Uchumi wapaa, wachumi wamsifu Rais Samia

kalacha mateo

Senior Member
Sep 27, 2021
118
237
Uchumi wa Tanzania Bara umekua kwa 5.4% ikilinganishwa na makadirio ya 4.7% katika robo ya kwanza ya mwaka huu huku Zanzibar ukikua kwa 5.1% ikilinganishwa na makadirio ya 5.4%. Wachumi waipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu huku wakisema ukuaji huo ni dalili njema inayodhihirisha kuwa nchi imeanza kupona.

Pamoja na hayo katika taarifa ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imesema pia akiba ya fedha za kigeni imefikia USD 5,092 hadi mwishoni mwa mwezi uliopita, Ukuaji huo wa uchumi umechangiwa na shughuli za kilimo, ujenzi, viuwanda, uchimbaji wa madini na kuimarika kwa shughuli za utalii hali inayoonesha uwezekano wa kufikiwa kwa makadirio ya ukuaji wa uchumi Tanzania Bara na Zanzibar.

Rais wa Chama cha Wahasibu Tanzania (TAA), Godvictor Lyimo ameshauri Serikali iwekeze zaidi kwenye kiilimo cha umwagiliaji akisistiza kuwa ndiyo mkombozi wa uchumi wa Tanzania.

Serikali ya Rais Samia Suluhu tayari imeshaanza uwekezaji tayari imekabidhi kwa mkandarasi hekta 3,500 za ujenzi wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji la ujazo wa lita milioni 90, kwa TZS bilioni 27, Dodoma. Mradi huo ni kati ya miradi 21 ya umwagiliaji iliyosainiwa mbele ya Rais Samia Suluhu katika Sikukuu ya Nanenane.
 
Uchumi wa Tanzania Bara umekua kwa 5.4% ikilinganishwa na makadirio ya 4.7% katika robo ya kwanza ya mwaka huu huku Zanzibar ukikua kwa 5.1% ikilinganishwa na makadirio ya 5.4%. Wachumi waipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu huku wakisema ukuaji huo ni dalili njema inayodhihirisha kuwa nchi imeanza kupona.

Pamoja na hayo katika taarifa ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imesema pia akiba ya fedha za kigeni imefikia USD 5,092 hadi mwishoni mwa mwezi uliopita, Ukuaji huo wa uchumi umechangiwa na shughuli za kilimo, ujenzi, viuwanda, uchimbaji wa madini na kuimarika kwa shughuli za utalii hali inayoonesha uwezekano wa kufikiwa kwa makadirio ya ukuaji wa uchumi Tanzania Bara na Zanzibar.

Rais wa Chama cha Wahasibu Tanzania (TAA), Godvictor Lyimo ameshauri Serikali iwekeze zaidi kwenye kiilimo cha umwagiliaji akisistiza kuwa ndiyo mkombozi wa uchumi wa Tanzania.

Serikali ya Rais Samia Suluhu tayari imeshaanza uwekezaji tayari imekabidhi kwa mkandarasi hekta 3,500 za ujenzi wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji la ujazo wa lita milioni 90, kwa TZS bilioni 27, Dodoma. Mradi huo ni kati ya miradi 21 ya umwagiliaji iliyosainiwa mbele ya Rais Samia Suluhu katika Sikukuu ya Nanenane.
Serikali ya Rais Samia Suluhu inawekeza katika katika kilimo cha umwagiliaji ili wakulima waweze kulima bila kusubiri msimu pia serikali imefanikiwa kupunguza gharama za kilimo kupia ruzuku ya mbolea sasa wakulima wananunua mbolea kwa nusu bei kilimo kimerahisishwa sana chini ya Rais Samia Suluhu
 
Uchumi wa Tanzania Bara umekua kwa 5.4% ikilinganishwa na makadirio ya 4.7% katika robo ya kwanza ya mwaka huu huku Zanzibar ukikua kwa 5.1% ikilinganishwa na makadirio ya 5.4%.
Uchumi kupaa ni Economic Boom... sioni economic boom yoyote hapo! Hiyo ni economic recovery kwa sababu hapo kabla uchumi ulikuwa unakua kwa zaidi ya hiyo 5.4%!
 
