UDAKU: Wana chit-chat walioko Tanga

UDAKU: Wana chit-chat walioko Tanga

Hahahahahahahahahahahah chitchat wikienda hilo


Baada ya kufika Dar Madame B akumbwa na balaa, akuta vyombo vyote kwa jirani, na talaka ikiwa imeandikwa kwa kilingala. Achanganyikiwa asijue la kufanya. Amtupia lawama Arushaone
 
Last edited by a moderator:
nasubiri mmalize kuuza nyaraka ili nifanye majumuisho,mengi naona hamjayasema,au mnajidai ni siri? yashajulikana mbona?
kuna mmoja wenu kaonekana na 'aunt bilali' disco majani mapana.
 
nasubiri mmalize kuuza nyaraka ili nifanye majumuisho,mengi naona hamjayasema,au mnajidai ni siri? yashajulikana mbona?
kuna mmoja wenu kaonekana na 'aunt bilali' disco majani mapana.

Kwani huyo jamaa ni Aunt?
 
Kwani huyo jamaa ni Aunt?

we Filipo,kusoma hujui ,sawa,hata kutizama picha? narudia kusema taarifa za kiintelijensia zimepasha mchichat mmoja juzi kaonekana disco na 'aunt bilali',humjui huyo jamaa wa kinondoni?@madame b embu mvavadulie filipo.
 
nasubiri mmalize kuuza nyaraka ili nifanye majumuisho,mengi naona hamjayasema,au mnajidai ni siri? yashajulikana mbona?
kuna mmoja wenu kaonekana na 'aunt bilali' disco majani mapana.

Wewe nae, sijui mlikuwa wapi na TANMO ,nimekutafuteni kwelikweli
 
Last edited by a moderator:
Am watching you!!!!:A S angry:

dont be angry darling mimi ndio nilikua daktari wa msafara...huyu binti aliondoka akiwa mgonjwa sana...sana inabidi kwenda muona kama dozi imefanya kazi...
CC: Preta na Baba V
 
Last edited by a moderator:
You should be there!!! Ndoa zilindwe kwa silaha zote

we mzee naona unanizengea sana....sasa kuanzia leo hakuna rangi utaacha ona nitakuandama kama kivuli kila kona lazima nile nawe!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom