Jibu hoja acha kuruka ruka kama umeshikwa kalioMtaumia sana watu wanaendelea na maisha yao, hizi mada kila siku inashushwa, mada ileile inatofautiana vichwa vya habari tu.
Wakristu wamekua watu wa kunung'unika juu ya uislamu, Kama ilivyo yanga, Wanavyonukia Simba.
Makanisa ya kilokole waingiapo makanisani wakimaliza kulia, kinachofuata kucheza mziki na baada ya hapo ni shuhuda na kuzituhumu imani zingine.
Hawa wanaoandiki hizi habari kila Siku ni wale wanajiita walokole.
Umesahau Tende na "harua"Ndizi
Karanga
Mapapai
Korosho
Machungwa
Hata kitimoto nimeona watu wanaandaa tu. Nacho hakimo katika vilivyopigwa marufuku. Serikali izuie uuzaji wa Kitimoto hadharaniMbali na kuzuwiwa kwa vyakula kuuzwa mchana wa ramadhani katika baadhi ya maeneo,lakini bado zuio hili halijatendewa haki.
Waislamu tunaamini kwamba ukifunga basi hata ukila ile punje ya karanga tu na ukameza kwa makusudi basi umefungua sio mpaka ule biriani au urojo bakuli zima.
Sasa ni jambo la ajabu sana kuona kuna baadhi ya vyakula eti ruhusa kuuza kama vile..
Ndizi
Karanga
Mapapai
Korosho
Machungwa
Matikiti ambayo mengine yameshakatwa tayari kwa kuliwa.
Maji pia yanauzwa.
Juisi aina zote zinauzwa madukani.
Biskuti zinauzwa madukani.
Na vitu vingine vingi achilia mbali vitu hivyo.
Lakini vyakula vya kupikwa vimezuiwa kabisa na migahawa imefungwa kabisa.
Mimi naona hii haiko sawa kwa sababu orodha ya vyakula nilivyotaja pia mtu akila anafungua kwa hiyo navyo ilikuwa vizuiliwe kuuzwa ama maduka yafungwe kama ambavyo migawaha imefungwa.
Siku za kawaida tunawaona watu wanakunywa maji hadharani hivyo na maji ilikuwa yapigwe marufuku yasiuzwe ama maduka yanayouza maji yafungwe.
Siku za kawwida watu hula hadharani karanga,hivyo na karanga ilikuwa zizuiwe zisiuzwe.
Siku za kawaida watu hula ndizi hadharani hivyo ilikuwa na vibanda vya matunda vipigwe marufuku lakini hawa wauza matunda ndio utawakuta wanalalamika endapo migahawa haifungwi kana kwamba wao hawauzi vyakula.
Na vinywaji vingine vyote vinavyouzwa madukani tunaona kabisa vinywaji hivyo hunywewa katika siku za kawaida.
Hivyo ilikuwa maduka yanayouza vinywaji yafungwe kama ambavyo migahawa imefungwa.
HOJA WANAYOTUMIA.
HOJA:.eti migahawa inauza vyakula vya kula hapohapo yaani wanaandaa ili kiliwe kwa nyakati hizo.
JAWABU : ndizi,embe,korosho,mapapai,na machungwa maji,juisi,biskuti n.k haya yote yapo tayari kuliwa muda wote na wala hayajapigwa marufuku ama kufungwa maduka,hivyo sio sawa na maduka yafungwe pia.
Kama itasemwa kwamba migahawa watu wanakula hapo hapo nddio maana wamezuia basi wangekataza tu kwamba watu wasile migahawani lakini migahawa ipike vyakula,kidoogo ingemake sense japokuwa tungehoji zaidi.
Imagine familia yote imefunga alafu kuna mgonjwa ana vidonda vya tumbo,sasa badala ya mama kusumbuka kupika huku amefunga si angetoa pesa tu kwendakununjua chakula akarahisisha ?
Huu utaratibu uangaliwe upya na kufanyiwa maboresho katika hayo maeneo ambayo taratibu hizo zipo.
Acha fikra mbovuMkuu hii ID yako,dah imekaaje?
Kafiri unaujulia wapi uislam!!!?
Tangu lini haya!?...Hapana.. mkristo anapofunga hatakiwi kula chochote kuanzia asubuhi mpk saa 12.30 jioni baada ya ibada ya jioni
Kumbuka ni kufunga na kusali kwa siku 40.
Mtu ambaye anaruhusiwa kula wakati wa kufunga ni mgonjwa tu (ambaye kitaalam inaonekana kuwa hawezi kukaa muda mrefu bila kula)
Huyu funga yake itaegamia ktk sala na toba pekee.
Funga kwa vitendo bila kulazimu matangazo kuwa umefunga
Kumbuka kuna tofauti kati ya kufunga na kukaa na njaa
Tangu kuzaliwa kwa KristoTangu lini haya!?...
