kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 236
CHADEMA kitaongozwa na watu makini wanaojua nini umuhimu wa demokrasia, Chadema kikiwa na waasisi walio komaa kwenye demokrasia na wakijua kukua kwa chama ni pamoja na kuheshimu katiba na kuilinda, kuheshimu uongozi na kuchaguana kwa kufuata misingi imara ya uhuru wa haki na usawa.
Lwakatare ni mwanachama sawa na yeyote. Na si dhani kweli Mbowe amekuwa na njozi na ya kuhakikisha kwamba mambo atayapeleka atakavyo pasipo chama, amekuwa jemedari licha ya kuandamwa na CCM na wapambe wake.
Tunajenga chama makini na si umangimeza, na kama ikijulikana yupo mangimeza basi chama kitafuata taratibu na kutokomeza hila zote za kishenzi na kipuuzi. Ni matumaini yangu kuwa Lwakatare hajaingia chadema kutuvuruga bali kutekeleza azma yake ya mapinduzi ya kisiasa na demokrasia ya kiuchumi ya mtanzania wa leo.
Lwakatare ni mwanachama sawa na yeyote. Na si dhani kweli Mbowe amekuwa na njozi na ya kuhakikisha kwamba mambo atayapeleka atakavyo pasipo chama, amekuwa jemedari licha ya kuandamwa na CCM na wapambe wake.
Tunajenga chama makini na si umangimeza, na kama ikijulikana yupo mangimeza basi chama kitafuata taratibu na kutokomeza hila zote za kishenzi na kipuuzi. Ni matumaini yangu kuwa Lwakatare hajaingia chadema kutuvuruga bali kutekeleza azma yake ya mapinduzi ya kisiasa na demokrasia ya kiuchumi ya mtanzania wa leo.