madam boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 701
- 742
Najutia 500 yangu niliyocheza kwa tatu mzuka. .ila tokea siku ile nilisema sichezi tena
Kwani hujaelewa kilichoandikwa .?Umeandika Ovyo ovyo sana. Huzingatii Paragraph Arrangement. Where to Jump to new line, Full Stops.
Andika vizuri...
Basi kuwa kwako mbali kusikufanye uongee bila utafiti hasa kwa vitu usivyo vijua maana unaoneka unapiga kitu ambacho hata wewe hukijui vizur.Niko mbali na hiyo michezo kiasi kwamba naona yote uliyosema hapo ni kitu kimoja tu- kamari. Sijui tofauti yake ni nini
Mmeshinda 19 ila waliocheza nchi nzima walikua wangapi? Huoni kwamba idadi ya washindi ni negligible kama ukiweka idadi ya washiriki wote? Hatusemi Hakuna washindi, wenye bahati Kama wewe wapo na mnashinda ila waliolia ni wengi zaidi yenu.Basi kuwa kwako mbali kusikufanye uongee bila utafiti hasa kwa vitu usivyo vijua maana unaoneka unapiga kitu ambacho hata wewe hukijui vizur.
Mimi mwenye shahid namba moja na nimeshinda milion 1 mara mbili na nimeshinda laki tano na ushehe mara 1 na leo nimetoka kuingiziwa elfu 37 baada ya kupata mechi 11 za jana na kuwa miongoni mwa watu 49 tulio fanikiwa huku wenzetu 8 walio win mechi zote 12 wakilamba milion 19 kila mtu katika kinyang'anyiro cha mil mia naa kupitia **********
Usiwe shahidi wa vitu usivyo vifanyia uhakiki , hayo labda ongelea huko kwenye BIKO na hao TATU MZUKA lakin sio sports beting hata kama ni kamali lakin unaliwa kihalali kutokana na utabiri wako wa mechi na una win kihalali kutokana na utabiri wako pia hakuna longo longo.
Basi kuwa kwako mbali kusikufanye uongee bila utafiti hasa kwa vitu usivyo vijua maana unaoneka unapiga kitu ambacho hata wewe hukijui vizur.
Mimi mwenye shahid namba moja na nimeshinda milion 1 mara mbili na nimeshinda laki tano na ushehe mara 1 na leo nimetoka kuingiziwa elfu 37 baada ya kupata mechi 11 za jana na kuwa miongoni mwa watu 49 tulio fanikiwa huku wenzetu 8 walio win mechi zote 12 wakilamba milion 19 kila mtu katika kinyang'anyiro cha mil mia naa kupitia **********
Usiwe shahidi wa vitu usivyo vifanyia uhakiki , hayo labda ongelea huko kwenye BIKO na hao TATU MZUKA lakin sio sports beting hata kama ni kamali lakin unaliwa kihalali kutokana na utabiri wako wa mechi na una win kihalali kutokana na utabiri wako pia hakuna longo longo.
vinahusiana pakubwa sana tatizo ni kwamba mnatofautiana makafara kati ya mmiliki mchezo na wewe mchezahi..Miye nashangaa nimeenda kwa babu tumechunguria akanipa namba ya bahati nikacheza nikaa na matumauni mwisho wa Siku sijashinda hivi kwanini mshana jr hivi vitu kamari na nguvu ya giza havihusiani