maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,233
- 1,320
Mh. Rais Magufuli namuomba atembelee Mamlaka ya Usimamizi wa shughuli za Bima kwa kiingereza Tanzania Insurance Regulatory Authority aone mkurugenzi mkuu aliyemteua anavyofanza teuzi ndani ya ofisi kwa misingi ya kidini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni shemeji yako mkuu.Mkuu huyo uliyemuweka kwenye profile ni mama yako au?
Unajua Bandiwe wewe huo uislam wako unashangaza sana.Waislaam wote, pamoja na Adam AS wanasilimu na kunyenyekea kwa Allah SWT.
Ndio maana sikutaka kubishana wewe unatumia Imani kujibu, Ila kiuhalisia unajua kabla ya ujio wa Waarabu hakukua na kitu kinachoitwa Uislamu na ushahidi mdogo ni kuenea kwa Dini hii ukanda wa pwani ya EA na baadhi ya sehemu za bara walizopita na hivyo hivyo kwa Wamisionari na UkristoAdam A.S !
Huko NSSF mpaka leo bado tu/wa po wengi mnoNahisi watakuwa ni Waislam,wanataka kujazana kama ilivyokuwa NSSF wakati ule pasipo kuzingatia uwezo, uzoefu wa kazi na weledi.
Nawewe mtoa mada huwezi kunyoosha maelezo unajing'atang'ata nini hueleweki chalii.
Hayo ni maoni yako, yanaheshimiwa kama yalivyo maoni ya watu wengine. Ushauri wa bure ni kwamba jitoe kwenye JF iwapo unaona ina watu wenye cheap mind. Itashangaza upo kwenye media moja na watu wenye cheap mind na unatoa mawazo yako kwao.Swali tu. Kwanini JF ina cheap minds kiasi hiki. Sio wewe tu. Ni wengi. Lazima Walete majungu fulani Hivi na ndo hupata wengi. Are we that cheap.
Kuenezwa na kuletwa ni mambo mawili tofauti !.....Uislaam haukuletwa na mwarabu.Ndio maana sikutaka kubishana wewe unatumia Imani kujibu, Ila kiuhalisia unajua kabla ya ujio wa Waarabu hakukua na kitu kinachoitwa Uislamu na ushahidi mdogo ni kuenea kwa Dini hii ukanda wa pwani ya EA na baadhi ya sehemu za bara walizopita na hivyo hivyo kwa Wamisionari na Ukristo
Hapa kwetu manispaa mock F4 vijana wa kiislam ndio vjigooo huo utafiti umeufanya lini?mm niliwaburuza makafiri o level hadi basi,acha ungo kimsingi watoto wetu wote wanakaa mtaa 1 hali sawa wanashinda pamoja!Wakristo lazima walalamike kwa sababu kila shule uendako ukiacha za kiislamu, waliotawala ni wakristo. Utasubiri sana ukibisha hilo. Huwa wakati mwingine natamani tutangaze na elimu za wahusika kwa kila ngazi utashangaa kila ngazi wengi wa waislamu ni wale ambao hawakuwa kupata hata namba ya 10 darasani.
Sio siri kuwa wakati wa a Kikwete mlibebwa sana kuzidi mpaka.
NINASEMA TENA KUWA:Kiarabu cha Qur'an ni lugha isiyo na upogo, haikukopa lugha kutoka sehemu yeyote. Kukariri kumesaidia kuwa na Qur'an moja tu, hamna matoleo kama Biblia.
Hata wakati mwingne mtu anaweza kufikuria jambo kumbe ni la Kijinga pia!kama umekimbia umande unalialia nin???
Nilishwahi kuwaambia ndugu zangu waislamu, madrasa haitakupeleka popote si duniani na wala sio huko walipoaminishwa.
Life will end here and new life will be formed.
Kuja hapa duniani ni bahati tu kama mchezo wa kurusha dice.
Ulishajiuliza out of millions of sperms ila kamoja tu ndio kamekuleta wewe duniani au na pacha wako(identical twins).
