Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

Mbali na kuzuwiwa kwa vyakula kuuzwa mchana wa ramadhani katika baadhi ya maeneo,lakini bado zuio hili halijatendewa haki.

Waislamu tunaamini kwamba ukifunga basi hata ukila ile punje ya karanga tu na ukameza kwa makusudi basi umefungua sio mpaka ule biriani au urojo bakuli zima.

Sasa ni jambo la ajabu sana kuona kuna baadhi ya vyakula eti ruhusa kuuza kama vile..

Ndizi
Karanga
Mapapai
Korosho
Machungwa
Matikiti ambayo mengine yameshakatwa tayari kwa kuliwa.
Maji pia yanauzwa.
Juisi aina zote zinauzwa madukani.
Biskuti zinauzwa madukani.

Na vitu vingine vingi achilia mbali vitu hivyo.

Lakini vyakula vya kupikwa vimezuiwa kabisa na migahawa imefungwa kabisa.

Mimi naona hii haiko sawa kwa sababu orodha ya vyakula nilivyotaja pia mtu akila anafungua kwa hiyo navyo ilikuwa vizuiliwe kuuzwa ama maduka yafungwe kama ambavyo migawaha imefungwa.

Siku za kawaida tunawaona watu wanakunywa maji hadharani hivyo na maji ilikuwa yapigwe marufuku yasiuzwe ama maduka yanayouza maji yafungwe.

Siku za kawwida watu hula hadharani karanga,hivyo na karanga ilikuwa zizuiwe zisiuzwe.

Siku za kawaida watu hula ndizi hadharani hivyo ilikuwa na vibanda vya matunda vipigwe marufuku lakini hawa wauza matunda ndio utawakuta wanalalamika endapo migahawa haifungwi kana kwamba wao hawauzi vyakula.

Na vinywaji vingine vyote vinavyouzwa madukani tunaona kabisa vinywaji hivyo hunywewa katika siku za kawaida.

Hivyo ilikuwa maduka yanayouza vinywaji yafungwe kama ambavyo migahawa imefungwa.

HOJA WANAYOTUMIA.

HOJA:.eti migahawa inauza vyakula vya kula hapohapo yaani wanaandaa ili kiliwe kwa nyakati hizo.

JAWABU : ndizi,embe,korosho,mapapai,na machungwa maji,juisi,biskuti n.k haya yote yapo tayari kuliwa muda wote na wala hayajapigwa marufuku ama kufungwa maduka,hivyo sio sawa na maduka yafungwe pia.


Kama itasemwa kwamba migahawa watu wanakula hapo hapo nddio maana wamezuia basi wangekataza tu kwamba watu wasile migahawani lakini migahawa ipike vyakula,kidoogo ingemake sense japokuwa tungehoji zaidi.

Imagine familia yote imefunga alafu kuna mgonjwa ana vidonda vya tumbo,sasa badala ya mama kusumbuka kupika huku amefunga si angetoa pesa tu kwendakununjua chakula akarahisisha ?

Huu utaratibu uangaliwe upya na kufanyiwa maboresho katika hayo maeneo ambayo taratibu hizo zipo.
Aisee... Upupu mtupu..!!! Unataka wasiofunga wakale wapi!? Kwanini imani yako ya kidini unataka kuwashirikisha wasio wa imani yako kinguvu..!??
 
Kama kuna sehemu wanakataza watu wasipike au kuuza vyakula wakati wa Ramadhan ni wapumbavu wa hali ya juu kabisa.
 
Mbali na kuzuwiwa kwa vyakula kuuzwa mchana wa ramadhani katika baadhi ya maeneo,lakini bado zuio hili halijatendewa haki.

Waislamu tunaamini kwamba ukifunga basi hata ukila ile punje ya karanga tu na ukameza kwa makusudi basi umefungua sio mpaka ule biriani au urojo bakuli zima.

Sasa ni jambo la ajabu sana kuona kuna baadhi ya vyakula eti ruhusa kuuza kama vile..

Ndizi
Karanga
Mapapai
Korosho
Machungwa
Matikiti ambayo mengine yameshakatwa tayari kwa kuliwa.
Maji pia yanauzwa.
Juisi aina zote zinauzwa madukani.
Biskuti zinauzwa madukani.

Na vitu vingine vingi achilia mbali vitu hivyo.

Lakini vyakula vya kupikwa vimezuiwa kabisa na migahawa imefungwa kabisa.

Mimi naona hii haiko sawa kwa sababu orodha ya vyakula nilivyotaja pia mtu akila anafungua kwa hiyo navyo ilikuwa vizuiliwe kuuzwa ama maduka yafungwe kama ambavyo migawaha imefungwa.

