UDAKU: Wana chit-chat walioko Tanga

UDAKU: Wana chit-chat walioko Tanga

Naye Chimbuvu alipoukaribia mji wa tanga akaulilia na kusema 'hakika ungejua kinacholeta amani mpaka sasa,kwa kuwa sasa vimefichwa machoni pako.
Siku inakuja na maadui zako watakuzingira kila upande,na kuteketeza watoto wako na halitasalia jiwe juu ya jiwe.'
ombeni kwa ajili ya mji wa Tanga
 
Last edited by a moderator:
Kuna warembo wasiopungua watatu wameonekana barabara ya 12 wakitafuta mirungi...picha zinakuja
 
Wakuu nimepata udaku wa matukio mbalimbali yaliyojiri na yanayoendelea kujiri kwa wana chit chat walioko safarini Tanga,nimemtafuta TANMO ili arushe bombani hajapatikana hadi sasa, TANMO popote ulipo una kazi ya kufanya huku, baadhi ni
i. Madame B awagonganisha Arushaone na PakaJimmy
ii. Babu Dark City hoi kwa Arabela
iii.. Mungi adondosha hirizi bafuni, ilikuwa imeandikwa jina la marejesho
iv.
watu8 akutwa chumbani kwa Preta saa nane usiku,adai alienda kumpigia kampeni charminglady, taarifa zamfikia measkron..
v..
.

Dah. . . . .hizo mbili zimenichekesha aisee!
 
.................afu Baba V acha unoko, unatufatafata sana kwenye privacy yetu, khaa..
 
Last edited by a moderator:
Asante jamani, nilipotea kweli ila badae nikapata mwenyeji pale eee! Toto la kitanga kama jarabu likanifikishia kwao alafu likanisakizia mie ndio nililo lipa ujauzito, si ndo ukaletwa ubani tukafungishwa ndoa papo hapo, tumepewa na kiwanja cha kuanzia maisha na nimeambiwa nikijaribu kuondoka TNG mimba itahamia kwangu
pole umepotea eh? manoah banaaa! Hujaachaga kupotea tangu uwe shuel ya msingi kila siku ukitoka waishia kwa jirani?
 
Last edited by a moderator:
Filipo akutwa na kifanyio amevaa kwenye dole gumba la mguu wa kushoto. ,ni baada ya kupitisha usiku na Lily Flower wakiwa bwiii. Yeye akana adai alikuwa anaitumia kutoa semina ya ukimwi kwa wana chit chat walioko safarini
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom