Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,557
Ni tafsiri ya Qur'an.Kwahiyo iliyoandikwa kwa kiswahili au kiingereza sio Qur'an?
Ni tafsiri ya Qur'an.Kwahiyo iliyoandikwa kwa kiswahili au kiingereza sio Qur'an?
Version ya biblia inayopendwa sana ni KJV kwakuwa ina kingereza chepesi, Biblia zingine zina kiingereza kigumu lakini ni ile ile. Najaribu kukuelewa.NINASEMA TENA KUWA:
Qur'an sio Moja duniani
Nimeshalieleza sana hilo pamoja na kutoa ushahidi hapahapa.
Biblia ndio MOJA PEKEE ambayo imetafsiriwa katika lugha mbalimbali ili iweze kueleweka kote ulimwenguni.
Biblia inayotumiwa na watu wengi zaidi duniani ni Version ya "King James" kwakuwa ina kiingereza chepesi.
Biblia haina utofauti wa contents kama ilivyo Qur'an.
Qur'an inayotumika Spain si sawa na ile ya Senegal
Qur'an inayotumika Egypt si sawa na ya Central Africa
Qur'an ya Waislam wa London si sawa na ile ya waislam wa Sudan.
Halafu hivi unajua ni nani aliyeprint Quran ya kwanza iliyotafsiriwa?
Unataka Ushahidi zaidi kuwa QUR'AN sio moja na zinatofautiana kwa contents (yaliyomo)
Huu ni mtazamo wako, uzuri ni kwamba kila mmoja ameruhusiwa kuwa na mtazamo wake, uwe wa kipumbavu au werevu.kama umekimbia umande unalialia nin???
Nilishwahi kuwaambia ndugu zangu waislamu, madrasa haitakupeleka popote si duniani na wala sio huko walipoaminishwa.
Life will end here and new life will be formed.
Kuja hapa duniani ni bahati tu kama mchezo wa kurusha dice.
Ulishajiuliza out of millions of sperms ila kamoja tu ndio kamekuleta wewe duniani au na pacha wako(identical twins).
Unapowaambia watu kwamba mtoto mdogo akifa basi ana tiketi ya moja kwa moja ya kwenda peponi hamuoni kwamba ni sawa na kuwaambia watu kwamba they will do favour to their kids if they kill them.
Dini ni ujinga tu unaotufanya tulimit how we think.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui alisemalo, au anataka tu kufurahisha gengeVersion ya biblia inayopendwa sana ni KJV kwakuwa ina kingereza chepesi, Biblia zingine zina kiingereza kigumu lakini ni ile ile. Najaribu kukuelewa.
Sasa mbona wakatoliki wana Biblia ya Vitabu 73 (biblia ni mkusanyiko wa vitabu yaani library) wakati wengine wana vitabu 66, hali wengine agano la kale wametoa (vitabu vya mitume) na wakabaki na barua za Paulo tu na maandishi ya wanafunzi wake. Umoja wa biblia hapo upo wapi ?
Mwisho, naomba unipe tofauti ya Qur'an ya Senegal na ile ya London, ili tuthibitishe kuwa Qur'an si moja ! Azarel
Upo sahihiNahisi watakuwa ni Waislam,wanataka kujazana kama ilivyokuwa NSSF wakati ule pasipo kuzingatia uwezo, uzoefu wa kazi na weledi.
Nawewe mtoa mada huwezi kunyoosha maelezo unajing'atang'ata nini hueleweki chalii.
swali zuri hiliSwali tu. Kwanini JF ina cheap minds kiasi hiki. Sio wewe tu. Ni wengi. Lazima Walete majungu fulani Hivi na ndo hupata wengi. Are we that cheap.
Mim sijasema ni mtazamo wako wewe.Huu ni mtazamo wako, uzuri ni kwamba kila mmoja ameruhusiwa kuwa na mtazamo wake, uwe wa kipumbavu au werevu.
same kwa NSSF nako nikasikia ni shirika la kidini kikwete amejaza waisilamu, sina data za shirika zima, ila top management na wafanyakazi wenye vyeo vikubwa ipo website ya NSSF nako hali ilikuwa tofauti
Na hakuwa Muhammad ila ni Mtume tu. Na wamepita kabla yake Mitume wengi.Unajua Bandiwe wewe huo uislam wako unashangaza sana.
