Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

Status
Not open for further replies.
Kama ameona Ofisi moja analalamika ina maana hizo asizolalamika zina watu wa dini anayotaka yeye! Kweli waarabu na wazungu wametutawala vichwa vyetu hadi unamchukia ndugu yako kwa sababu ya Imani zao walizoleta
.....Uislaam si Uarabu.
 
mkuu si watu wote tunapiga story vijiweni, mi nimekupa ushahidi wangu kadri nilivyoweza kwa top management, na wewe nipe wako huwa sipendi maneno matupu matupu.

na pia kama ofisi ina waisilamu 100 na wakristo 800, serikali inaweza kuajiri waisilamu 300 kubalance, kama wapo ambao wana sifa hizo, ukumbuke serikali ni ya watu wote, makundi ambayo yapo nyuma kijamii inabidi yaboostiwe, serikali ina jukumu la kuhakikisha makundi yote katika jamii yanathaminika,

ndio maana unaona hata bungeni kuna viti maalum wanawake tu, au walemavu, lile ni kundi/makundi yanayohitaji msaada.

Ohoooo, my god, kumbe waislam wanatakiwa wawekwe kundi maalum ktk ajira kwa kuwa wako nyuma!!!!!!!! Kumbe ndo maana waliajiri std seven, ona madhara yake sasa wote waloajiriwa 2004 todate amri imetoka waondolewe na wengi kati yao niwaislam, du du patamu hapo chachaaaa
 
Wakristo lazima walalamike kwa sababu kila shule uendako ukiacha za kiislamu, waliotawala ni wakristo. Utasubiri sana ukibisha hilo. Huwa wakati mwingine natamani tutangaze na elimu za wahusika kwa kila ngazi utashangaa kila ngazi wengi wa waislamu ni wale ambao hawakuwa kupata hata namba ya 10 darasani.
Sio siri kuwa wakati wa a Kikwete mlibebwa sana kuzidi mpaka.
Degree first class ndiye pekee amesoma ?! Sasa mbona wanakuwaga mmoja, wawili au watatu !?
 
.....Uislaam si Uarabu.
Sitaki malumbano ya dini ila uliletwa na Waarabu huku kwetu na Ukristo uliletwa na Wazungu ambao wote walikuja kutufanyia mambo tofauti na vitabu walivyoleta ila kwa vile tumelewa hizo imani najua utaleta bla bla za uliletwa na Mungu
 
Nahisi watakuwa ni Waislam,wanataka kujazana kama ilivyokuwa NSSF wakati ule pasipo kuzingatia uwezo, uzoefu wa kazi na weledi.

Nawewe mtoa mada huwezi kunyoosha maelezo unajing'atang'ata nini hueleweki chalii.

Kwahiyo mnataka kufungua kigango !?
Sasa hivi tutaenda sawa, hakuna tena kuchaguliwa bali sasa ni ufaulu wako !
 
Sitaki malumbano ya dini ila uliletwa na Waarabu huku kwetu na Ukristo uliletwa na Wazungu ambao wote walikuja kutufanyia mambo tofauti na vitabu walivyoleta ila kwa vile tumelewa hizo imani najua utaleta bla bla za uliletwa na Mungu
Uislaam haukuletwa na Muarabu !
 
Hivi no kwa nn waislam wakiteulia hats WA 5 tu kwenye tasisi za kiserkali alafu yule mkuu WA ile tasisi awe muislam. Malalamiko huwa in mdini sana

Kabisa nchi hii kama tunataka usawa kabisa mbona waislam wapo nyuma sana kiajira ?

Tukianzia kwenye office za wizara. Tasisi Kubwa Kubwa za srekali utaona waislam in wachache sana. Lakini huezi on a waislam wanalalamika sana kama Hawa ndugu zetu wacristo
ni kwasababu ninyi ndugu yenu wa kwanza huwa ni muislam mwenzio kuliko mtu yeyote yule na jambo hilo huwa mnalifanyia kazi kivitendo. dini yenu pia inafundisha hivyo. dini zingine huwa zinafundisha mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe, lakini ninyi ni mpende muislam kwanza wengine baadaye.
 
Hivi no kwa nn waislam wakiteulia hats WA 5 tu kwenye tasisi za kiserkali alafu yule mkuu WA ile tasisi awe muislam. Malalamiko huwa in mdini sana

Kabisa nchi hii kama tunataka usawa kabisa mbona waislam wapo nyuma sana kiajira ?

Tukianzia kwenye office za wizara. Tasisi Kubwa Kubwa za srekali utaona waislam in wachache sana. Lakini huezi on a waislam wanalalamika sana kama Hawa ndugu zetu wacristo
We Wadanganye Hao Hao Kipind Cha Jeikei Kulikua Na Udini Usioukua Na Ratio Ao Islamic State Walikaa Kimya Juz Kati Apa Magu Kateua Watu Kuna Shekhe Mmoja Kaja Juu Katangaza Kuwa Jpm Anachangua Watu Kidini Kama Hukusikia Sema
 
Fikra finyu ni kuamini kwamba utakutana na nyoka kwenye kaburi lako,
Kwamba ukitembea unaswing kwenye dunia basi utaenda kuulizwa siku ya hukumu,
Fikra finyu ni kuamini kwamba mchawi au shetani ndio anakufanya usifanikiwe kwenye kazi, masomo yako na n.k.
Fikra finyu ni kuamini kwamba kumua binadamu mwenzako eti kwa sababu anamkufuru Mungu basi ni pasipoti ya kwenda peponi.
Labda uniambie ni wapi nimeonyasha fikra finyu...? Ili tujadili.

Nakukaribisha kwa mjadala..

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu huyo uliyemuweka kwenye profile ni mama yako au?
 
Tujuze basi uislamu uliletwa na nani? Mnakremu kiarabu na kujazana ujinga wa kuchimbana kinyesi tu
Kiarabu cha Qur'an ni lugha isiyo na upogo, haikukopa lugha kutoka sehemu yeyote. Kukariri kumesaidia kuwa na Qur'an moja tu, hamna matoleo kama Biblia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom