storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,831
Mwaka 98 niliwah kucheza karata tatu nikawapiga sana mwisho wa siku wakanifukuza, nlivoondoka braza mmoja ambae mi sikujua kama anahusika akanifata akitaka nimrudishie pesa yake.. mi nlikua bado kachalii tu, nikatoka spidi km bolt...
Nlichojifunza wakat ule ni kwamba hawa jamaa ni wajanja sana wanakupamba uendelee kuweka pesa kisha akiona umeweka za kutosha anavogeuza ile karata huez amini, so, mi nlikua nagoma kuongeza nkawa nawala kidogo kidogo, yan nkiweka buku siongezi, kwa iyo namla buku yake, kisha nacheza tena buku.
Nlichojifunza wakat ule ni kwamba hawa jamaa ni wajanja sana wanakupamba uendelee kuweka pesa kisha akiona umeweka za kutosha anavogeuza ile karata huez amini, so, mi nlikua nagoma kuongeza nkawa nawala kidogo kidogo, yan nkiweka buku siongezi, kwa iyo namla buku yake, kisha nacheza tena buku.