Unajua maana ya UISLAM?
Kuslim ni kukiri kwamba yupo Mungu mmoja aliyeumba mbingu na nchi ambaye hakuzaliwa wala hakuzaa
Pia kumkiri mtume Muhammad (S.A.W) kuwa mtume pekee wa mwisho wa Allah katika dunia.
Ukisema Adam alikuwa Muislam, Je yeye alikiri vipi kuwa Mtume Muhammad ndiye mtume pekee wa mwisho aliyetumwa ilihal Muhammad wala Qur'an hazikuwepo wakati huo wa Adam?
Yaani vitu vidooogo sana vinakukamata weye.
Wabillah Tawfiq,
Wakristo lazima walalamike kwa sababu kila shule uendako ukiacha za kiislamu, waliotawala ni wakristo. Utasubiri sana ukibisha hilo. Huwa wakati mwingine natamani tutangaze na elimu za wahusika kwa kila ngazi utashangaa kila ngazi wengi wa waislamu ni wale ambao hawakuwa kupata hata namba ya 10 darasani.
Sio siri kuwa wakati wa a Kikwete mlibebwa sana kuzidi mpaka.
Hili swali lako la mwisho likijibiwa naomba uni-tag, I need to know hiyo tofauti ya Qur an ya senegal na ya londonVersion ya biblia inayopendwa sana ni KJV kwakuwa ina kingereza chepesi, Biblia zingine zina kiingereza kigumu lakini ni ile ile. Najaribu kukuelewa.
Sasa mbona wakatoliki wana Biblia ya Vitabu 73 (biblia ni mkusanyiko wa vitabu yaani library) wakati wengine wana vitabu 66, hali wengine agano la kale wametoa (vitabu vya mitume) na wakabaki na barua za Paulo tu na maandishi ya wanafunzi wake. Umoja wa biblia hapo upo wapi ?
Mwisho, naomba unipe tofauti ya Qur'an ya Senegal na ile ya London, ili tuthibitishe kuwa Qur'an si moja ! Azarel
Ohoooo, my god, kumbe waislam wanatakiwa wawekwe kundi maalum ktk ajira kwa kuwa wako nyuma!!!!!!!! Kumbe ndo maana waliajiri std seven, ona madhara yake sasa wote waloajiriwa 2004 todate amri imetoka waondolewe na wengi kati yao niwaislam, du du patamu hapo chachaaaa
Kuna member nimemuuliza specifically, sasa wewe kihere here cha nini !?Hajui alisemalo, au anataka tu kufurahisha genge
Soma historia ya Prof Kigoma A.Malima ndio utajua jamaa wanavyolalamika sana waislamu wakipewa nafasi
haya niambie mkuu huo udini upo wapi hapo? au hata hizo asilimia 30 au 40 hamtaki waisilamu wazipate? mnataka kila ofisi kuwe na waisilamu asilimia 10 au 5?
Bora hata angekuwa na hizo finyu ingesaidia, huyu ni wa zama za mawe za kale
Na hata hayo unayomuuliza ni mtu mwenye fikra finyu tu ndio anaweza kuuliza hivyo kwasababu ya ufinyu wake wa akili, kama mwalimu wako ungemsikiliza vizur tu basi usingehitaji kujua maana ya nyoka kwenye kaburi na hayo mengine uliyoyauliza.Fikra finyu ni kuamini kwamba utakutana na nyoka kwenye kaburi lako,
Kwamba ukitembea unaswing kwenye dunia basi utaenda kuulizwa siku ya hukumu,
Fikra finyu ni kuamini kwamba mchawi au shetani ndio anakufanya usifanikiwe kwenye kazi, masomo yako na n.k.
Fikra finyu ni kuamini kwamba kumua binadamu mwenzako eti kwa sababu anamkufuru Mungu basi ni pasipoti ya kwenda peponi.
Labda uniambie ni wapi nimeonyasha fikra finyu...? Ili tujadili.
Nakukaribisha kwa mjadala..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyoo hujitambui weweHao std7 uliona hata majina yao [emoji23][emoji23][emoji23] asilimia 70 ni kina John usikurupuke
Staff 1100-700=400So waislam 700 ni asilimia ngapi ya nssf?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I'm sure haizidi 20 so roho imekuuma asilima 20 waislam kuajiriwa na wakristo kua asilimia 80?!!!!