Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

Mtaumia sana watu wanaendelea na maisha yao, hizi mada kila siku inashushwa, mada ileile inatofautiana vichwa vya habari tu.

Wakristu wamekua watu wa kunung'unika juu ya uislamu, Kama ilivyo yanga, Wanavyonukia Simba.

Makanisa ya kilokole waingiapo makanisani wakimaliza kulia, kinachofuata kucheza mziki na baada ya hapo ni shuhuda na kuzituhumu imani zingine.
Hawa wanaoandiki hizi habari kila Siku ni wale wanajiita walokole.
Jibu hoja acha kuruka ruka kama umeshikwa kalio
 
Kwanza kabisa naamini wana jamvi mko salama kabisa.
Ninaamini swala la kuabudu ni la kila mmoja kulingana na imani aliyonayo kuhusu dhehebu au dini anayohusiana nayo.

Kwanza kabisa naomba kuanza kwa kusema wenzetu wakristo dhehebu la wakatoriki, walipoanza kufunga wala hawakuweka masharti watakapokuwa wamefunga wafanyiwe nini!!!

Lakini ndugu zangu waislam wanataka wakiwa wamefunga watu wasifanye shughuli zao za kila siku zinazowaingizia kipato kwa mfano wamama wanaopika chakula kwa ajili ya kujipatia kipato ati waache kisa waislam wamefunga.

Ninaomba kujua, kwani mfungo wenu ili uwe kamili ni lazima nyie waislam msiwe karibu na watu wanaokula au kupika vyakula vyao?! Kwa mtazamo wangu siyo sawa.

Mchungaji mmoja jina kapuni aliwahi kuhoji mbona Airport kuna msikiti lakini hakuwahi hata kujibiwa, na mchungaji huyo anadai kwamba alipotaka aingie msikitini akasali kwa kuwa ni nyumba ya ibada alikataliwa kwa sababu ya kwamba ni mkiristo, je wakristo wanaosafiri kwa usafiri wa ndege je wao wakaabudu wapi?? Au wenye nia ya kusali au kuabudu wakiwa kabla hawajasafiri ni waislam tu??

SIJAJUA KAMA NI UDINI LAKINI KAMA NDIYO BASI ONDOA UDINI TUISHI KAMA NDUGU.

Jambo lingine ambalo leo nimeshangaa, hapa tanga sehemu moja panaitwa forodhani, kwa chini yake kuna sehemu panaitwa DEEP SEA, huku bana kuna maisha
Ya raha sana, lakini kitu ambacho kimenishangaza kuna msikiti ambako pia ni eneo la serikali, lakini hakuna kanisa, hiii ikoje jamani. Au wakristo wenyewe ndo hawajaomba ridhaa ya kujenga kanisa hapa bandarini na kule Airport??

Naomba kuwasilisha kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
💚💛
Nimeenda kanisa la kinabii, ile naingia tu, kwa nabii, nabii akasema, wewe baba uliyevaa jezi ya mbeya city na skuna nyekundu, njoo hapa mbele.

Nikaenda, fasta nikazingirwa na Makerubi na Maserufi, wameshika maiki mikononi mwao, wengine wamevaa miwani myeusi kama maafisa kipenyo.

Nabii kwa sauti yake nzito akasema, kwa mamlaka ya kikuhani niliyonayo, kuanzia sasa wewe utakuwa mume wa Jeni, (inaonekana huyo jeni ndiyo tajiri wa kanisa ila hadi sasa na 46years hana ndoa wala mtoto)
Nikauliza kivipi aiseee..... nikaambiwa nisibishane na sauti ya bwana, nijiandae tu na ndoa, posa, mahari na vinginevyo kanisa litalipa.

Mama yangu weeeeee na ulevi wangu huu wa Konyagi, huyo malaika hajawaonyesha kabisa?
 
Mbali na kuzuwiwa kwa vyakula kuuzwa mchana wa ramadhani katika baadhi ya maeneo,lakini bado zuio hili halijatendewa haki.

Waislamu tunaamini kwamba ukifunga basi hata ukila ile punje ya karanga tu na ukameza kwa makusudi basi umefungua sio mpaka ule biriani au urojo bakuli zima.

