Uchawi niliowahi kuushuhudia!

Usinikumbushe Ali Mapilau, yeye yalimkuta alifanyiwa vitimbwi na mwenzake akapika halua badala ya pilau, chezea ZONGO weye
Chonde Chonde wakuu,hebu tuache hizi imani za MAPILAU NA MAHALUA,Magufuli anasma tuingie mitaani kufanya usafi,kipindupindu kitatumaliza.
 
Yaani wewe mi huwa nakufagilia kwa washikaji zetu ,kumbe na wewe elimu yako ya chini ya mwembe kule Uswazi .
 
Kosa kubwa alilofanya mshana ni kusita kuanzisha group la wachawi. Unaona sasa member walivyo wengi.
 
Makitu ya "longi" sana hii aisee....

JF ya enzi hizo ilikuwa tam sana....
 
Pia hakuwa mwizi wa baiskeli alikuwa




mzungu
 
Mwanzisha uzi kaenda na maji ya Pangani toka 2018 hajulikani alipo
 
I miss you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…