Siku za kawaida tunawaona watu wanakunywa maji hadharani hivyo na maji ilikuwa yapigwe marufuku yasiuzwe ama maduka yanayouza maji yafungwe.

Siku za kawwida watu hula hadharani karanga,hivyo na karanga ilikuwa zizuiwe zisiuzwe.

Siku za kawaida watu hula ndizi hadharani hivyo ilikuwa na vibanda vya matunda vipigwe marufuku lakini hawa wauza matunda ndio utawakuta wanalalamika endapo migahawa haifungwi kana kwamba wao hawauzi vyakula.

Na vinywaji vingine vyote vinavyouzwa madukani tunaona kabisa vinywaji hivyo hunywewa katika siku za kawaida.

Hivyo ilikuwa maduka yanayouza vinywaji yafungwe kama ambavyo migahawa imefungwa.

HOJA WANAYOTUMIA.

HOJA:.eti migahawa inauza vyakula vya kula hapohapo yaani wanaandaa ili kiliwe kwa nyakati hizo.

JAWABU : ndizi,embe,korosho,mapapai,na machungwa maji,juisi,biskuti n.k haya yote yapo tayari kuliwa muda wote na wala hayajapigwa marufuku ama kufungwa maduka,hivyo sio sawa na maduka yafungwe pia.


Kama itasemwa kwamba migahawa watu wanakula hapo hapo nddio maana wamezuia basi wangekataza tu kwamba watu wasile migahawani lakini migahawa ipike vyakula,kidoogo ingemake sense japokuwa tungehoji zaidi.

Imagine familia yote imefunga alafu kuna mgonjwa ana vidonda vya tumbo,sasa badala ya mama kusumbuka kupika huku amefunga si angetoa pesa tu kwendakununjua chakula akarahisisha ?

Huu utaratibu uangaliwe upya na kufanyiwa maboresho katika hayo maeneo ambayo taratibu hizo zipo.
hawa ndo akili urojo, kwan kila mtu ni mwan wa mtume, ufunge ww nisile mm pumbavu kabisa
 
Unafunga like unachokipenda,maji unakunywa,ndiyo umefunga nini!!?...na Nani kafunga akamwambia anatamani au anajionesha!?
Hapana.. mkristo anapofunga hatakiwi kula chochote kuanzia asubuhi mpk saa 12.30 jioni baada ya ibada ya jioni

Kumbuka ni kufunga na kusali kwa siku 40.

Mtu ambaye anaruhusiwa kula wakati wa kufunga ni mgonjwa tu (ambaye kitaalam inaonekana kuwa hawezi kukaa muda mrefu bila kula)

Huyu funga yake itaegamia ktk sala na toba pekee.

Funga kwa vitendo bila kulazimu matangazo kuwa umefunga

Kumbuka kuna tofauti kati ya kufunga na kukaa na njaa
 
Mbali na kuzuwiwa kwa vyakula kuuzwa mchana wa ramadhani katika baadhi ya maeneo,lakini bado zuio hili halijatendewa haki.

Waislamu tunaamini kwamba ukifunga basi hata ukila ile punje ya karanga tu na ukameza kwa makusudi basi umefungua sio mpaka ule biriani au urojo bakuli zima.

Sasa ni jambo la ajabu sana kuona kuna baadhi ya vyakula eti ruhusa kuuza kama vile..

Ndizi
Karanga
Mapapai
Korosho
Machungwa
Matikiti ambayo mengine yameshakatwa tayari kwa kuliwa.
Maji pia yanauzwa.
Juisi aina zote zinauzwa madukani.
Biskuti zinauzwa madukani.

Na vitu vingine vingi achilia mbali vitu hivyo.

Lakini vyakula vya kupikwa vimezuiwa kabisa na migahawa imefungwa kabisa.

Mimi naona hii haiko sawa kwa sababu orodha ya vyakula nilivyotaja pia mtu akila anafungua kwa hiyo navyo ilikuwa vizuiliwe kuuzwa ama maduka yafungwe kama ambavyo migawaha imefungwa.

Siku za kawaida tunawaona watu wanakunywa maji hadharani hivyo na maji ilikuwa yapigwe marufuku yasiuzwe ama maduka yanayouza maji yafungwe.

Siku za kawwida watu hula hadharani karanga,hivyo na karanga ilikuwa zizuiwe zisiuzwe.