Umeongea vitu vingi sana ambavyo sijavizungumzia kabisaKama kweli umefunga usingeweza kuongea vibaya juu ya binaadam wenzako kisa Hutaki aishi atakavyo. Wewe ni Nani kuwahukumu wasio Waislam? Dini ya kweli ni ile inayoonyesha unyenyekevu, uvumilivu na upendo na sio visasi, husda, kejeli na matusi Sioni kwa nini umefunga![]()
Hata vyakula kwa mama ntilie vinadoda sanaNi kweli kabisa ndiyomaana nashangaa hata vitimoto vimedoda sana mitaani(havinunuliwi) kipindi hiki.
Kwarezma isingekua kimya Kama mngekua mnafunga kweli,ramadhani lazima ujue sababu Kuna vitu vitashuka Bei na vingine vitapanda,yaani athari ya ramadhani ni dhahiriTangu kuzaliwa kwa Kristo
watu wenye imani wanawaogopa wasio na imani. Yaani wewe ukiwa umefunga ukiona sahani ya wali inamzuia kufunga? Basi hiyo ni mbovu kupindukia.Mbali na kuzuwiwa kwa vyakula kuuzwa mchana wa ramadhani katika baadhi ya maeneo,lakini bado zuio hili halijatendewa haki.
Waislamu tunaamini kwamba ukifunga basi hata ukila ile punje ya karanga tu na ukameza kwa makusudi basi umefungua sio mpaka ule biriani au urojo bakuli zima.
Sasa ni jambo la ajabu sana kuona kuna baadhi ya vyakula eti ruhusa kuuza kama vile..
Ndizi
Karanga
Mapapai
Korosho
Machungwa
Matikiti ambayo mengine yameshakatwa tayari kwa kuliwa.
Maji pia yanauzwa.
Juisi aina zote zinauzwa madukani.
Biskuti zinauzwa madukani.
Na vitu vingine vingi achilia mbali vitu hivyo.
Lakini vyakula vya kupikwa vimezuiwa kabisa na migahawa imefungwa kabisa.
Mimi naona hii haiko sawa kwa sababu orodha ya vyakula nilivyotaja pia mtu akila anafungua kwa hiyo navyo ilikuwa vizuiliwe kuuzwa ama maduka yafungwe kama ambavyo migawaha imefungwa.
Siku za kawaida tunawaona watu wanakunywa maji hadharani hivyo na maji ilikuwa yapigwe marufuku yasiuzwe ama maduka yanayouza maji yafungwe.
Siku za kawwida watu hula hadharani karanga,hivyo na karanga ilikuwa zizuiwe zisiuzwe.
Siku za kawaida watu hula ndizi hadharani hivyo ilikuwa na vibanda vya matunda vipigwe marufuku lakini hawa wauza matunda ndio utawakuta wanalalamika endapo migahawa haifungwi kana kwamba wao hawauzi vyakula.
Na vinywaji vingine vyote vinavyouzwa madukani tunaona kabisa vinywaji hivyo hunywewa katika siku za kawaida.
Hivyo ilikuwa maduka yanayouza vinywaji yafungwe kama ambavyo migahawa imefungwa.
HOJA WANAYOTUMIA.
HOJA:.eti migahawa inauza vyakula vya kula hapohapo yaani wanaandaa ili kiliwe kwa nyakati hizo.
JAWABU : ndizi,embe,korosho,mapapai,na machungwa maji,juisi,biskuti n.k haya yote yapo tayari kuliwa muda wote na wala hayajapigwa marufuku ama kufungwa maduka,hivyo sio sawa na maduka yafungwe pia.
Kama itasemwa kwamba migahawa watu wanakula hapo hapo nddio maana wamezuia basi wangekataza tu kwamba watu wasile migahawani lakini migahawa ipike vyakula,kidoogo ingemake sense japokuwa tungehoji zaidi.
Imagine familia yote imefunga alafu kuna mgonjwa ana vidonda vya tumbo,sasa badala ya mama kusumbuka kupika huku amefunga si angetoa pesa tu kwendakununjua chakula akarahisisha ?
Huu utaratibu uangaliwe upya na kufanyiwa maboresho katika hayo maeneo ambayo taratibu hizo zipo.
Nipe maana ya kafitKafiri unaujulia wapi uislam!!!?
TuelimisheUmeongea vitu vingi sana ambavyo sijavizungumzia kabisa
Umechukia kuitwa kafiri?,Je,Unafahamu maana ya kafiri?
Bila waislamu mngepata uhuru nyie acheni zarau wakristo kipindi chakupigania uhuru mlikuwa choka mbaya kama sio yule jamaa kutugeuka waislam tungekuwa mbali sasa hivi halafu mnakuja hapa mnatuka dini iliyowaletea uhuru.Dini Dini Dini, ni UJINGA Mkuu wa Binadamu
Hao wanafunga ila saa 6 unaruhusiwa kukazia na maji sasa funga gani hyoMbona ile imani nyingine wana mfungo wao lakini hawaathiri wengine wasioamini huko na hata wanaoamini hawashurutishwi kufunga? Mambo ya dini na imani ni hisia za mtu au kikundi cha watu fulani, wasitake kuathiri maisha ya watu wasioamini dini na imani yao