kama umekimbia umande unalialia nin???
Nilishwahi kuwaambia ndugu zangu waislamu, madrasa haitakupeleka popote si duniani na wala sio huko walipoaminishwa.
Life will end here and new life will be formed.
Kuja hapa duniani ni bahati tu kama mchezo wa kurusha dice.
Ulishajiuliza out of millions of sperms ila kamoja tu ndio kamekuleta wewe duniani au na pacha wako(identical twins).
Unapowaambia watu kwamba mtoto mdogo akifa basi ana tiketi ya moja kwa moja ya kwenda peponi hamuoni kwamba ni sawa na kuwaambia watu kwamba they will do favour to their kids if they kill them.
Dini ni ujinga tu unaotufanya tulimit how we think.
Sent using
Jamii Forums mobile app