Unapowaambia watu kwamba mtoto mdogo akifa basi ana tiketi ya moja kwa moja ya kwenda peponi hamuoni kwamba ni sawa na kuwaambia watu kwamba they will do favour to their kids if they kill them.
Dini ni ujinga tu unaotufanya tulimit how we think.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu lete ushahidi kwa unachikisema!Issue siyo kuteuliwa bro, basi wawe na vigezo. Sasa hata vigezo hawana. Ndiyo maana nimesema kuwa kigezo ni udini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hujaelewa!Qur'an ni ile iliyoandikwa kwa kiarabu tu,wote duniani wataisoma kama ilivyo ila tafsiri imeandikwa kwa lugha nyingi DunianiNINASEMA TENA KUWA:
Qur'an sio Moja duniani
Nimeshalieleza sana hilo pamoja na kutoa ushahidi hapahapa.
Biblia ndio MOJA PEKEE ambayo imetafsiriwa katika lugha mbalimbali ili iweze kueleweka kote ulimwenguni.
Biblia inayotumiwa na watu wengi zaidi duniani ni Version ya "King James" kwakuwa ina kiingereza chepesi.
Biblia haina utofauti wa contents kama ilivyo Qur'an.
Qur'an inayotumika Spain si sawa na ile ya Senegal
Qur'an inayotumika Egypt si sawa na ya Central Africa
Qur'an ya Waislam wa London si sawa na ile ya waislam wa Sudan.
Halafu hivi unajua ni nani aliyeprint Quran ya kwanza iliyotafsiriwa?
Unataka Ushahidi zaidi kuwa QUR'AN sio moja na zinatofautiana kwa contents (yaliyomo)
Ukijibiwa ni-tagSasa hivi mnasema waislam wengi UDOM.
Ila comments kadhaa nyuma wenzio wamesema WAISLAM WAMEBASE NA ELIM YA MADRASA HAWASOMI.
Sasa KIPI CHA KUSHIKA?
Waislam ni kwamba hawasomi ndo maana hawapat kazi au WAISLAM NI WENGI WANASOMA?
May Allah bless Me and You
Kwahiyo iliyoandikwa kwa kiswahili au kiingereza sio Qur'an?Kumbe hujaelewa!Qur'an ni ile iliyoandikwa kwa kiarabu tu,wote duniani wataisoma kama ilivyo ila tafsiri imeandikwa kwa lugha nyingi Duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa tu muislam ni kukosa kigezo cha kuajiriwacha msingi awe na vigezo tu vya hio nafasi na awe ni mtanzania...aletwe kwa undugu/dini vyote havinihusu kwa sababu kwa namna yoyote ile someone has to stay kwenye hio nafasi...mtoa mada ni mbaguzi na naomba usipate nafasi yoyote kaa ulilie hivo hivo
Kiarabu cha Qur'an ni lugha isiyo na upogo, haikukopa lugha kutoka sehemu yeyote. Kukariri kumesaidia kuwa na Qur'an moja tu, hamna matoleo kama Biblia.
Nyie mizulumati mnadhulumu hata mahujaji mna laana, watu wanataka kwenda kuhiji mnawadhulumu halafu mnajifanya waswahilina punguani kabisaDhulma haidumu wala si jambo la kujisifia, m'mebakia kunya na kuchamba na karatasi, kuiba rushwa na ufisadi. Mpaka makanisa yanaingizwa kwenye ufisadi.
Nathani hukunikusudia mimi hili swaliHivi Italy na Roma watu wanapochimbana vinyesi ni waislamu?? Sheria ya kiislamu ipo wazi shoga hukumu yake ni kuuwawa mwenyekufanya na kufanyiwa hebu niambie sheria yenu inasemaje kuhusu huo uchafu halafu urudi tena na kauli uliyoitoa
....wale si malaika ni watu na wameiga tabia za kikafiri ! Muislaam hadhulumu wala hakubali kudhulumiwa.Nyie mizulumati mnadhulumu hata mahujaji mna laana, watu wanataka kwenda kuhiji mnawadhulumu halafu mnajifanya waswahilina punguani kabisa