie uisome, Acha Uvivu....sawa?

Bandiwe nimemthibitishia kwa verses jinsi kulivyo na mkanganyiko katika Qur'an

Acha uvivu na ubishi usio na tija....soma hapo juu.
 
ni kwasababu ninyi ndugu yenu wa kwanza huwa ni muislam mwenzio kuliko mtu yeyote yule na jambo hilo huwa mnalifanyia kazi kivitendo. dini yenu pia inafundisha hivyo. dini zingine huwa zinafundisha mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe, lakini ninyi ni mpende muislam kwanza wengine baadaye.
uwe unaongea kwa fact mkuu sio opinion za vijiweni tu
 
east afrocan [emoji117] East African

Wewe hata kuandika vizuri hujui eti mlikuwa na position at EAC?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hata Mudy alishakiri kuwa hajui kusoma wala kuandika ila akaomba aaminiwe tu kama mtume wa allah.

Nyie waislam Elimu sio priority kwenu...labda elimu ya kutawadha.
sasa utasemaje umeelimika kama hata kutawadha hujui?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mjinga kweli wewe unabishana kwa vitu usivyovijua
We ndo poyoyo maana nilisema aliajiri zaid ya waislam 700 na total number ya staff ni 1194 less 700 utapata jibu ng, ombe wee
 
sasa utasemaje umeelimika kama hata kutawadha hujui?
Yaani kwa akili yako hata kutawadha kunahitaji elimu?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Suala la kutawadha ni la usafi wako binafsi na hata watoto hawahitaji kuwa na elimu ili kujua kutawadha...ni maarifa ya kawaida tu.
 
Yaani kwa akili yako hata kutawadha kunahitaji elimu?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Suala la kutawadha ni la usafi wako binafsi na hata watoto hawahitaji kuwa na elimu ili kujua kutawadha...ni maarifa ya kawaida tu.
kwa hiyo maarifa sio elimu? mkuu kama elimu ndio iko hivyo sidhani kama una elimu
 
Nyie tunawajua huwa ni wabishi hata kwa msilolijua na wengi hampendi kutumia logic.

Qur'an katika hizi:

Sura 7:54, 10:3, 11:7 na 25:59 zinathibitisha kuwa allah aliumba Mbingu na Ardhi kwa muda wa siku 8.

LAKINI PIA,

(Qaaf 50:38) Qur'an inabainisha kuwa Mbingu na ardhi ziliumbwa kwa siku 6.

Inasema hivii

"And indeed we created the heaven and earth and all between them in six days and nothing of fatique touched us"

Sasa unachobisha ni nini wakati hiyo ni contradiction ya wazi?

Unataka nikuwekee contradictions zingine?
Azarel mkuu, naomba nikuwekee hizo verses ulizozitaja hapo kama zilivyo kutoka kwenye Qur an. Na pia kwa kutumia verse hizo naomba nikuite MUONGO kaka japo samahani kwa kukuita hivyo maana ulichojaribu kukiandika kwenye hiyo post niliyoi-quote ni uongo mtupu kaka.

Qur an 7:54 inasema; Hakika Mola wenu ni mwenyezi Mungu alieziumba mbingu na ardhi katika siku sita, kisha akatawala kwenye arshi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatiao upesi upesi. Na jua na mwezi na nyota zinatumika kwa amri yake. Fahamuni! kuumba na amri ni yake. Ametukuka Mwenyezi Mungu mola wa walimwengu wote.

Qur an 10:3 inasema; Hakika mola wenu ni mwenyezi mungu ambaye ameumba mbingu na ardhi katika siku sita, kisha akatawala kwenye arshi. Yeye hutengeneza mambo. Hakuna muombezi ila baada ya idhini yake. Huyo ndie mwenyezi mungu, mola wenu, basi mwabuduni. Je hamkumbuki?

Qur an 11:7 inasema; Naye ndie aliyeumba mbingu na ardhi katika siku sita. Ili awajaribu ni nani miongoni mwenu mzuri zaidi wa vitendo? Na kama ukisema, hakika nyinyi mtafufuliwa baada ya kufa, bila shaka waliokufuru watasema, hayakuwa haya ila ni uchawi uliowazi.

Qur an 25:59 inasema; Ambae ameumba mbingu na ardhi katika siku sita, kisha akatawala kwenye arshi. Mwingi wa rehma! uliza habari zake kwa ajuae.

Qur an 50:38 inasema; Na hakika tumeziumba mbingu na ardhi na vilivyomo kati yake katika siku sita, na wala haukutugusa uchovu.
 
Kafiri wa kwanza duniani ni Muhammad (S.A.W)

Unahitaji kujua ukafiri wake?
Mkuu tuendelee na mjadala tusipanick. Hili neno kafiri lisikutishe, halikufanyi ukawa na mapembe mkuu. ni neno tu kama maneno mengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom