Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
Kama Kuna hasira tz imepata ni kumpa magu uraisi maana tunajua hakushinda....Wakati hatukuwa na ndege zetu watu waliilaumu serikali ya CCM.
Magu kaingia na kuanza kununua ndege, watu wanailaumi serikali ya CCM na kudai ndege si kipaumbele.
Haki ya nani sisi hatujitambui kabisa.
Tupo tupo tu ka misukule.
Unapoteza muda wako tu kumtukana mtu ambaye humfahamu.Kwamba wewe ni musenge ndio nimeelewa
Hivi kweli hizi kelele za humu zinaakisi hali halisi iliyopo nchini au?Kama Kuna hasira tz imepata ni kumpa magu uraisi maana tunajua hakushinda....
WEWE kama hukuchoma sema tu ni kaupepo...hata ingechomwa kadi moja tu ni jitihada kubwa!Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?
Ni kadi ngapi zilichomwa?
Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko[emoji23] [emoji23]
Like...really?WEWE kama hukuchoma sema tu ni kaupepo...hata ingechomwa kadi moja tu ni jitihada kubwa!
Fanya Mazoezi wewe.You need to take a lesson on logic, bro. Mimi mwenywe nina kitambi na nimetoka kushindilia mlo mwingine wa ukweli lakini najua mtaani na kijijini kwangu wapo wengi tu wenye njaa.
Mh. Ripoti niliyoisoma Mimi ya shirika la hali ya hewa duniani imesema kutakua na mvua chini ya viwango vya kawaida kuanzia mwezi disemba 2016 mpaka march 2017 ila maeneo ya mashariki mwa Tanzania hayatakumbwa sana na hali hiyo!Hali ya njaa ilishatabiriwa na Shirika la Chakula duniani (FAO), tangu Julai 28, 2016 kwamba ukanda wa Kusini mwa Afrika utakabiliwa na njaa kuanzia mwishoni mwa Desemba hadi Machi 2017 na huenda hali ikaendelea mpaka katikati ya mwaka 2018, kama hatua hazitachukuliwa kusaidia wakulima wadogo hasa kwa kuwapatia pembejeo mapema na wapande mapema mvua za Oktoba 2016.
Mh. Ripoti niliyoisoma Mimi ya shirika la hali ya hewa duniani imesema kutakua na mvua chini ya viwango vya kawaida kuanzia mwezi disemba 2016 mpaka march 2017 ila maeneo ya mashariki mwa Tanzania hayatakumbwa sana na hali hiyo!
Hili zoezi bado linaendelea?
T-Shirts zina ujumbe gani?Wamehamia kwenye kuuza T-Shirts.
T-Shirts zina ujumbe gani?
Kwani Mange Unamchukulia Poa mbona ana MBAHahahahah
Unawapa za uso
Tatizo hii nchi utoto ni mwingi sana.
Watu wengine ni Uni graduate lakini wamemkabidhi Mange akili zao. Inasikitisha sana kama taifa la kesho.
Angalia kwa sasa hii hoja ya njaa. Kelele nyingi utadhani Tanzania imefikia kiwango cha baa la njaa lililoikumba Ethiopia.
Baada ya muda hizi kelele zinapotea na watakuja na kelele zingine baada ya kupata kipigo kwenye uchaguzi mdogo.
haikuwa na uoparesheni wowote mtu mwenyewe alieianzisha ni mtaliki ambae anatapatapa tu maisha yamemshindaVipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?
Ni kadi ngapi zilichomwa?
Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko[emoji23] [emoji23]
Njaa hakuna wewe ni.blah blah za watu tuuWatu kama nyinyi mlio kwenye nchi ya fursa, mnapojaribu kuona mazingira yenu huko ni kama huku nyumbani mnatia hasira sana.
Wewe umeona hata waraka waliondikiwa mababa, lakini wajitia upofu.
Huoni hata watu wanavyolalamika mitaaani?
Huoni majira yetu yalivyoacha desturi yake? Mabadiliko hayo huyaoni?
Hujui kwamba zaidi ya 75% ya watanzania tunategemea majira haya kwa kilimo?
Huoni ukame unavyolikumba taifa letu mpaka watumishi wanaomba maombi yasikome kwa ajili ya haya.
Watu kama nyinyi mlitakiwa muuonje huu uhalisia ili kuujua vizuri, japo haiwezekani, msidhihaki wengine.
Ni bahati kwako nchi ilishatumia rasilimali nyingi kukufanya uone, lakini umekataa kuona.
Unadhulumu wengine.
Hoja sio MBA bali ni matendo yake.Kwani Mange Unamchukulia Poa mbona ana MBA
AhahahahaaaaaWewe unasema operation choma kadi....sasa ivi tunauguza maumivi kwani tumepigwa pigo takatifu. Kata 20 Ukawa tumeambulia 1 tu. Ccm 19. Hakuna cha operation wala nin....huyu mzee ndiye anayewamaliza kama hamujamshtukia. Mim ningeshauri tu Mh. Lowassa apumzike aachane na siasa. Ebu jikumbushe hii. Baadhi ya wabunge wa chadema walisema wanaomuunga Lowassa wapimwe akili. Mi nafikiri upepo umewabadilikia wao ndo wanapimwa Akili.