Sasa ni jambo la ajabu sana kuona kuna baadhi ya vyakula eti ruhusa kuuza kama vile..

Ndizi
Karanga
Mapapai
Korosho
Machungwa
Matikiti ambayo mengine yameshakatwa tayari kwa kuliwa.
Maji pia yanauzwa.
Juisi aina zote zinauzwa madukani.
Biskuti zinauzwa madukani.

Na vitu vingine vingi achilia mbali vitu hivyo.

Lakini vyakula vya kupikwa vimezuiwa kabisa na migahawa imefungwa kabisa.

Mimi naona hii haiko sawa kwa sababu orodha ya vyakula nilivyotaja pia mtu akila anafungua kwa hiyo navyo ilikuwa vizuiliwe kuuzwa ama maduka yafungwe kama ambavyo migawaha imefungwa.

Siku za kawaida tunawaona watu wanakunywa maji hadharani hivyo na maji ilikuwa yapigwe marufuku yasiuzwe ama maduka yanayouza maji yafungwe.

Siku za kawwida watu hula hadharani karanga,hivyo na karanga ilikuwa zizuiwe zisiuzwe.

Siku za kawaida watu hula ndizi hadharani hivyo ilikuwa na vibanda vya matunda vipigwe marufuku lakini hawa wauza matunda ndio utawakuta wanalalamika endapo migahawa haifungwi kana kwamba wao hawauzi vyakula.

Na vinywaji vingine vyote vinavyouzwa madukani tunaona kabisa vinywaji hivyo hunywewa katika siku za kawaida.

Hivyo ilikuwa maduka yanayouza vinywaji yafungwe kama ambavyo migahawa imefungwa.

HOJA WANAYOTUMIA.

HOJA:.eti migahawa inauza vyakula vya kula hapohapo yaani wanaandaa ili kiliwe kwa nyakati hizo.

JAWABU : ndizi,embe,korosho,mapapai,na machungwa maji,juisi,biskuti n.k haya yote yapo tayari kuliwa muda wote na wala hayajapigwa marufuku ama kufungwa maduka,hivyo sio sawa na maduka yafungwe pia.


Kama itasemwa kwamba migahawa watu wanakula hapo hapo nddio maana wamezuia basi wangekataza tu kwamba watu wasile migahawani lakini migahawa ipike vyakula,kidoogo ingemake sense japokuwa tungehoji zaidi.

Imagine familia yote imefunga alafu kuna mgonjwa ana vidonda vya tumbo,sasa badala ya mama kusumbuka kupika huku amefunga si angetoa pesa tu kwendakununjua chakula akarahisisha ?

Huu utaratibu uangaliwe upya na kufanyiwa maboresho katika hayo maeneo ambayo taratibu hizo zipo.
Hata kitimoto nimeona watu wanaandaa tu. Nacho hakimo katika vilivyopigwa marufuku. Serikali izuie uuzaji wa Kitimoto hadharani
 
Hapana.. mkristo anapofunga hatakiwi kula chochote kuanzia asubuhi mpk saa 12.30 jioni baada ya ibada ya jioni

Kumbuka ni kufunga na kusali kwa siku 40.

Mtu ambaye anaruhusiwa kula wakati wa kufunga ni mgonjwa tu (ambaye kitaalam inaonekana kuwa hawezi kukaa muda mrefu bila kula)

Huyu funga yake itaegamia ktk sala na toba pekee.

Funga kwa vitendo bila kulazimu matangazo kuwa umefunga

Kumbuka kuna tofauti kati ya kufunga na kukaa na njaa
Tangu lini haya!?...
 
Kama kweli umefunga usingeweza kuongea vibaya juu ya binaadam wenzako kisa Hutaki aishi atakavyo. Wewe ni Nani kuwahukumu wasio Waislam? Dini ya kweli ni ile inayoonyesha unyenyekevu, uvumilivu na upendo na sio visasi, husda, kejeli na matusi Sioni kwa nini umefunga
Umeongea vitu vingi sana ambavyo sijavizungumzia kabisa

Umechukia kuitwa kafiri?,Je,Unafahamu maana ya kafiri?
 
