Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,576
- 18,600
Hebu muangalie huyu jamaa kwenye hii video.Mimi siamini katika miujiza yaani siamini Mungu wala Shetani, ila naamini katika sayansi na teknolojia
Hebu muangalie huyu jamaa kwenye hii video.Mimi siamini katika miujiza yaani siamini Mungu wala Shetani, ila naamini katika sayansi na teknolojia
Hebu muangalie huyu jamaa kwenye hii video.
Mchanyiko wa mambo mengiHebu twende kwa mifano pengine utanielewa ....ninini kinafanya gari itembee
Hivi uchawi ni kama dini fulani? Kama siamini katika uchawi je naweza kudhurika au kuathirika nao?Hebu kokotoa kwa kifupi
Sio wote lakini kuna ule universal unapiga yeyote na popoteHivi uchawi ni kama dini fulani? Kama siamini katika uchawi je naweza kudhurika au kuathirika nao?
Kumbe wewe bado mtoto mdogo sanaResearch and experiments
Yaan mfano ulivosema kwamba kuna ulimwengun usioonekana ninaamini kuna watu wana uwezo huo wa kuona visivyoonekana kwa macho ya kawaida na wengine hawana...so hawawezi kuona ambavyo hawakukusudia kuvionaSio wote lakini kuna ule universal unapiga yeyote na popote
Nadhani ushawahi kusikia watu kukanyaga vitu vibaya ambavyo wala hawahusiki navyo
Ndio maana nikatoa mfano wa universal tool...! Mfano funguo malaya ama chaja ya Kobe kwenye simu ama spana MalayaYaan mfano ulivosema kwamba kuna ulimwengun usioonekana ninaamini kuna watu wana uwezo huo wa kuona visivyoonekana kwa macho ya kawaida na wengine hawana...so hawawezi kuona ambavyo hawakukusudia kuviona
Pili mfano kukanyaga vitu wasivyohusoka navyo....hilo linawesekanaje na sihusiki kwa namna hiyo ya kichawi? Si nitakanyaga kisha niendelee na mambo yangu?
Ungesema Tafiti na uchunguzi ama majaribio.Research and experiments
Huo mfurugo jameni mimi nna tatizo ktk upande huo wa kuota kula chakula.....Michezo ya wanga na wachawi shukuru Mungu hukula. ..watu wengi hulishwa nyama za watu na wa nyama kupitia ndoto kama hizo!
Ingetokea ukala kesho undeshinda vibaya huku tumbo likiwa limejaa na kujisikia hovyo hovyo tuu