Siku za kawaida watu hula ndizi hadharani hivyo ilikuwa na vibanda vya matunda vipigwe marufuku lakini hawa wauza matunda ndio utawakuta wanalalamika endapo migahawa haifungwi kana kwamba wao hawauzi vyakula.

Na vinywaji vingine vyote vinavyouzwa madukani tunaona kabisa vinywaji hivyo hunywewa katika siku za kawaida.

Hivyo ilikuwa maduka yanayouza vinywaji yafungwe kama ambavyo migahawa imefungwa.

HOJA WANAYOTUMIA.

HOJA:.eti migahawa inauza vyakula vya kula hapohapo yaani wanaandaa ili kiliwe kwa nyakati hizo.

JAWABU : ndizi,embe,korosho,mapapai,na machungwa maji,juisi,biskuti n.k haya yote yapo tayari kuliwa muda wote na wala hayajapigwa marufuku ama kufungwa maduka,hivyo sio sawa na maduka yafungwe pia.


Kama itasemwa kwamba migahawa watu wanakula hapo hapo nddio maana wamezuia basi wangekataza tu kwamba watu wasile migahawani lakini migahawa ipike vyakula,kidoogo ingemake sense japokuwa tungehoji zaidi.

Imagine familia yote imefunga alafu kuna mgonjwa ana vidonda vya tumbo,sasa badala ya mama kusumbuka kupika huku amefunga si angetoa pesa tu kwendakununjua chakula akarahisisha ?

Huu utaratibu uangaliwe upya na kufanyiwa maboresho katika hayo maeneo ambayo taratibu hizo zipo.
Unguja nini?
 
Tunafunga ndiyo siku 40

Lakini maelekezo ni kuwa Funga kiroho (bila kujionesha kuwa umefunga) kwa maana kufunga ni ibada na imani.

Mtu aliyefunga kwa imani na kiroho hawez kutamani kula hata akiona chakula
Amina mtumishi
 
Mtaumia sana watu wanaendelea na maisha yao, hizi mada kila siku inashushwa, mada ileile inatofautiana vichwa vya habari tu.

Wakristu wamekua watu wa kunung'unika juu ya uislamu, Kama ilivyo yanga, Wanavyonukia Simba.

Makanisa ya kilokole waingiapo makanisani wakimaliza kulia, kinachofuata kucheza mziki na baada ya hapo ni shuhuda na kuzituhumu imani zingine.
Hawa wanaoandiki hizi habari kila Siku ni wale wanajiita walokole.
Una ushahidi gani
 
Hizi nyuzi za namna hii huu mwezi Wa Ramadan ni nyingi sana

Uislamu upo katika vita kubwa sana dhidi ya makafiri
Kama kweli umefunga usingeweza kuongea vibaya juu ya binaadam wenzako kisa Hutaki aishi atakavyo. Wewe ni Nani kuwahukumu wasio Waislam? Dini ya kweli ni ile inayoonyesha unyenyekevu, uvumilivu na upendo na sio visasi, husda, kejeli na matusi Sioni kwa nini umefunga
 
Kibongo bongo

Uislamu ni Dini inayoshurutisha sijapata kuona yaani kila kitu nguvu tu

Yaani ukitaka mke wa kiislamu,we jifanye tu umebadili Dini Basi ni wepesi mno kukubali,

Na vile walilegezewa masharti kwa kula kitu Cha kafiri hakuna taabu ,ni Kama wanafuturu vyakula vyetu tu *****

Dini ambayo ukiitwa jina la kiaarabu tu Basi we muisilamu.

Halafu Wana tabia moja, pale mtu atakapo fanya Jambo nzuri iwe msaada fulani,utasikia

Yule jamaa ni muisilam sana,kana kwamba watu wa side nyingine wana roho mbaya ajabu na pengine kasaidiwa na mgalatia

Wanaongozwa kukaririshwa vitu vingi,e.g mtu akijua tu kusoma na kutafsiri Quran, Basi wanamuona Nani sijui

Kumbe ni lugha tu masikini.

Dini iliyojikita zaidi kwenye mahitaji ya kimwili kuliko kiroho.

Cha ajabu waumini wenyewe wanaongoza kula mchana Nina ushahidi kwa 80%ulipinga tafiti, fanya tafiti zaidi ya miaka mitano

Hebu fikiria,

Mtu anafunga lakini kutwa ananuna Haina mfano ,kistaarabu mtu unatoka zako kwenda kupata lunch ,Basi akigundua sura inabadilika Kama nini

Msibishe tunao humu maofisini.

Poleni sana,

Anyway tunawatakia mfungo mwema
 
Back
Top Bottom