Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

Status
Not open for further replies.
Unaweza kunipa rejea ya hii definition yako naweza kuipata wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Shahada, ambayo ndiyo declaration faith ya Uislam, shahada hiyo ni kutamka maneno yafuatayo:-

"La illaha ill allah...Muhammadur rasuul lah"

Hapo tayari ni kukiri kumtambua allah na Muhammad
 
Kuna Shahada, ambayo ndiyo declaration faith ya Uislam, shahada hiyo ni kutamka maneno yafuatayo:-

"La illaha ill allah...Muhammadur rasuul lah"

Hapo tayari ni kukiri kumtambua allah na Muhammad
Unaweza pia kusema 'La illaha ill' Allah, Issah (Yesu) rasul'llah !
 
Hakuna kabisa katika aya zote ulizotoa 100% ! Aya ulizotoa zote zimeandika neno sita ! Prove me wrong, only write which ever written 8 !
Wanakaririshwa na wanaojifanya wameisoma quran tabu inakuja

Kukariri tofauti na kuisoma kwa dhamira ya kuelewa nimeamua kuscreen shot zote alizoandika hakuna hata moja imeandikwa Siku nane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Shahada, ambayo ndiyo declaration faith ya Uislam, shahada hiyo ni kutamka maneno yafuatayo:-

"La illaha ill allah...Muhammadur rasuul lah"

Hapo tayari ni kukiri kumtambua allah na Muhammad
Kwa hiyo maana hiyo ni neno uislam au neno shahada

Uislam una maana yake na shahada Ina maana yake

Je unalifahamu hili?

Unafahamu katika uislam kulla mmoja anayezaliwa ni muislam ndai ya uislam labda aamue mwenyewe kuritadi???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakaririshwa na wanaojifanya wameisoma quran tabu inakuja

Kukariri tofauti na kuisoma kwa dhamira ya kuelewa nimeamua kuscreen shot zote alizoandika hakuna hata moja imeandikwa Siku nane

Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika nimekaririshwa na sijasoma mwenyewe qur'an ya kiswahili?

Au umekurupuka kuongea usicho na uhakika nacho?
 
Ikowapi screen short, maana namwita kabisa muhusika hapa Azarel
995c4a8270ddb4aedd41ed6e03909f68.jpg
50f21e4a95fad5832f842423672b7868.jpg
0472e1b9ac6fcf2ba25fb476ecd310f1.jpg


Hii katika tafsir ya sheikh Muhsin Al barwan ambayo ni moja ya tafsri ya quran yenye kutumikwa Afrika mashariki ikiwemo ya sheikh farsy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo maana hiyo ni neno uislam au neno shahada

Uislam una maana yake na shahada Ina maana yake

Je unalifahamu hili?

Unafahamu katika uislam kulla mmoja anayezaliwa ni muislam ndai ya uislam labda aamue mwenyewe kuritadi???

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kwa Mtu kuwa Muislam bila kukiri hiyo Shahada?

Yaani kukiri kumwamini Allah na Muhammad (S.A.W) ?

Jus a simple qn as that.
 
This is a dialogue...Jibu swali ndipo uulize swali.

Thats the principle if dialogue

Mtu anaweza kuwa muislam pasipo kumkiri Allah na Mtume wake?
Kwani ulishajibu kuhusu maana ya kile ulichokiandika

Pale juuu kuzaliwa ktk uislam tayari umuislam labda uritadi baada ya baleghe hapa utahesabiwa si muislam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ubishi ndugu, .....hiki ni Kitabu (Qur'an) kisicho na shaka ndani yake na ni mwongozo kwa wachamungu.

Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
Nimemuuliza huyo Muumi'nin mwenzio...!

Ana uhakika nimekaririshwa na si nimesoma mwenyewe hayo niliyoyaandika?
 
Kwani ulishajibu kuhusu maana ya kile ulichokiandika

Pale juuu kuzaliwa ktk uislam tayari umuislam labda uritadi baada ya baleghe hapa utahesabiwa si muislam

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ungeelewesha hivi kungekuwa na tatizo gani?

Kwahiyo kila mtoto mdogo azaliwapo kabla ya kubatizwa tayari ni muislam.
 
Weka aya zako tuzione tofauti na hizo screen short
Nimeshasema nitaziweka zote hasa zinazopingana katika case ya uumbaji, nimezicopy kwa kalamu somewhere...I promise kuwatag kesho hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom