Uchokozi

Uchokozi

Mhhh,

Mimi naona hakuna mchokozi, labda kwa sababu chumvi nimekula ya kutosha mno....

Hata hivyo kuna wakati inabidi kujiuliza mara mbili kama kweli hii ni JF au ni Kariakoo (Samahani natumia maneno ya mama Mkuu wa Kikao cha Wakubwa wa Dodoma)!!!

Vinginevyo....hakuna jipya...tumeshikutana na makubwa zaidi ya vijimambo vya jF!!
 
Ummm ......... na ........na ........na .......!!
 
Frankly speaking kamaunaingia kwa politics huyu kiumbe FF Mh! ukiongea chochote yeye lazima akipeleke kwenye magamba, udini na ukwere!
 
Nini tena kondoo mtiifu?!

Naona una ugomvi na usingizi wewe...ngoja nikuwekee mwendelezo wa Zawadi usome ukibembeleza usingizi!!

Nitafurahijeeee........!! Tena after few hours nitakuwa safarini, so silali kabisa yaani ndo nabakiza usingizi wa kwenye basi!
 
Back
Top Bottom