Tuko pamoja mkwepa Kodi, Uchawi wao haujawahi fanya kitu practicle na cha manufaa hata siku moja , hata kuzuia wizi wa makanikia, Pia swala la mungu ni mtambuka juhudi binafsi na maarifa ndo mafanikio yako ukitaka ujue hilo kashinde kanisani mwaka Mzima afu weka pambano na Mayweather aliyetoka kwenye strip club yake Jana ndo utajuaMimi siamini katika miujiza yaani siamini Mungu wala Shetani, ila naamini katika sayansi na teknolojia
Four stroke engine cycle, kufupisha stori Mafuta mpaka yatakapoisha ni sawa na mkaa unawaka kwa chain reaction Kama ilivyo nuclear fusionHebu twende kwa mifano pengine utanielewa ....ninini kinafanya gari itembee
Totally misleadedFour stroke engine cycle, kufupisha stori Mafuta mpaka yatakapoisha ni sawa na mkaa unawaka kwa chain reaction Kama ilivyo nuclear fusion
Kwann wachawi siyo matajiri?Wa dini?![]()
![]()
![]()
Utajiri wao ni tunguli zao hawahitaji pesa kwakuwa wanapata kila wanachotaka at a clickKwann wachawi siyo matajiri?
Nn kinawafanya wawe masikini wakati wana uwezo?
kuna hali ya kupoteza hela na ukikopesha hairudi wanasema kuna hela yako imechukuliwa na wachawi je hii ni kweli? N aunajinasua vipi kwenye hali hii?!Utajiri wao ni tunguli zao hawahitaji pesa kwakuwa wanapata kila wanachotaka at a click
Zile pesa kidogo wanazopokea ni sadaka na kifungo chako mwenyewe kama muhuri wa kukabiliana na kukubalina yale utakayoyafanya mwenyewe kwa maelekezo ya mganga
Ndoto za kula ama kulishwa si tatizo sana ila inategemea unakula ama kulishwa nini. Maranyingi kibaya ni nyama ama kinywaji cha rangi nyekundu ama nyeusiHuo mfurugo jameni mimi nna tatizo ktk upande huo wa kuota kula chakula.....
Nilipokuwa 12,13yrs mpk 19,20 nilikuwa naota sana ndoto hizo lkn nilikuwa nakurupuka kabla sijala yani lazma niamke tena mara nyingi wali na nyama.....
Lkn hiyo hali kwa sasa imebadilika kwani lazma nile kwanza ndo nikurupuke nnayo hiyo situation for 5yrs now japo si mara kwa mara ila ikitokea lazma nipige tonge zangu kadhaa ndo nikurupuke....mbaya zaidi nikiamka nahisi kabisa tumboni kuna kitu kimeongezeka dah..mwanaume kinyonge nageuka upande wa pili natafuta usingizi tena,ila inanikwaza sana hiyo hali kwani nahisi nalishwa kweli kwa sababu kwa mbaaali sana naamini wachawi na uchawi upo lkn mimi na waganga wa kienyeji tofauti kabisa ndo maana sijui ni vp naweza kuepuka hili tatizo mbali na ile dua ya kumwomba Mungu anilinde na wabaya usiku
Hope umenielewa mshana and you must've smthng to tell me juu ya hili
Siri Gani Tena iyo Ebu TufafanulieTotally misleaded
Uchawi si michezo kama hiyo ama hii
japo hii nayo ina siri kubwa kwenye muktadha wake![]()
Kuna Uhusiano Gani Kati Ya Miti Mikubwa Na UchawiPopote majumbani viwanjani porini mtoni barabarani nknk
Wachawi wanaweza hata kuchagua Nyumba ya mtu na wakafanya sherehe yao
Huo Sasa Ni Ujasir Wa Hari Ya Juu NduguYa kutembea juu ya moto bila kuungua