Hakika uchawi upo

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,666
4,368
Uchawi upo ndugu zangu, kuna tukio ambalo limenitokea mpaka bado najiuliza maswali kama nilikuwa naota au ni kweli!

Kuna ndugu yangu fulani uko Afrika alifariki kwa ajali ya kugongwa na gari lakini jana usiku niko zangu home tu nikaona nimepigiwa simu. Nikacheki hivi nikaona namba ya yule ndugu yangu marehemu ndio umenipigia.

Mimi nikafikiri ni mdogo wake au mke wake ndio amenipigia labda wamebaki na simu yake,
nikapokea simu. Cha ajabu nikasikia sauti ya yule jamaa mwenyewe (marehemu) ananiambia ndugu yangu mbona umetusahau huku hatuna chochote cha kulisha watoto?Nilikata simu mwili ukaingia baridi!

Niliongea na mdogo wake akaniambia kuwa hakuna aliye baki na simu yake, anavyojua yeye ni kuwa simu ya marehemu ilivunjika siku ambayo alipata ajali!

najiuliza sipati majibu!
 
Uchawi upo ndugu zangu
Kuna tukio ambalo limenitokea mpaka bado najiuliza maswali Kama nilikuwa naota au ni kweli

Kuna ndugu yangu fulani uko afrika
Alifariki kwa ajali ya kugongwa na gari
Lakini Jana usiku niko zangu home tu nikaona nimepigiwa simu nikacheku hivi nikaona namba ya Yule ndugu yangu marehemu ndo umenipigia
Mimi nikafikiri ni mdogo wake au mke wake ndo amenipigia labda wamebaki na simu yake
nikapokea simu
Cha ajabu nikasikia sauti ya Yule jamaa mwenyewe ( marehemu) ananiambia ndugu zangu mbona umetusau uku hatuna chochote cha kulisha Watoto
Nilikata simu mwili ukaingia baridi
Niliongea na mdogo wake akaniambia kuwa hakuna aliye baki na simu yake anavyo jua yeye ni kuwa simu ya marehemu ilivunjika siku ambayo alipata ajali
Bado najiuliza sipati majibu
Wakati mwingine ni Malaika anakuambia uwasidie watoto wake wana shida Chief.
 
Uchawi upo ndugu zangu
Kuna tukio ambalo limenitokea mpaka bado najiuliza maswali Kama nilikuwa naota au ni kweli

Kuna ndugu yangu fulani uko afrika
Alifariki kwa ajali ya kugongwa na gari
Lakini Jana usiku niko zangu home tu nikaona nimepigiwa simu nikacheku hivi nikaona namba ya Yule ndugu yangu marehemu ndo umenipigia
Mimi nikafikiri ni mdogo wake au mke wake ndo amenipigia labda wamebaki na simu yake
nikapokea simu
Cha ajabu nikasikia sauti ya Yule jamaa mwenyewe ( marehemu) ananiambia ndugu zangu mbona umetusau uku hatuna chochote cha kulisha Watoto
Nilikata simu mwili ukaingia baridi
Niliongea na mdogo wake akaniambia kuwa hakuna aliye baki na simu yake anavyo jua yeye ni kuwa simu ya marehemu ilivunjika siku ambayo alipata ajali
Bado najiuliza sipati majibu
Sasa hapo kuna uchawi gani?!
Si afadhali ungesema kumbe kuna mizimu?
 
Uchawi upo ndugu zangu, kuna tukio ambalo limenitokea mpaka bado najiuliza maswali kama nilikuwa naota au ni kweli!

Kuna ndugu yangu fulani uko Afrika alifariki kwa ajali ya kugongwa na gari lakini jana usiku niko zangu home tu nikaona nimepigiwa simu. Nikacheki hivi nikaona namba ya yule ndugu yangu marehemu ndio umenipigia.

Mimi nikafikiri ni mdogo wake au mke wake ndio amenipigia labda wamebaki na simu yake,
nikapokea simu. Cha ajabu nikasikia sauti ya yule jamaa mwenyewe (marehemu) ananiambia ndugu yangu mbona umetusahau huku hatuna chochote cha kulisha watoto?Nilikata simu mwili ukaingia baridi!

Niliongea na mdogo wake akaniambia kuwa hakuna aliye baki na simu yake, anavyojua yeye ni kuwa simu ya marehemu ilivunjika siku ambayo alipata ajali!

najiuliza sipati majibu!
namba ya marehm kapewa m2 mwingine,alaf huyo mtu akaperuzi akaona jina lako au line yake iliokotwa na m2 mwingine,jiandae kutapeliwa
 
Mimi binafsi naona huo sio uchawi, labda pengine kuna kimoja kati ya hivi vitatu hapa chini;

1.Huyo atakuwa tapeli anajua mahusiano yenu kati yako na marehemu kwahiyo aliitunza laini kwaajili ya kukutapeli.

2.Inawezekana mtu amekosea namba akakupigia bahati mbaya, maana sikuhizi laini isipotumiwa/kuwa hewani kwa muda mrefu kuna uwezekano ikafungiwa na kupewa mtu mwingine aitumie, kwahiyo huyo aliyepewa ndio amekosea namba kakupigia bahati mbaya.

3.Pia inawezekana ni maono kutoka kwa Muumba unakumbushwa kuisaidia familia yake aliyoiacha (Ila hii haina uhalisia sana kwasababu kama ni maono ungepewa hata kwa ndoto)
Ni hayo Tu ..!
 
Uchawi upo ndugu zangu, kuna tukio ambalo limenitokea mpaka bado najiuliza maswali kama nilikuwa naota au ni kweli!

Kuna ndugu yangu fulani uko Afrika alifariki kwa ajali ya kugongwa na gari lakini jana usiku niko zangu home tu nikaona nimepigiwa simu. Nikacheki hivi nikaona namba ya yule ndugu yangu marehemu ndio umenipigia.

Mimi nikafikiri ni mdogo wake au mke wake ndio amenipigia labda wamebaki na simu yake,
nikapokea simu. Cha ajabu nikasikia sauti ya yule jamaa mwenyewe (marehemu) ananiambia ndugu yangu mbona umetusahau huku hatuna chochote cha kulisha watoto?Nilikata simu mwili ukaingia baridi!

Niliongea na mdogo wake akaniambia kuwa hakuna aliye baki na simu yake, anavyojua yeye ni kuwa simu ya marehemu ilivunjika siku ambayo alipata ajali!

najiuliza sipati majibu!


Uelewa wako mdogo, kama simu ikivunjika na lina inavunjika ni sawa, unapangwa kuibiwa na mdogo wako, mwishowe utaambiwa ujumbe wa marehemu utume 1m
 
Back
Top Bottom