Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,459
- 697
Ww ushatahadharishwa usicheze utaibiwa pesa zako baasii, ukisema kila kitu hapa hao wenye michezo ya kubahatisha wanaweza kumshtaki kwa kuharibu biashara yao. Ww andika madhara ya coke cola hadharani uone kama watakuacha.Mkuu umeeleza tu kuwa hii michezo ina udanganyifu mwingi basi ila hujadadavua huo udanganyifu unafanyikaje deeply in detail zaidi ya kusema wanacheza na computer,can you go more as you can as you did to the magicians?