Uchumi wa Tanzania Bara umekua kwa 5.4% ikilinganishwa na makadirio ya 4.7% katika robo ya kwanza ya mwaka huu huku Zanzibar ukikua kwa 5.1% ikilinganishwa na makadirio ya 5.4%. Wachumi waipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu huku wakisema ukuaji huo ni dalili njema inayodhihirisha kuwa nchi imeanza kupona.

Pamoja na hayo katika taarifa ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imesema pia akiba ya fedha za kigeni imefikia USD 5,092 hadi mwishoni mwa mwezi uliopita, Ukuaji huo wa uchumi umechangiwa na shughuli za kilimo, ujenzi, viuwanda, uchimbaji wa madini na kuimarika kwa shughuli za utalii hali inayoonesha uwezekano wa kufikiwa kwa makadirio ya ukuaji wa uchumi Tanzania Bara na Zanzibar.

Rais wa Chama cha Wahasibu Tanzania (TAA), Godvictor Lyimo ameshauri Serikali iwekeze zaidi kwenye kiilimo cha umwagiliaji akisistiza kuwa ndiyo mkombozi wa uchumi wa Tanzania.

Serikali ya Rais Samia Suluhu tayari imeshaanza uwekezaji tayari imekabidhi kwa mkandarasi hekta 3,500 za ujenzi wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji la ujazo wa lita milioni 90, kwa TZS bilioni 27, Dodoma. Mradi huo ni kati ya miradi 21 ya umwagiliaji iliyosainiwa mbele ya Rais Samia Suluhu katika Sikukuu ya Nanenane.
Mkuu naomba ufafanuzi zaidi hizo USD 5,092. Nafikiri kuna sifuri kadhaa hazijawekwa hapo.
 
Uchumi wa Tanzania Bara umekua kwa 5.4% ikilinganishwa na makadirio ya 4.7% katika robo ya kwanza ya mwaka huu huku Zanzibar ukikua kwa 5.1% ikilinganishwa na makadirio ya 5.4%. Wachumi waipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu huku wakisema ukuaji huo ni dalili njema inayodhihirisha kuwa nchi imeanza kupona.

Pamoja na hayo katika taarifa ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imesema pia akiba ya fedha za kigeni imefikia USD 5,092 hadi mwishoni mwa mwezi uliopita, Ukuaji huo wa uchumi umechangiwa na shughuli za kilimo, ujenzi, viuwanda, uchimbaji wa madini na kuimarika kwa shughuli za utalii hali inayoonesha uwezekano wa kufikiwa kwa makadirio ya ukuaji wa uchumi Tanzania Bara na Zanzibar.

Rais wa Chama cha Wahasibu Tanzania (TAA), Godvictor Lyimo ameshauri Serikali iwekeze zaidi kwenye kiilimo cha umwagiliaji akisistiza kuwa ndiyo mkombozi wa uchumi wa Tanzania.

Serikali ya Rais Samia Suluhu tayari imeshaanza uwekezaji tayari imekabidhi kwa mkandarasi hekta 3,500 za ujenzi wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji la ujazo wa lita milioni 90, kwa TZS bilioni 27, Dodoma. Mradi huo ni kati ya miradi 21 ya umwagiliaji iliyosainiwa mbele ya Rais Samia Suluhu katika Sikukuu ya Nanenane.
Akiba ya fedha za kigeni ni USD ngapi?


JESUS IS LORD
 
Mtoa hoja sasa soma hii, watanzania tunaongezeka kwa 3.5%,chapati, mihogo,viazi, mkate vyote vimeongezeka bei, ujinga, umasikini, maradhi na cousin wao rushwa wanazidi kutamalaki, huku lingusenguse sijaona mabadiliko yeyote kuhusu kuongezeka kwa uchumi
 
Nani kama Mamaaa

Mungu akupe nguvu Mama SaSHa
FB_IMG_1648410131191.jpg
 
Taarifa ya Habari ITV ,mpwapwa hapo Dodoma hawana maji Safi na salama,halafu tunaambiwa uchumi unaongezeka kwa +5%!!
 
Back
Top Bottom