nganilevanu
Member
- Mar 13, 2019
- 35
- 70
Kiukweli toka nazaliwa, nilikua nasikia haya mambo ya kurogwa yaan mtu anaamka amechoka mara amechanjwa chale usiku lakini nilikua nafikiri ni story za kufirika, ingawa hata nilipokuwa naishi na wazazi wanasimulia kua wanaota ndoto za ajabu, lakin bado mimi sikuamin haya mambo.
Lakni safari hii yamenikuta mwenyewe.. ipo hivi kunanyumba naishi mimi na mke wangu na mtoto wangu hii nyumba ni yakupanga nimeishi toka mwaka 2019 mpaka sasa huu ni mwaka wa 5 sasa. Hapo nyuma mambo yalikua freshi hakukua na shida yeyote. Lakin kuanzia mwaka huu mwezi wa 3 ndo kimbembe kikaanza mara wife usiku anaota ndoto za ajabu mara mimi ndoto za ajabu. Ikifika saa 7 usiku unasikia kitu kabisa kimetua kwa nguvu kwenye bati , hata usingizi unakata afu iki kipindi nilianza kuogopa mpka panya maana hiki kipindi yanatokea maluweluwe kulikua na panya mkubwa sana anakoloma yaani kama usiku alikuwa anapiga kelele mpaka tukawa tunajifariji kuwa anataka kuzaa lakini wapi maana hakuzaa chochote mpaka mwezi ukaisha.
Nanilihangaika hiki kipindi cha mwezi mzima kumuua huyu panya lakini ilishindikana nilitumia mitego aina kama 4 lakini ilishindikana na huyu panya majirani walikuwa hata hawamuoni mimi nalalamika kuwa kuna panya mkubwa humu ndani. Kumbe anaishia kwangu tu kwa majirani haendi.
Kumbwa kuliko kunasiku ilikua saa 11 alfajiri kumbukumbu zangu nilikua katika ndoto lakni cha ajabu nilipigwa na kitu ambacho mpaka leo sielewi ni nini maana nilishituka nilipiga kelele mke wangu naye akashituka namwambia nimepigwa na kitu nikaamka palepale kabla mkono wangu haujavimba nikawasha taa sikuona chochote.
Lakni baada ya muda mkono wangu ulivimba sana na michubuko kama mitano. Kiukweli sikuweza pata usingizi tena maana tayari kulikua kunapambazuka. Ilipofika asubuhi nikiwajurisha wa zazi wangu maana wapo kijijini. Mama angu nimlokole akaniombea pia akanipa namba ya mtumishi ambae yupo mjini nako ishi mimi anifanyie maombi pia.
Nashukuru mungu ile hali ya usiku kujakitu kwenye bati kikatoweka. Na yule panya akajichanganya tukamuua kwa virungu. Lakin kama mwezi usiku nilikua nakosa usingizi kabsa mimi na simu usiku mpaka asubuhi mpaka nilivokuja kuzoea badae.
Lakini napenda kuwakumbusha ndugu zangu tujitahidi tunavoenda kulala tujitahidi kumuomba mungu alinde maisha yako na ya familia yako maana hii dunia inamambo mengi ya giza ambayo kwa macho yako ya nyama huwezi ona kitu chochote.
Lakni safari hii yamenikuta mwenyewe.. ipo hivi kunanyumba naishi mimi na mke wangu na mtoto wangu hii nyumba ni yakupanga nimeishi toka mwaka 2019 mpaka sasa huu ni mwaka wa 5 sasa. Hapo nyuma mambo yalikua freshi hakukua na shida yeyote. Lakin kuanzia mwaka huu mwezi wa 3 ndo kimbembe kikaanza mara wife usiku anaota ndoto za ajabu mara mimi ndoto za ajabu. Ikifika saa 7 usiku unasikia kitu kabisa kimetua kwa nguvu kwenye bati , hata usingizi unakata afu iki kipindi nilianza kuogopa mpka panya maana hiki kipindi yanatokea maluweluwe kulikua na panya mkubwa sana anakoloma yaani kama usiku alikuwa anapiga kelele mpaka tukawa tunajifariji kuwa anataka kuzaa lakini wapi maana hakuzaa chochote mpaka mwezi ukaisha.
Nanilihangaika hiki kipindi cha mwezi mzima kumuua huyu panya lakini ilishindikana nilitumia mitego aina kama 4 lakini ilishindikana na huyu panya majirani walikuwa hata hawamuoni mimi nalalamika kuwa kuna panya mkubwa humu ndani. Kumbe anaishia kwangu tu kwa majirani haendi.
Kumbwa kuliko kunasiku ilikua saa 11 alfajiri kumbukumbu zangu nilikua katika ndoto lakni cha ajabu nilipigwa na kitu ambacho mpaka leo sielewi ni nini maana nilishituka nilipiga kelele mke wangu naye akashituka namwambia nimepigwa na kitu nikaamka palepale kabla mkono wangu haujavimba nikawasha taa sikuona chochote.
Lakni baada ya muda mkono wangu ulivimba sana na michubuko kama mitano. Kiukweli sikuweza pata usingizi tena maana tayari kulikua kunapambazuka. Ilipofika asubuhi nikiwajurisha wa zazi wangu maana wapo kijijini. Mama angu nimlokole akaniombea pia akanipa namba ya mtumishi ambae yupo mjini nako ishi mimi anifanyie maombi pia.
Nashukuru mungu ile hali ya usiku kujakitu kwenye bati kikatoweka. Na yule panya akajichanganya tukamuua kwa virungu. Lakin kama mwezi usiku nilikua nakosa usingizi kabsa mimi na simu usiku mpaka asubuhi mpaka nilivokuja kuzoea badae.
Lakini napenda kuwakumbusha ndugu zangu tujitahidi tunavoenda kulala tujitahidi kumuomba mungu alinde maisha yako na ya familia yako maana hii dunia inamambo mengi ya giza ambayo kwa macho yako ya nyama huwezi ona kitu chochote.