Mbali na kuzuwiwa kwa vyakula kuuzwa mchana wa ramadhani katika baadhi ya maeneo,lakini bado zuio hili halijatendewa haki.

Waislamu tunaamini kwamba ukifunga basi hata ukila ile punje ya karanga tu na ukameza kwa makusudi basi umefungua sio mpaka ule biriani au urojo bakuli zima.

Sasa ni jambo la ajabu sana kuona kuna baadhi ya vyakula eti ruhusa kuuza kama vile..

Ndizi
Karanga
Mapapai
Korosho
Machungwa
Matikiti ambayo mengine yameshakatwa tayari kwa kuliwa.
Maji pia yanauzwa.
Juisi aina zote zinauzwa madukani.
Biskuti zinauzwa madukani.

Na vitu vingine vingi achilia mbali vitu hivyo.

Lakini vyakula vya kupikwa vimezuiwa kabisa na migahawa imefungwa kabisa.

Mimi naona hii haiko sawa kwa sababu orodha ya vyakula nilivyotaja pia mtu akila anafungua kwa hiyo navyo ilikuwa vizuiliwe kuuzwa ama maduka yafungwe kama ambavyo migawaha imefungwa.

Siku za kawaida tunawaona watu wanakunywa maji hadharani hivyo na maji ilikuwa yapigwe marufuku yasiuzwe ama maduka yanayouza maji yafungwe.

Siku za kawwida watu hula hadharani karanga,hivyo na karanga ilikuwa zizuiwe zisiuzwe.

Siku za kawaida watu hula ndizi hadharani hivyo ilikuwa na vibanda vya matunda vipigwe marufuku lakini hawa wauza matunda ndio utawakuta wanalalamika endapo migahawa haifungwi kana kwamba wao hawauzi vyakula.

Na vinywaji vingine vyote vinavyouzwa madukani tunaona kabisa vinywaji hivyo hunywewa katika siku za kawaida.

Hivyo ilikuwa maduka yanayouza vinywaji yafungwe kama ambavyo migahawa imefungwa.

HOJA WANAYOTUMIA.

HOJA:.eti migahawa inauza vyakula vya kula hapohapo yaani wanaandaa ili kiliwe kwa nyakati hizo.

JAWABU : ndizi,embe,korosho,mapapai,na machungwa maji,juisi,biskuti n.k haya yote yapo tayari kuliwa muda wote na wala hayajapigwa marufuku ama kufungwa maduka,hivyo sio sawa na maduka yafungwe pia.


Kama itasemwa kwamba migahawa watu wanakula hapo hapo nddio maana wamezuia basi wangekataza tu kwamba watu wasile migahawani lakini migahawa ipike vyakula,kidoogo ingemake sense japokuwa tungehoji zaidi.

Imagine familia yote imefunga alafu kuna mgonjwa ana vidonda vya tumbo,sasa badala ya mama kusumbuka kupika huku amefunga si angetoa pesa tu kwendakununjua chakula akarahisisha ?

Huu utaratibu uangaliwe upya na kufanyiwa maboresho katika hayo maeneo ambayo taratibu hizo zipo.
watu wenye imani wanawaogopa wasio na imani. Yaani wewe ukiwa umefunga ukiona sahani ya wali inamzuia kufunga? Basi hiyo ni mbovu kupindukia.
 
Dini Dini Dini, ni UJINGA Mkuu wa Binadamu
Bila waislamu mngepata uhuru nyie acheni zarau wakristo kipindi chakupigania uhuru mlikuwa choka mbaya kama sio yule jamaa kutugeuka waislam tungekuwa mbali sasa hivi halafu mnakuja hapa mnatuka dini iliyowaletea uhuru.
 
Mbona ile imani nyingine wana mfungo wao lakini hawaathiri wengine wasioamini huko na hata wanaoamini hawashurutishwi kufunga? Mambo ya dini na imani ni hisia za mtu au kikundi cha watu fulani, wasitake kuathiri maisha ya watu wasioamini dini na imani yao
Hao wanafunga ila saa 6 unaruhusiwa kukazia na maji sasa funga gani hyo
 
Back
Top Bottom