measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,418
Asante jamani, nilipotea kweli ila badae nikapata mwenyeji pale eee! Toto la kitanga kama jarabu likanifikishia kwao alafu likanisakizia mie ndio nililo lipa ujauzito, si ndo ukaletwa ubani tukafungishwa ndoa papo hapo, tumepewa na kiwanja cha kuanzia maisha na nimeambiwa nikijaribu kuondoka TNG mimba itahamia kwangu
Hapo unalo na ujanja wote kwishney